Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatakiwa kujiuzulu, kitengo cha majanga kimemshinda

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatakiwa kujiuzulu, kitengo cha majanga kimemshinda

Mwinyi alivunja mara mbili hio mara ya kwanza according to JK waliitwa akawaambia asante kwa kufanya kazi na nyie naomba mkaandike barua za kujiuzulu akaondoka akawaacha walivyofika huko walipokuwepo ukaja ujumbe wala msiandike barua mmefukuzwa..., na mara ya pili alivunja tena Baraza...

Kwahio hapo ni kama umejipinga umesema ni vigumu kuvunja Baraza wakati JK alivunja na issue ilikuwa hio hio Ufisadi na Lowasa had to go....
Unajua Kuna Kitu Unachanganya Unachanganya kati ya Reshufle na Kuvunja kwa Baraza..

kuvunja kwa Baraza Huwa Unavunja Baraza Zima Nchi inabadki bila Serikali halafu unateua Barza Jipya..

Hii Imefanyika Mara mbili au Tatu tu kwa Tanzania..
na Si zaidi ya Hapo..
Na ndio nimekuonyesha kwamba Kujiuzulu kwa Ndugai ni uzalendo au aliona ni vigumu kupambana na watu walioshika makali ? Ofcourse alichofanya alikuwa hana kosa ila alianza kupigwa zengwe na Chawa na kwa madudu aliyokwishafanya usingeshangaa anaanzishiwa kesi za ufisadi na mwisho wa siku kupoteza vyote...., Hivyo now amefunika Kombe he might be better of than otherwise (na sio kwa mapenzi ya nchi bali necessity)
Kawaida Uzalendo si lazima Upende kitu ila unafanya Kitu kwa manufaa ya nchi..

Hakuna anayependa Kuachia Ngazi ya Cheo ila Unaachia Kuepusha Matokeo ya Kibuli chako na Hiyi ndo maana ahalisi ya Uzalendo nchi kwanza Wewe Baadae
 
Kijana wa miaka 25 anakufa bila kuugua Tena kwa uzembe wa kutookolewa

Nimeona jumbe za watu waliopo kwenye vifusi nimelia Sana

Mimi ni mwanaume lakini ukweli nimejaribu kuvaa viatu vya kijana mwenye miaka 25 ana mke na mtoto kamuacha nyumbani au kwa dada mwenye miaka 23 ana mme kamuacha

Unakufa ukiwa unaona inauma Sana

Bora wanaougua tunawauguza na wanakufa

Toka aondoke baba wa Taifa nchi hii haijawai kuwa serious kwenye majanga na vita

Nyerere alituvusha Vita ya kagera na janga la njaa Kali kuwai kutokea

Unajiuliza je kwa sasa nchi ikivamiwa itakuwaje? Uliona tu kashikashi za Mtwara watu walivyokufa!!

Mabomu ya Mbagala, mabomu ya Gongo la mboto watu walivyokufa kama inzi.

Tetemeko la ardhi bukoba, kuanguka kwa ndege bukoba watu walivyokufa kizembe.

Sasa ni mwendelezo huo huo hakuna utawala unajali kuhusu uhai wa raia

Vaa viatu vya kijana anayekufa akiwa na miaka 25 au 28 bila hata kufanya chochote hapa duniani Tena kwa uzembe tu wa watu

Hivi gorofa la 20×20 linafukuliwa kwa zaidi ya masaa 24 na bado linafukuliwa ?

Waziri mkuu hii ni Mara ya ngapi unazengua ?

Waziri mkuu must go pia na Rais lazima aondoke 2025

Hatuwezi kuendelea kuwa na watu ambao hawajui kesho itakuwaje hawana plan zozote za maisha ya watu wao

Ukweli majanga ya Tanzania ni madogo Sana Sana je tungekuwa Kama Japan Hali ingekuwaje?
Nchi hii hakuna uzalendo na uliuwawa kupitia elimu mbovu. Hivyo hakuna mtu mmoja anayeweza kuleta mabadiliko. Tubadilishe mfumo wa elimu na mfumo wa kisiasa.
 
Kijana wa miaka 25 anakufa bila kuugua Tena kwa uzembe wa kutookolewa

Nimeona jumbe za watu waliopo kwenye vifusi nimelia Sana

Mimi ni mwanaume lakini ukweli nimejaribu kuvaa viatu vya kijana mwenye miaka 25 ana mke na mtoto kamuacha nyumbani au kwa dada mwenye miaka 23 ana mme kamuacha

Unakufa ukiwa unaona inauma Sana

Bora wanaougua tunawauguza na wanakufa

Toka aondoke baba wa Taifa nchi hii haijawai kuwa serious kwenye majanga na vita

Nyerere alituvusha Vita ya kagera na janga la njaa Kali kuwai kutokea

Unajiuliza je kwa sasa nchi ikivamiwa itakuwaje? Uliona tu kashikashi za Mtwara watu walivyokufa!!

