Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Kadungwe chanjo uwe shoga.
🤣🤣🤣🤣 Mkuu umenivunja mbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kadungwe chanjo uwe shoga.
Tunataka zile chanjo za bei ya tozo,sio chanjo za kuokota jalalani!!
Tena alisemea msikitini! Tunapaswa kumsamehe na maisha yarndeleeSerikali hii hii ilisema chanjo ni hadi Desemba:
#COVID19 - Corona: Chanjo hadi Desemba
Hii habari inavunja moyo. Desemba?! Tutafika kweli huko? Mbona Zenji kwao imeshatua? Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Profesa Abel Makubi alipohojiwa na kituo cha runinga cha Azam juzi, alisema kundi la kwanza kupata chanjo hiyo ni watoa huduma za afya. Chanjo hizo, alisema zitaanza kuwasili...www.jamiiforums.com
Ziko wapi chanjo hizo tunaozitaka tukachanjwe?
No wonder huyu bwana alisema mwendazake alikuwa busy akichapa kazi.
Tena alisemea msikitini! Tunapaswa kumsamehe na maisha yarndelee
Watu wamepinda mzeeDaaah😂😂😂😂
Hilo sio tangazo rasmi?SASA SI WATANGAZE RASMI KWAMBA CHANJO ZIPO ILI WATU WAZIMA..MADR..WALIMU NA MANES NA KILA ANAYETAKA BASI AFABYE
Ni wimbi la kwanza wakati watu wako wimbi la tatu huku ni sawa na kununua simu yenye android version jellybean leo hii.Hjyo chanjo ni ga wimbi la ngapi..maana nasikia kirusi kimeshajibadilisha
We unaamini?Atoe taarifa iliyokamilika pulizi
Hospitali zipi zinachoma
Chanjo ipi(jina/brand)
Gharama kama zipo
Waja twende tukachome!!!!
Za wachina,tunataka j&j.Zipi hizo za jalalani?
Sisemee wewe,View attachment 1861933
Hatutaki!
HujalazimishwaSafi sana! Wanaotaka wakachanjwe! Siyo kutulazimisha wote kuchoma hiyo midude yao
Kwani chanjo zingine huwa unatangulia kujua?Niliwahi kusema huku hata tukichanganyiwa dose zenye maji na mzigo halisi hatutajua
Mbowe alitaka selikali ifanye iwe lazimaHujalazimishwa
Za wachina,tunataka j&j.
Kwenye chanjo hapana,hatutumii za kichina.Mbona mnatumia bidhaa zake na kuwaletea mafanikio, leo chanjo yake imekua jalala!
Na meli ya mafuta ya kula!Serikali hii hii ilisema chanjo ni hadi Desemba:
#COVID19 - Corona: Chanjo hadi Desemba
Hii habari inavunja moyo. Desemba?! Tutafika kweli huko? Mbona Zenji kwao imeshatua? Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Profesa Abel Makubi alipohojiwa na kituo cha runinga cha Azam juzi, alisema kundi la kwanza kupata chanjo hiyo ni watoa huduma za afya. Chanjo hizo, alisema zitaanza kuwasili...www.jamiiforums.com
Ziko wapi chanjo hizo tunaozitaka tukachanjwe?
No wonder huyu bwana alisema mwendazake alikuwa busy akichapa kazi.