Waziri Mkuu Kassim Majaliwa avamia mwendokasi, ahoji mapato yalipo kama wanashindwa kununua mabasi. Mkurugenzi wa fedha atumbuliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa avamia mwendokasi, ahoji mapato yalipo kama wanashindwa kununua mabasi. Mkurugenzi wa fedha atumbuliwa

Enzi za mkwere kisena alikua anajichagulia route na nauli alikua anapanga mwenyewe,jamaa na washirika wake wanastahili kuwa jela kwa sasa
Kwa nini mradi ulianzishwa kwa complications namna hii? Huu mradi aliyeuanzisha ndiye mwenye makosa. Wengi tulisema hapa kuwa wana-complicate mambo kwa sababu tu ya ufisadi. Nadhani ni enzi za mkwere hizo.
 
Huu mradi walioua ni UDART wenyewe, DART kama msimamizi na NMB kama Fund Manager.

1. UDART alitakiwa kumlipa mwenye mfumo,Maxmalipo hakulipa. Yale mageti yakawa hayana kazi tena maana UDART alikuwa hana access ya kufanya chochote ndio maana akasema ataunda mfumo wake mpya wa tiketi kupitia TTCL nadhani au eGa.

2. DART kama mamlaka ya serikali alikubalije UDART kupiga u-turn na kusema atakuja na mfumo mpya na kuanza kukusanya nauli kweny ndoo (cash) na zikawa haziendi Bank

3. NMB kama fund manager alikubalije kuona account zilizofunguliwa kuendesha mradi zikiwa hazina miamala. Zile account ndio zilikuwa zinatumika kugawa revenues kwa stakeholders wote.
Excellent observation
 
Kisena aliwekwa na hayati? Uda ya Kisena na Jk ndio mradi wao, na wao ndio wakulaumiwa, nakushangaa sana.

Au unajipendekeza kwa mama ili upate teuzi by Askofu Peter Konk
 
Huu mradi walioua ni UDART wenyewe, DART kama msimamizi na NMB kama Fund Manager.

1. UDART alitakiwa kumlipa mwenye mfumo,Maxmalipo hakulipa. Yale mageti yakawa hayana kazi tena maana UDART alikuwa hana access ya kufanya chochote ndio maana akasema ataunda mfumo wake mpya wa tiketi kupitia TTCL nadhani au eGa.

2. DART kama mamlaka ya serikali alikubalije UDART kupiga u-turn na kusema atakuja na mfumo mpya na kuanza kukusanya nauli kweny ndoo (cash) na zikawa haziendi Bank

3. NMB kama fund manager alikubalije kuona account zilizofunguliwa kuendesha mradi zikiwa hazina miamala. Zile account ndio zilikuwa zinatumika kugawa revenues kwa stakeholders wote.
Walifanya hivyo ili wafanikiwe kuiba mapato sasa hivi hata wale wakata tickets wanaweza kuondoka na hela kwenye ndoo na mabegi na hakuna atakayejua.
 
Nilikuwa siamini kwamba kwenye kila analogusa Magufuli huwa ana haribu Ila kwenye Mwendokasi ndo sehemu niliyokuja kuamini kwa Mara ya kwanza!

Kwanza inabidi wote tujiulize mwendokasi ilianzia wapi?

Mradi wa mabasi ya mwendokasi ukianzishwa na kuasisiwa na Rais wa Awamu ya nne. Kwa Jinsi mradi ulivyokuwa umeandaliwa ulitakiwa kusimamiwa na kampuni binafsi na tangu mwanzo ulisimamiwa kwenye mfumo huo. Mradi huu ulikuwa chini ya Kampuni na Kisena na wakati unaanza kila kitu kilikuwa kinaendeshwa katika dunia ya kisasa. Ticket zilikatwa kielectronic na watu waliweka hadi kuwa na kadi ya kutumia mwezi mzima.

Alipokuja Magufuli kwanza alianza ku deal na kisena kwa sababu kisena hakuwa kwenye kundi la watu waliomuunga mkono kwenye uchaguzi wa mwaka 2015. Alimtesa kisena kumpa kesi za uhujumu uchumi na mkewe na baadae kumnyang’anya mradi na hatimaye akaondoa utaratibu wote mzuri uliokuwa umewekwa kwa ajiri ya kuendesha mradi.

