Waziri Mkuu Kassim Majaliwa avamia mwendokasi, ahoji mapato yalipo kama wanashindwa kununua mabasi. Mkurugenzi wa fedha atumbuliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa avamia mwendokasi, ahoji mapato yalipo kama wanashindwa kununua mabasi. Mkurugenzi wa fedha atumbuliwa

huwa wakati mwingine siwaelewi watendaji wetu jinsi wanavyofanya kazi.
inashindikana nini mtu aliyepewa dhamana na serikali kupewa mabasi ili aendelee na huduma huku fedha za kodi zikikatwa kila mwezi au kila siku kwa kiasi kidogo mpaka ziishe? ikiwezekana na riba baada ya muda kupita? kipi kinashindikana?
 
Huu mradi walioua ni UDART wenyewe, DART kama msimamizi na NMB kama Fund Manager.

1. UDART alitakiwa kumlipa mwenye mfumo,Maxmalipo hakulipa. Yale mageti yakawa hayana kazi tena maana UDART alikuwa hana access ya kufanya chochote ndio maana akasema ataunda mfumo wake mpya wa tiketi kupitia TTCL nadhani au eGa.

2. DART kama mamlaka ya serikali alikubalije UDART kupiga u-turn na kusema atakuja na mfumo mpya na kuanza kukusanya nauli kweny ndoo (cash) na zikawa haziendi Bank

3. NMB kama fund manager alikubalije kuona account zilizofunguliwa kuendesha mradi zikiwa hazina miamala. Zile account ndio zilikuwa zinatumika kugawa revenues kwa stakeholders wote.
Kwa nini mradi ulianzishwa kwa complications namna hii? Huu mradi aliyeuanzisha ndiye mwenye makosa. Wengi tulisema hapa kuwa wana-complicate mambo kwa sababu tu ya ufisadi. Nadhani ni enzi za mkwere hizo.
 
Kisena alikuwa kwenye mradi kifisadi. Hivyo ilikuwa sawa kumuondoa. Labda tuseme hakutafuta solution nzuri.
Hata kama alikuwa kwenye mradi kifisadi Mbona aliuendesha vizuri na kisasa mwanzoni?? Mbona huyu ambaye mnadai sio fisadi ndo amefanya mradi ufe???
 
Kwa nini mradi ulianzishwa kwa complications namna hii? Huu mradi aliyeuanzisha ndiye mwenye makosa. Wengi tulisema hapa kuwa wana-complicate mambo kwa sababu tu ya ufisadi. Nadhani ni enzi za mkwere hizo.
Ufisadi upi ulikuwepo?? Acheni kuchukia matajiri ndo mana mnakuwa masikini na makapuku milele!
 
Hata madereva waliokuwepo aliwang'oa akaweka Wanajeshi ( Naweza kuthibitisha ), hapa ameua ajira kwa kuwapa kazi watu wenye ajira mahali kwingine , ana roho mbaya sana
Alafu baadae wanafukuza kazi vijana wa JKT ambao waliwapa ahadi za kuwaajiri. Magufuli hakuwa na akili kabisa. Ugomvi wake na sekta binafsi ndo umeleta shida kubwa sana ya ajira nchini hapa
 
Nilikuwa siamini kwamba kwenye kila analogusa Magufuli huwa ana haribu Ila kwenye Mwendokasi ndo sehemu niliyokuja kuamini kwa Mara ya kwanza!

Kwanza inabidi wote tujiulize mwendokasi ilianzia wapi?

Mradi wa mabasi ya mwendokasi ukianzishwa na kuasisiwa na Rais wa Awamu ya nne. Kwa Jinsi mradi ulivyokuwa umeandaliwa ulitakiwa kusimamiwa na kampuni binafsi na tangu mwanzo ulisimamiwa kwenye mfumo huo. Mradi huu ulikuwa chini ya Kampuni na Kisena na wakati unaanza kila kitu kilikuwa kinaendeshwa katika dunia ya kisasa. Ticket zilikatwa kielectronic na watu waliweka hadi kuwa na kadi ya kutumia mwezi mzima.

Alipokuja Magufuli kwanza alianza ku deal na kisena kwa sababu kisena hakuwa kwenye kundi la watu waliomuunga mkono kwenye uchaguzi wa mwaka 2015. Alimtesa kisena kumpa kesi za uhujumu uchumi na mkewe na baadae kumnyang’anya mradi na hatimaye akaondoa utaratibu wote mzuri uliokuwa umewekwa kwa ajiri ya kuendesha mradi.

