Waziri Mkuu Kassim Majaliwa avamia mwendokasi, ahoji mapato yalipo kama wanashindwa kununua mabasi. Mkurugenzi wa fedha atumbuliwa

Mwongo mkubwa!

UDART haijawahi kuwa na konda wa kuuza ticket kama daladala

Unabishana na uhalisia?

Wangeacha tuendelee kulipa nauli Kwa card
Na machine za kukagua ticket ziendelee kuwepo

Ila wangepiga vipi?
 
Bado ombwe la u JPM linawausumbua
 
Vivuko ndio kabisaa
 
Hiii kitu kwa kuitafakari nje ya box sahii ndio wakati wa kaz kabla ya mwendazake,,,, mean Kuna mengi yalikuwa nyumba yaliyo ficha madubwasha.
Mama suruhu anafanya suruhisho.
 
Wanacheza na akili za watanzani. But wacha mwendo tuone itakuaje after 3 yrs
 
Ooh okay
Na lilikuwa linanuka harufu ya plastic inayoungua
Ukipanda zile gari unatakiwa mguu moja ndani mwingine nje.

Unategemea nini toka mwanzo wa safari unasikia harufu ya kitu kama kinaungua.
 
1. Mzabuni wa kuendesha mradi alipatikanaje (taratibu)?

2. Contract term and conditions zilikuwaje?

3. Kama ameenda kinyume mkataba, taratibu zinataka hatua gani zichukuliwe?
 
Haya unayatoa wapi!? Seriously...

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kama tunashindwa kuendesha mradi mdogo huu wa mabasi na kila siku inakuwa shida mpaka PM anakuja site tutayaweza kweli haya madubwana kama SGR, Stieggler, ATCL nk?
 
John aliuharibu mfumo wa mashine kwa kutoa tiketi akawapa TTCL nao wakafanya yao naona wakachemsha pale UDART na DART ni wizi mkubwa sana
 
Yaani, daah mradi kama wa kawaida tu kama huu, unatusumbua kiasi hiki? Sasa ATCL business ya ndege itakuwaje?
 
Hongera sana waziri mkuu kwa kuliona Hilo , maana abiria wanateseka sana , zichukuliwe hatua haraka
 
Waziri Mkuu hapo anaenda hii sijui mara ya tatu kila siku changamoto haziishi na anataka kutatua kwa makamera kazi ipo...Kuna kitu kimejificha hapo apeleke Timu ya ukaguzi tupate majibu ya kitaalamu sio haya ya kisiasa...
 
Waziri Mkuu hapo anaenda hii sijui mara ya tatu kila siku changamoto haziishi na anataka kutatua kwa makamera kazi ipo. Kuna kitu kimejificha hapo apeleke Timu ya ukaguzi tupate majibu ya kitaalamu sio haya ya kisiasa.
Huyu PM kwa makamera hadi anakera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…