Mabomu ya Mbagala, mabomu ya Gongo la mboto watu walivyokufa kama inzi.

Tetemeko la ardhi bukoba, kuanguka kwa ndege bukoba watu walivyokufa kizembe.

Sasa ni mwendelezo huo huo hakuna utawala unajali kuhusu uhai wa raia

Vaa viatu vya kijana anayekufa akiwa na miaka 25 au 28 bila hata kufanya chochote hapa duniani Tena kwa uzembe tu wa watu

Hivi gorofa la 20×20 linafukuliwa kwa zaidi ya masaa 24 na bado linafukuliwa ?

Waziri mkuu hii ni Mara ya ngapi unazengua ?

Waziri mkuu must go pia na Rais lazima aondoke 2025

Hatuwezi kuendelea kuwa na watu ambao hawajui kesho itakuwaje hawana plan zozote za maisha ya watu wao

Ukweli majanga ya Tanzania ni madogo Sana Sana je tungekuwa Kama Japan Hali ingekuwaje?
Samahani nani unampigia kelele??
Kule kuna watu wanaotoa misaada ya kujitolea je wewe umeenda hata eneo la tukio??toa hapa tuhuma za kipuuzi
 
Huyu mzee huwa nawaambia kila siku kuwa ni sehemu ya tatizo haswa kwenye nchi yetu, yupo busy na kupaka kiwi nywele
 
Wa kujiuzulu wapo wengi akienda Kasim pekeyake sio sawa.

Janga limexpose hata utendaji wa jeshi la zima moto nimeona kipande cha video raia kaingia chini kaokoa watu 5 huku askari wa zima moto wakimkabidhi vifaa na wao wakakaa pembeni sasa je hawa watu waliingiaje huko kazini?
 
Kawaida Uzalendo si lazima Upende kitu ila unafanya Kitu kwa manufaa ya nchi..

Hakuna anayependa Kuachia Ngazi ya Cheo ila Unaachia Kuepusha Matokeo ya Kibuli chako na Hiyi ndo maana ahalisi ya Uzalendo nchi kwanza Wewe Baadae
Kwahio faida ya nchi kwanza ni wewe kutoka au kufunika kombe ili lile baya lililofanyika (na allegedly na wewe ndio muhusika mkuu) unatoka ili hilo jambo liishe kujadiliwa wakati nchi inaendelea kutafunwa na hilo jambo au kutoka kwako kunafuga wezi ? (Hayo ndio manufaa ya nchi)?

On on that token Ndugai na yeye ni Mzalendo sababu alitoka ili kuepusha Chama chake ambacho ni kinaongoza nchi (Ingawa ukweli aliamua kuokoa mkata wake).., Lakini Je alichosema na kupigia kelele kimekwisha au kuongezeka ? Kama nchi tangia aseme Mikopo imepungua au hisia za kuuzwa zimekwisha ?

Now tell me at what point hapo nchi imewekwa kwanza au iliwekwa kwanza na hao wahusika zaidi ya kutunza maslahi yao na ya majambazi husika at the detriment of the country ?
 
Broo! Yaani inaumiza sana!

Binafsi mwenyewe ni mwanaume ila machozi yananitoka broo we acha tu!

Yaani ningelikuwa na nguvu hawa viongozi wa nchi maanina zao ningekula nao sahani moja. Sioni mzalendo hapo hata mmoja.
 
Kwahio faida ya nchi kwanza ni wewe kutoka au kufunika kombe ili lile baya lililofanyika (na allegedly na wewe ndio muhusika mkuu) unatoka ili hilo jambo liishe kujadiliwa wakati nchi inaendelea kutafunwa na hilo jambo au kutoka kwako kunafuga wezi ? (Hayo ndio manufaa ya nchi)?

On on that token Ndugai na yeye ni Mzalendo sababu alitoka ili kuepusha Chama chake ambacho ni kinaongoza nchi (Ingawa ukweli aliamua kuokoa mkata wake).., Lakini Je alichosema na kupigia kelele kimekwisha au kuongezeka ? Kama nchi tangia aseme Mikopo imepungua au hisia za kuuzwa zimekwisha ?

Now tell me at what point hapo nchi imewekwa kwanza au iliwekwa kwanza na hao wahusika zaidi ya kutunza maslahi yao na ya majambazi husika at the detriment of the country ?
As per Discusion 😅😅🙌🙌

"Manus meae ligatae sunt et vinclis iuris detineor ut de hoc negotio loqui nequeam; hoc quidem perfecte convenit cum prospectu gubernationis."