Matokeo yake akawapa wanajeshi, na hapo ndo Tatizo lilipoanza. Mradi ulianza kuendeshwa kwa tabia za kiswahili na watu wakaanza kukata ticket kama daladala.

Mradi huu hadi kufikia sasa ulitakiwa uwe umeshaanza kujiendesha kwa faida Ila kwa roho mbaya ya magufuli na tabia zake za kuchukia matajiri ndo amefanya mradi ule uwe kituko na usifike popote.

Polee kisena. Buriani Mwendokasi.

Iviwewe huyo kisena ujua alicho fanya, ama ulikuwa unakula kwake?

Kushugulika na mafisadi ni moja ya mambo ambayo Magu aliapa kupambananayo mbaka dakika ya mwisho na ndivyo ilivyo kuwa.

Hata ukuwauliza wenzako walio acha unyumbu wakaunga mkono juhudi watakuambia walivutiwa na jinsi Magu alivyokuwa akipambana na mafisadi wahujumu uchumi.

Acha kupambana na marehem mwenzako kashamaliza mwendowake we bado una hasiranae tuliza akili acha kuzeeka vibaya.
 
Huu mradi walioua ni UDART wenyewe, DART kama msimamizi na NMB kama Fund Manager.

1. UDART alitakiwa kumlipa mwenye mfumo,Maxmalipo hakulipa. Yale mageti yakawa hayana kazi tena maana UDART alikuwa hana access ya kufanya chochote ndio maana akasema ataunda mfumo wake mpya wa tiketi kupitia TTCL nadhani au eGa.

2. DART kama mamlaka ya serikali alikubalije UDART kupiga u-turn na kusema atakuja na mfumo mpya na kuanza kukusanya nauli kweny ndoo (cash) na zikawa haziendi Bank

3. NMB kama fund manager alikubalije kuona account zilizofunguliwa kuendesha mradi zikiwa hazina miamala. Zile account ndio zilikuwa zinatumika kugawa revenues kwa stakeholders wote.
Acha kuzunguka mbuyu. Aliyeua mradi ni Magufuli kwa kuleta ujuaji wake na ugomvi wake na Kisena!
 
Iviwewe huyo kisena ujua alicho fanya, ama ulikuwa unakula kwake?

Kushugulika na mafisadi ni moja ya mambo ambayo Magu aliapa kupambananayo mbaka dakika ya mwisho na ndivyo ilivyo kuwa.

Hata ukuwauliza wenzako walio acha unyumbu wakaunga mkono juhudi watakuambia walivutiwa na jinsi Magu alivyokuwa akipambana na mafisadi wahujumu uchumi.

Acha kupambana na marehem mwenzako kashamaliza mwendowake we bado una hasiranae tuliza akili acha kuzeeka vibaya.
Kupambana na mafisadi ndo unaua miradi na unasababisha Tatizo la ajira?? Hizo ni akili au matope??
 
Nyuma ya kisena kuna rizi-1, juhudi kubwa sana zinafanyika kuirudisha miradi ya kifisadi ya Kikwete iliyo chinjiwa baharini na Makufuli, kosa kubwa alilofanya Makufuli ni kutowanyonga haraka haraka wahujumu uchumi nguli kama Kisena, Rugemalila na Sethi
 
Nyuma ya kisena kuna rizi-1, juhudi kubwa sana zinafanyika kuirudisha miradi ya kifisadi ya kikwete iliyo chinjiwa baharin na makufuli
Juhudi gani wakati mwendokasi inajifia?? Ushawai kupanda mwendokasi wewe au ndo unaongea tu kutoka chato?
 
Huu mradi walioua ni UDART wenyewe, DART kama msimamizi na NMB kama Fund Manager.

1. UDART alitakiwa kumlipa mwenye mfumo,Maxmalipo hakulipa. Yale mageti yakawa hayana kazi tena maana UDART alikuwa hana access ya kufanya chochote ndio maana akasema ataunda mfumo wake mpya wa tiketi kupitia TTCL nadhani au eGa.

2. DART kama mamlaka ya serikali alikubalije UDART kupiga u-turn na kusema atakuja na mfumo mpya na kuanza kukusanya nauli kweny ndoo (cash) na zikawa haziendi Bank

3. NMB kama fund manager alikubalije kuona account zilizofunguliwa kuendesha mradi zikiwa hazina miamala. Zile account ndio zilikuwa zinatumika kugawa revenues kwa stakeholders wote.
Ule mfumo kisena aliona aumlipi,ndio akaamua kulikoroga maxmalipo kwa maksudi,matokeo yake ndio haya sasa,anapiga sana pesa yule jamaa
 
Back
Top Bottom