Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Shuleni kama ulibahatika kuuangalia mchezo wa kuigiza mchezo huo wa kuigiza ukiwa mrefu na matukio marefu na mpangilio maalum mkamuweka na muhusika mkuu, (steering), ambaye akifa anaweza akotokea baadae kwenye mchezo hua huo, huitwa filamu, mfumo huu wa mhusika mkuu aliye kufa akaibuka baadae hutumika kwenye picha za kihindi, (filamu)hivi hajawahi kwenda US?
Lakini si walikuwa marafiki na ile first trip alikutana naye huko? what went wrongAnamwogopa mange kimambi hachelewi kumlaki na bango
Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).Naona mnahangaika sana. Vipi maandamano yenu yameishia wapi?
Timing labda ndo inawachanganya hao rafiki zako.Mbona alishamtuma mara nyingi hata safari iliyopita pia Makamo alienda mpaka mkaanza kumtangaza kuwa amefariki?
Hivi ni kwa nini huyu mama anataka kustaafu vibaya? Kisa nini?Ameyakanyaga.nasikia ujerumani kapigwa marufuku kukanyaga
jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza 🐒Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.
My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi? Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.
Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria, Je safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii ?
Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na China……
Nawasilisha
Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).
Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.
Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).
Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.
(mwisho)
Sasa atawakacha mpaka lini? Si bora aende wakayamalize huko huko. Sisi wananchi tunahitaji huduma na lazima aende kutuhemea sisi watoto wake, la sivyo tutakufa kwa njaa. Nakumbuka kipindi cha njaa ya mwaka 1984 shuleni tuliletewa Unga ule wa Njano ( yellow) toka USA. Mchonga alienda kule akaomba huo unga akisema anawaletea mifugo yake huku, maana angesema ni chakula cha kulisha watu wake asingepewa. Chakula hcho kweli kilituvusha kpindi hicho kigumu hapa kwetu. So angalia umuhimu na ukubwa wa Uncle Sam ulivyo.Na wakina Mange walikuwa wanaenda kumletea noma kama angekanyaga 🤣🤣🤣
jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza 🐒
Huyu mama tangu anaingia madarakani nilimuunga mkono sana, alionekana ni mwanamke mpole, mwenye hekima busara na upendo...ule upumbavu wake alitakiwa akauseme ktk mkutano wa unga.
UGA hata wanamapinduzi walopigwa stop AU kama vile Capt. Ibrahim Troure Traore, Capt. Dumboya n.k wanazama US bila mbambamba yoyote kama akina mugabe tu wakiamua 🐒Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).
Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.
Huyu mama tangu anaingia madarakani nilimuunga mkono sana, alionekana ni mwanamke mpole, mwenye hekima busara na upendo.
Nililaani sana kwa mfano, kitendo cha kijana wa tukuyu kuchoma picha yake.
Lakini kwa mshtuko mkubwa, nashangaa kuona anafanya mambo ambayo sikutarajia kabisa.
Angewaambia tu kwamba kifo ni kifo.Yanaisha.
Kumaanisha nini?..Mange Kimambi anasema ni wa jinsia mseto.
sio kupenda,Anavyopenda safari mbona amagwaya ?
Mbona alishamtuma mara nyingi
Heko PM, Kufa kufaana. Yeye angepata lini hiyo Trip
,sio mara ya kwanza kiongozi yeyote kumuwakilisha Mh Rais Samia ,