"Mikono yangu imefungwa na ninashindwa zaidi kuendelea kwa sababu ya vifungo vya Kikanuni na Kisheria kuzungumzia suala hili, Cuz My next Hoja na Discussion Itaenda Directly kwa Serkali na Mamlaka ya Rais" 😅😅😅🤣🤣🙌🙌🙌
 
Chadema wamehamia Kariakoo kama kawaida yao wazee wakufuata upepo. Njoo na solution....
 
Broo! Yaani inaumiza sana!

Binafsi mwenyewe ni mwanaume ila machozi yananitoka broo we acha tu!

Yaani ningelikuwa na nguvu hawa viongozi wa nchi maanina zao ningekula nao sahani moja. Sioni mzalendo hapo hata mmoja.
Nenda site ingia shimoni okoa watu sio kelele humu.
 
As per Discusion 😅😅🙌🙌

"Manus meae ligatae sunt et vinclis iuris detineor ut de hoc negotio loqui nequeam; hoc quidem perfecte convenit cum prospectu gubernationis."

"Mikono yangu imefungwa na ninashindwa zaidi kuendelea kwa sababu ya vifungo vya Kikanuni na Kisheria kuzungumzia suala hili, Cuz My next Hoja na Discussion Itaenda Directly kwa Serkali na Mamlaka ya Rais" 😅😅😅🤣🤣🙌🙌🙌
Fair enough...., ila shouldn't the well being of Citizenry and the Country, Trump Everything, even the Government and Presidency ?

Sababu kama kweli Taifa na wananchi comes first na wewe ni mzalendo huwezi kuachia wizi na uharamia uendelee ili tu kulinda mamlaka ambayo ni to the detriment of the Country. Mbaya zaidi hata kama ulikuwa haumo (which is very hard to believe) uliendelea kula Kodi za mwananchi wakati ufisadi unaendelea...
 
Penye jitihada patasemwa na penye mapungufu patasemwa!

Kama hauwezi kuhimili mojawapo baina ya hayo mawili basi bado hujawa binadamu kamili.
Wacha watu waokoe watu na watoke kwanza baadae sema unayotaka kusema mapungufu. Mimi najuwa hali zetu na wala sitegemei zaidi ya haya ndio uwezo wetu. Kila jambo zuri lina gharama zake. Huwezi kwenda Hotel ya alfu 30 utegemee huduma za chumba laki 3.
 
Kijana wa miaka 25 anakufa bila kuugua Tena kwa uzembe wa kutookolewa

Nimeona jumbe za watu waliopo kwenye vifusi nimelia Sana

Mimi ni mwanaume lakini ukweli nimejaribu kuvaa viatu vya kijana mwenye miaka 25 ana mke na mtoto kamuacha nyumbani au kwa dada mwenye miaka 23 ana mme kamuacha

Unakufa ukiwa unaona inauma Sana

Bora wanaougua tunawauguza na wanakufa

Toka aondoke baba wa Taifa nchi hii haijawai kuwa serious kwenye majanga na vita

Nyerere alituvusha Vita ya kagera na janga la njaa Kali kuwai kutokea

Unajiuliza je kwa sasa nchi ikivamiwa itakuwaje? Uliona tu kashikashi za Mtwara watu walivyokufa!!

Mabomu ya Mbagala, mabomu ya Gongo la mboto watu walivyokufa kama inzi.

Tetemeko la ardhi bukoba, kuanguka kwa ndege bukoba watu walivyokufa kizembe.

Sasa ni mwendelezo huo huo hakuna utawala unajali kuhusu uhai wa raia

Vaa viatu vya kijana anayekufa akiwa na miaka 25 au 28 bila hata kufanya chochote hapa duniani Tena kwa uzembe tu wa watu

Hivi gorofa la 20×20 linafukuliwa kwa zaidi ya masaa 24 na bado linafukuliwa ?

Waziri mkuu hii ni Mara ya ngapi unazengua ?

Waziri mkuu must go pia na Rais lazima aondoke 2025

Hatuwezi kuendelea kuwa na watu ambao hawajui kesho itakuwaje hawana plan zozote za maisha ya watu wao

Ukweli majanga ya Tanzania ni madogo Sana Sana je tungekuwa Kama Japan Hali ingekuwaje?
Aisee! Umeongea ukweli sana! Nchi ya hovyo sana hii! Uwanja wa ndege Bukoba hauna control tower mpaka Leo wakati umejengwa na waingereza! Eti wanategemea uwanja wa mwanza? Aibu kubwa!
 
Back
Top Bottom