Matokeo yake akawapa wanajeshi, na hapo ndo Tatizo lilipoanza. Mradi ulianza kuendeshwa kwa tabia za kiswahili na watu wakaanza kukata ticket kama daladala.

Mradi huu hadi kufikia sasa ulitakiwa uwe umeshaanza kujiendesha kwa faida Ila kwa roho mbaya ya magufuli na tabia zake za kuchukia matajiri ndo amefanya mradi ule uwe kituko na usifike popote.

Polee kisena. Buriani Mwendokasi.
KAZI ilifia Kwa muuza supu rangi nyeupe IPO kwenye hii music labda ulipambana kujua rangi duniani



Uhuru kashinda duniani na Mwanya wake yawezekana ndio huyo demu na Watu weupe wanapiga marimba wapo duniani Bora Tanzania wanaume walikuwa na tatizo la rangi hatutatimia nguvu kuelewa
 
Kisena aliwekwa na hayati? Uda ya Kisena na Jk ndio mradi wao, na wao ndio wakulaumiwa, nakushangaa sana.

Au unajipendekeza kwa mama ili upate teuzi by Askofu Peter Konk
Nipate uteuzi ili iweje? Analaumiwa Magufuli Kwa sababu aliukuta mradi umewekwa vizuri ila akauharibu kwa roho mbaya zake na uzandiki wake.
 
KAZI ilifia Kwa muuza supu rangi nyeupe IPO kwenye hii music labda ulipambana kujua rangi duniani



Uhuru kashinda duniani na Mwanya wake yawezekana ndio huyo demu na Watu weupe wanapiga marimba wapo duniani Bora Tanzania wanaume walikuwa na tatizo la rangi hatutatimia nguvu kuelewa

Duh
 
Nilikuwa siamini kwamba kwenye kila analogusa Magufuli huwa ana haribu Ila kwenye Mwendokasi ndo sehemu niliyokuja kuamini kwa Mara ya kwanza!

Kwanza inabidi wote tujiulize mwendokasi ilianzia wapi?

Mradi wa mabasi ya mwendokasi ukianzishwa na kuasisiwa na Rais wa Awamu ya nne. Kwa Jinsi mradi ulivyokuwa umeandaliwa ulitakiwa kusimamiwa na kampuni binafsi na tangu mwanzo ulisimamiwa kwenye mfumo huo. Mradi huu ulikuwa chini ya Kampuni na Kisena na wakati unaanza kila kitu kilikuwa kinaendeshwa katika dunia ya kisasa. Ticket zilikatwa kielectronic na watu waliweka hadi kuwa na kadi ya kutumia mwezi mzima.

Alipokuja Magufuli kwanza alianza ku deal na kisena kwa sababu kisena hakuwa kwenye kundi la watu waliomuunga mkono kwenye uchaguzi wa mwaka 2015. Alimtesa kisena kumpa kesi za uhujumu uchumi na mkewe na baadae kumnyang’anya mradi na hatimaye akaondoa utaratibu wote mzuri uliokuwa umewekwa kwa ajiri ya kuendesha mradi.

Matokeo yake akawapa wanajeshi, na hapo ndo Tatizo lilipoanza. Mradi ulianza kuendeshwa kwa tabia za kiswahili na watu wakaanza kukata ticket kama daladala.

Mradi huu hadi kufikia sasa ulitakiwa uwe umeshaanza kujiendesha kwa faida Ila kwa roho mbaya ya magufuli na tabia zake za kuchukia matajiri ndo amefanya mradi ule uwe kituko na usifike popote.

Polee kisena. Buriani Mwendokasi.
Maskini hujui usemalo. Mwendokasi tangu mwanzo ulikuwa mradi uliokufa kabla ya kuanza kazi hasa ikizingatiwa kuwa akina SImon Kisena waliopoka UDA waliishauua. Magufuli amesaidia hata kufikia hapo ulipo baada ya kuwakamata na kuwasweka ndani akina Kisena. Kama hujui uliza ujuzwe badala ya kuja na mambo ya ajabu ajabu yaliyojaa ujinga na uongo.
 
Nilikuwa siamini kwamba kwenye kila analogusa Magufuli huwa ana haribu Ila kwenye Mwendokasi ndo sehemu niliyokuja kuamini kwa Mara ya kwanza!

