Waziri Mkuu apokea orodha ya majina 453 ya wananchi wa Ngorongoro waliokubali kuhama kwa hiyari yao

Waziri Mkuu apokea orodha ya majina 453 ya wananchi wa Ngorongoro waliokubali kuhama kwa hiyari yao

Waziri mkuu wetu mbona mara nyingi anaongea vitu visivyokuwepo jamani? kha? km za mraba 400,000 handeni? kweli hiyo ni nusu ya ukubwa wa nchi hii iinayoshika nafasi ya 13 kwa ukubwa afrika ikiwa na km za mraba 960,000.

Anyway hongereni sana wamasai wa ngorongoro kupewa eneo lenye ukubwa wa nusu ya nchi wakati sisi tunasubiri reports za kuungua soko la karikaoo na mauaji yaliyofanyw ana polisi huko mtwara zote ni tume alizounda waziri mkuu.

NARUDIA TENA , HONGERENI SANA WAMASAI MMEULA KWELIKWELI ingawa wilaya nzima ya handeni ina km za mraba 7000 tu
 
Waziri mkuu wetu mbona mara nyingi anaongea vitu visivyokuwepo jamani? kha? km za mraba 400,000 handeni? kweli hiyo ni nusu ya ukubwa wa nchi hii iinayoshika nafasi ya 13 kwa ukubwa afrika ikiwa na km za mraba 960,000...

Nchi hii, tusiyoyajua ni mengi kuliko tuyajuayo. Wakisema "kuna siku itapigwa mnada" wanawakasirikia. Yetu 👁👁 na 👂👂
 
Makosa ya kimatamshi hayo, ni Kama vile mama Samia aliposema dola bil 6000
Ulimi hauna mfupa
 
🐒🐒🐒
AQwZ_m.jpg
 
Kama nawe unaamini Handeni iliyoko ndani ya Tanzania eti ndani yake kuna ukubwa wa nusu ya Tanzania yote basi una matatizo kama huyo aliyetoa hiyo kauli.

Hawa wanasiasa wetu uongo umewatawala sana, nawahurumia wakistaafu huo uongo wote watauhamishia kwa watoto na wajukuu zao.
 
Nadhani point hapa ni kuwa Wamasai wamekubali kuhamia Handeni.
Hoja kubwa zaidi ni kuwa huko Handeni ndiko wanapopakimbia kurudi Ngorongoro.
 
Binafsi yangu, na toka siku nyingi sijawahi ona PM mwenye uelewa kidogo kama huyu ndugu. Kama kiongozi hesabu na takwimu zinakupiga chenga jua kuwa huwezi kuongoza hata kidogo. Kujua hesabu na takwimu ni muhimu mno.

Alisema msiba waliangalia watu bilioni sijui ngapi!!
 
Waziri mkuu wetu mbona mara nyingi anaongea vitu visivyokuwepo jamani? kha? km za mraba 400,000 handeni? kweli hiyo ni nusu ya ukubwa wa nchi hii iinayoshika nafasi ya 13 kwa ukubwa afrika ikiwa na km za mraba 960,000.

Anyway hongereni sana wamasai wa ngorongoro kupewa eneo lenye ukubwa wa nusu ya nchi wakati sisi tunasubiri reports za kuungua soko la karikaoo na mauaji yaliyofanyw ana polisi huko mtwara zote ni tume alizounda waziri mkuu
NARUDIA TENA , HONGERENI SANA WAMASAI MMEULA KWELIKWELI ingawa wilaya nzima ya handeni ina km za mraba 7000 tu
Duuu ni shida tupu
 
Waziri mkuu wetu mbona mara nyingi anaongea vitu visivyokuwepo jamani? kha? km za mraba 400,000 handeni? kweli hiyo ni nusu ya ukubwa wa nchi hii iinayoshika nafasi ya 13 kwa ukubwa afrika ikiwa na km za mraba 960,000...
Laana ya kudanganya kwenye nyumba ya ibada inamtafuna yule mzee.
 
Hizo ndio siasa za bongo.
Naomba kuuliza Hakuna wakulima huko? Tusije anzisha tena vita vya wafugaji na wakulima tukawa tumetengeneza tatzo jipya.
 
Walimu wa zamani hawa ambao walikuwa wamefeli,eti leo ndo pm
 
Waziri mkuu wetu mbona mara nyingi anaongea vitu visivyokuwepo jamani? kha? km za mraba 400,000 handeni? kweli hiyo ni nusu ya ukubwa wa nchi hii iinayoshika nafasi ya 13 kwa ukubwa afrika ikiwa na km za mraba 960,000.

Anyway hongereni sana wamasai wa ngorongoro kupewa eneo lenye ukubwa wa nusu ya nchi wakati sisi tunasubiri reports za kuungua soko la karikaoo na mauaji yaliyofanyw ana polisi huko mtwara zote ni tume alizounda waziri mkuu
NARUDIA TENA , HONGERENI SANA WAMASAI MMEULA KWELIKWELI ingawa wilaya nzima ya handeni ina km za mraba 7000 tu
Jifunze kutofautisha kati ya km za mraba 400000 na eka 400000. Nafkir umekurupuka kuposti
 
Back
Top Bottom