Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.

My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi?

Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.

Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria.

Je, safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii?

Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na Chini.

Nawasilisha

Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).

Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.

Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).

Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.

(mwisho)
Kuna Mange Kimambi kule ohooooo😁
 
Angeenda na kusisitiza aluyosema Juzi hapo ndio JKN alikuwa kiburi......
 
Labda Sasa hivi kaanza kusikiliza wataalamu badala ya wanasiasa.

Nilikuwa nasikiliza takwimu za ‘Bloomberg News’ leo kwenye kipindi chao cha ‘surveillance. Toka‘Joe Biden’ kumu endorse ‘Kamara Harris’ awe nominated ana siku 59.

Katika hizo siku 59 ‘Kamara Harris’ na vice president nominee ‘Tim Walz’ wameongea kwenye vyombo vya habari both (TV na print media) mara saba tu.

Katika muda huo huo, Donald Trump na DJ Vince wameongea mara 70. DJ Vance peke yake ameongea 49 times.

Maana yake nini huko kwenye team ya Democrats wanaujua uwezo wa ‘Kamara Harris’ hawako tayari kumuacha afanye interview peke yake kwa mtindo wa spontaneous question.

Labda usalama nao washaona ni muda maamuzi magumu, sasa kumuacha ‘bi-tozo’ kwenda kujibu maswali huko spontaneously anaweza tengeneza matatizo makubwa zaidi bora atulie tu nyumbani
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.

My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi?

Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.

Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria.

Je, safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii?

Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na Chini.

Nawasilisha

Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).

Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.

Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).

Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.

(mwisho)
My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi?

Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.

Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria.
 
I think this is a farewell trip to Majaliwa.

2025 , PM atakuwa mwingine.
 
Angeeda nako mngesema amelimbi soo lake ,yuko hapa kupambana na magaidi wa nchi ,sio mara ya kwanza kiongozi yeyote kumuwakilisha Mh Rais Samia ,acha ujinga dogo

USSR
Thubutu aende yule Binti wa Kipare mtoto wa Kimambi angemfuata New York toka Los Angeles na ingekuwa aibu ya karne.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.

My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi?

Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.

Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria.

Je, safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii?

Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na Chini.

Nawasilisha

Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).

Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.

Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).

Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.

(mwisho)
Kama wewe ni mwanaume, ni yule mwenye mke ajuza
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.

My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi?

Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.

Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria.

Je, safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii?

Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na Chini.

Nawasilisha

Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).

Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.

Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).

Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.

(mwisho)
Aliifungua nchi naona sasa anaifunga...hehehe...
 
Mbona alishawakilishwa na Philip Mpango miaka michache iliyopita? Yaani Rais ahofie takataka hizo? Labda sio Rais wa Tanzania
 
Back
Top Bottom