myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Sawasawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema chanjo ya ugonjwa wa Corona ipo tayari nchini mwananchi yoyote anayetaka kuchanjwa akachanje kwa ajili ya kupata kinga dhidi ya ugonjwa huo.
View attachment 1862235
N:B Hii chanjo ingetakiwa ihimizwe na kila mwananchi aipate!
Hapo kwenye NB yako, wewe nenda kaihimize familia yako mwenyewe...
Tayari nimefanya hivyo!
Mataga wenzio huko waliokuwa wanapinga, wanabeba mpaka bibi zao kwenda kuwadunga huko..!!
Miccm ndio imetanguliza makalio huko kwenda kupata chanjo, halafu ikija ONLINE inavyopinga utadhani yako Member of Parliament
nani nimchukulie chumba huku
Kama wewe tayari basi tuliza kinyeo chako...
Narudia, kama wewe umeshawekwa alama basi tuliza kinyeo chako...Wewe chako kinakuwasha siyo? Soon utapata mkunaji...
Narudia, kama wewe umeshawekwa alama basi tuliza kinyeo chako...
Hiyo chanjo, iko wapi ? ni ya aina gani ? inatolewa wapi ? au kuipata mpaka uwe na "connection" ?
Wagonjwa wa akili hawa. Hakuna MTU mwenye akili timamu anayeweza kuiunga mkono CCMUpo sahihi, yaani maccm ni makitu ya ajabu sana! Likitokea jambo yanaangalia mabwana zao wako upande gani, ikitokea hivi sasa mmoja wa bwana zao akisema hii chanjo ni lazima utayaona yatakavyogeuka na kulazimisha wakati huku yanapinga!
A day late and a dollar short.Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema chanjo ya ugonjwa wa Corona ipo tayari nchini mwananchi yoyote anayetaka kuchanjwa akachanje kwa ajili ya kupata kinga dhidi ya ugonjwa huo.
View attachment 1862235
N:B Hii chanjo ingetakiwa ihimizwe na kila mwananchi aipate!
Jamani CHANJO IMEKUJA KIMYA KIMYA?Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema chanjo ya ugonjwa wa Corona ipo tayari nchini mwananchi yoyote anayetaka kuchanjwa akachanje kwa ajili ya kupata kinga dhidi ya ugonjwa huo.
View attachment 1862235
N:B Hii chanjo ingetakiwa ihimizwe na kila mwananchi aipate!
Siasa Imekuja lini mbona hamkutangaza? Itakuwa kuchanja NYUNGUWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kwa miaka miwili waislamu wameshindwa kwenda kuhiji kwa kuwa walioruhusiwa ni wanaotoka kwenye nchi zinazofuata taratibu zote za kudhibiti maambukizi
Aidha amesema baadhi ya wafanya biashara na wenye ndugu nje ya nchi wamekuwa wakipata changamoto ya kuwatembelea kwa kuwa nchi zinataka watu waliochanja
Kwasababu hiyo nchi imeleta chanjo kila mwenye uhitaji aweze kuchoma ili kupata huduma nje ya nchi ikiwemo kuhiji