Kwanza inabidi wote tujiulize mwendokasi ilianzia wapi?

Mradi wa mabasi ya mwendokasi ukianzishwa na kuasisiwa na Rais wa Awamu ya nne. Kwa Jinsi mradi ulivyokuwa umeandaliwa ulitakiwa kusimamiwa na kampuni binafsi na tangu mwanzo ulisimamiwa kwenye mfumo huo. Mradi huu ulikuwa chini ya Kampuni na Kisena na wakati unaanza kila kitu kilikuwa kinaendeshwa katika dunia ya kisasa. Ticket zilikatwa kielectronic na watu waliweka hadi kuwa na kadi ya kutumia mwezi mzima.

Alipokuja Magufuli kwanza alianza ku deal na kisena kwa sababu kisena hakuwa kwenye kundi la watu waliomuunga mkono kwenye uchaguzi wa mwaka 2015. Alimtesa kisena kumpa kesi za uhujumu uchumi na mkewe na baadae kumnyang’anya mradi na hatimaye akaondoa utaratibu wote mzuri uliokuwa umewekwa kwa ajiri ya kuendesha mradi.

Matokeo yake akawapa wanajeshi, na hapo ndo Tatizo lilipoanza. Mradi ulianza kuendeshwa kwa tabia za kiswahili na watu wakaanza kukata ticket kama daladala.

Mradi huu hadi kufikia sasa ulitakiwa uwe umeshaanza kujiendesha kwa faida Ila kwa roho mbaya ya magufuli na tabia zake za kuchukia matajiri ndo amefanya mradi ule uwe kituko na usifike popote.

Polee kisena. Buriani Mwendokasi.
Kiongozi utabangua korosho na meno semi zima lile la jeshi 🤣🤣
Unataka kusema jeshi limeshindwa kazi sio
 
Brand ya mabasi wanayotumia ni hayo mashokishoki kutoka China what do you expect? Hata kuendelea kuwa barabarani kwa baadhi ya mabasi ni kitendo cha kusifiwa.

Work shop yao wako mafundi mchundo wawili watatu. Unahamisha vipuri vya basi lilokuwa grounded ili mengine ya tembee. Siku vipuri vya kuhamisha vikiisha ndio unafanya nini? Hizi akili hata Mmanga wa hapa Imalampaka aliye ishia darasa la kwanza B anawashinda. Kisena hakuibuka kama mchicha pori. Wako watu wamelinajisi sana hili Taifa la Tanzania.
 
Brand ya mabasi wanayotumia ni hayo mashokishoki kutoka China what do you expect? Hata kuendelea kuwa barabarani kwa baadhi ya mabasi ni kitendo cha kusifiwa.

Work shop yao wako mafundi mchundo wawili watatu. Unahamisha vipuri vya basi lilokuwa grounded ili mengine ya tembee. Siku vipuri vya kuhamisha vikiisha ndio unafanya nini? Hizi akili hata Mmanga wa hapa Imalampaka aliye ishia darasa la kwanza B anawashinda. Kisena hakuibuka kama mchicha pori. Wako watu wamelinajisi sana hili Taifa la Tanzania.
KAZI ilifia Kwa muuza supu rangi nyeupe IPO kwenye hii music labda ulipambana kujua rangi duniani



Uhuru kashinda duniani na Mwanya wake yawezekana ndio huyo demu na Watu weupe wanapiga marimba wapo duniani Bora Tanzania wanaume walikuwa na tatizo la rangi hatutatimia nguvu kuelewa
 
Brand ya mabasi wanayotumia ni hayo mashokishoki kutoka China what do you expect? Hata kuendelea kuwa barabarani kwa baadhi ya mabasi ni kitendo cha kusifiwa.

Work shop yao wako mafundi mchundo wawili watatu. Unahamisha vipuri vya basi lilokuwa grounded ili mengine ya tembee. Siku vipuri vya kuhamisha vikiisha ndio unafanya nini? Hizi akili hata Mmanga wa hapa Imalampaka aliye ishia darasa la kwanza B anawashinda. Kisena hakuibuka kama mchicha pori. Wako watu wamelinajisi sana hili Taifa la Tanzania.
Kwa nini wasimgebadilisha mabasi?
 
Back
Top Bottom