Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda uchumi wa tozo.
CCM ndio waliyoanzisha hayo, ukiingia kwenye media za kiisilamu watu wote wanaunga mkono Nchi kutawaliwa na Waziri mkuu na Raisi wa imani yao.Dini na maslahi makubwa ya taifa wapi na wapi?!!!
Wanaopenda hisia koko za udini huwa wana UPOGO WA FIKRA.....
#SiempreJMT
Hanaga jipya, anatembelea machozi ya wengi.Jana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia.
Pia kipindi kile unakagua mradi wa DART ulimuuliza swali Mkurugenzi akaanza kufunguka ukamkatiza ukaongea wewe tu na mwisho akatumbuliwa wakati mlikuwa mmezuia mabasi 70 bandarini kisa kodi.
Ndugu yangu Majaliwa siasa za kimagufuli hazitakusaidia, watanzania sio wajinga.
Hizo siasa zinaumiza maana anatumbua watu kwa kuonea pia bila kuwasikiliza Ili kujipatia ujiko, ajifunze kusikiliza na other story na sio side moja na jambo analoamini, everyone deserve second chanceJana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia.
Pia kipindi kile unakagua mradi wa DART ulimuuliza swali Mkurugenzi akaanza kufunguka ukamkatiza ukaongea wewe tu na mwisho akatumbuliwa wakati mlikuwa mmezuia mabasi 70 bandarini kisa kodi.
Ndugu yangu Majaliwa siasa za kimagufuli hazitakusaidia, watanzania sio wajinga.
Hiyo ni "fallacy" na "generalization"...CCM ndio waliyoanzisha hayo, ukiingia kwenye media za kiisilamu watu wote wanaunga mkono Nchi kutawaliwa na Waziri mkuu na Raisi wa imani yao.
Wameacha hata kutetea Demokrasia tena
Hajamfanyia hata natural justice ya kumsikiliza yeye kamtumbua ametumia mamlaka yake vibaya banaAna siasa za kishamba na kilaghai. Kaulizs kwanini taa hamna, Injinia kachukua maiki ile kaongea maneno mawili tu kamkatiza. Kwanini asimuache aongee ili tujue ukweli?
Ngoja waje bavicha!
Ingia kwenye Islamic Chatrooms,ujionee mwenyewe.Hiyo ni "fallacy" na "generalization"...
Kwa kuwa hao uliowasoma ni waislam ndio wanawakilisha maono ya kila muislam muelewa wa nchi yake?!!
Akitokea mkristo/wakristo kuyaongea hayo anawakilishaje wakristo wote?!!!
#SiempreJMT
Si tukiwa maskani tunaambiana kwamba Mtanzania akikamatwa huko nje, kama vile Msumbiji, unatupa ndani tu kwa sababu ukimpa nafasi ya kujitetea, atafunguka hapo hadi uone hana hatia?!!Jana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia.
Pia kipindi kile unakagua mradi wa DART ulimuuliza swali Mkurugenzi akaanza kufunguka ukamkatiza ukaongea wewe tu na mwisho akatumbuliwa wakati mlikuwa mmezuia mabasi 70 bandarini kisa kodi.
Ndugu yangu Majaliwa siasa za kimagufuli hazitakusaidia, watanzania sio wajinga.
Soma hyooo bwasheeeHahahaaaa....... CCM ni chama kikubwa bwashee hata Chadema iko ndani yake!
Hii team msoga na machawa yao yatasumbua sana..ni hatari kwa taifa hili mtu ameshafariki lakini bado yanachuki Naye, yanasahau na menyewe yatakufa ,mnajiona kama mmeitawala taifa hili hatari sanaNdugu yangu Majaliwa siasa za kimagufuli hazitakusaidia, watanzania sio wajinga.[emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Umestuka mapema sana !Jana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia.
Pia kipindi kile unakagua mradi wa DART ulimuuliza swali Mkurugenzi akaanza kufunguka ukamkatiza ukaongea wewe tu na mwisho akatumbuliwa wakati mlikuwa mmezuia mabasi 70 bandarini kisa kodi.
Ndugu yangu Majaliwa siasa za kimagufuli hazitakusaidia, watanzania sio wajinga.
Huyu ndio yule aliyesema Magufuli ni mzima na anachapa kazi ?