Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79

She will be in ruvuma

Please bro… don’t get this low

Confirmed list ya TZ delegates ilikua ready for weeks
Mkuu, I have only brought information, I don't think it is wise to judge me, people's opinions are what you should judge
 
Mkuu inaonekana hauna uelewa wa kutosha kuhusu siasa za Kimataifa na unashindwa kuitofautisha UN na nchi ya USA.
Kitu unachotakiwa kujua ni kwamba ijapokuwa Makao Makuu ya UN yanapatikana NewYork, lakini hayana uhusiano wa moja kwa moja na nchi ya USA kwakuwa matakwa ya Kimataifa yameitofautisha US na UN kama mamlaka mbili tofauti zinazojitegemea.
Mfano Rais wa kukusaidia kuelewa ni kwamba wakati aliyekuwa Rais wa Zimbabwe hayati Robert Mugabe amezuiliwa kutembelea Ulaya na Marekani, marufuku hiyo haikuweza kumzuia kuhudhuria Mikutano ya Umoja wa Mataifa ambayo ilikuwa ikifanyika hapo hapo Marekani kwakuwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa zimeweza kuitofautisha taifa la marekani dhidi ya viunga vya UN
But manyanza sio mbumbumbu
 
Angeeda nako mngesema amelimbi soo lake ,yuko hapa kupambana na magaidi wa nchi ,sio mara ya kwanza kiongozi yeyote kumuwakilisha Mh Rais Samia ,acha ujinga dogo

USSR
Nchi ina watu wajinga sana. Naunga mkono polisi wafanye kazi yao. Kuruhusu nchi kuwa na wajinga wa kiwango kilichopo sasa ni hatari kwa afya ya nchi. Hivi kuna wakosoaji wakubwa wa nchi za Magharibi kama Mugabe, Maduro, Iran; na wote hao walikuwa wakienda UNGA.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.
My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi? Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.
Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria, Je safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii ?
Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na China……

Nawasilisha

Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).

Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.

Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).

Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.

(mwisho)
Kwamba safari ya Marekani inaandaliwa kama safari ya kupanda Abood kutoka Dar kwenda Moro au? Ndo umeshishindwa hata kujiongeza kidogo tu?
 
Chadema bhana 😂 kwan n mara ngapi anatuma watu kumuwakilisha? Kwamba h n mara ya kwanza?

Ety kapigwa marufuku kukanyaga nchi kadhaa 😂 Wabongo bhana 😂 kweli akili za kupewa ongeza na ya kwako.
Chadema wako wapi hapo? Hivi huwa mnaelewa ni kwa kiasi gani MaRais wanakuwa na upinzani wa ndani?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.
My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi? Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.
Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria, Je safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii ?
Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na China……

Nawasilisha

Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).

Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.

Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).

Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.

(mwisho)

View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=6-QOW08sd7mGT4Ny
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.
My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi? Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.
Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria, Je safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii ?
Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na China……

Nawasilisha

Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).

Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.

Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).

Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.

(mwisho)
Diplomasia ina mawanda MAPANA.....


Siku hizi hata TALIBAN wanakwenda UNGA pia....

Kuna watu walioonekana wabaya kama Hugo Chavez na Muammar Gaddafi ?!!

Nao walikuwa wanakwenda UNGA.....

Kuzomewa na wanaharakati mitaani hakukuwazuia kushiriki huko......

Panua mawazo yako....

#Nchi Na Dr.Samia mpaka 2030 aaamin 😍😍
 
kuna lolote la maana lenye maslahi kwa masikini wa Tanzania litakalojadiliwa??
 
KWA AKILI HIZI CCM ITATAWALA MILELE,

Hakuna wala hayupo na hatawepo wa kuiondoa ccm milele kwa akili hizi zinazojionesha humu kwenye nyuzi nyingi tu hii ikiwa ni mojawapo

Eti raisi aogopa kwenda un,
Na vijana humu wanarespond kwa mihemko kama yote,

Bado sana,ukombozi umbali sana
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.

My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi?

Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.

Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria.

Je, safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii?

Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na Chini.

Nawasilisha

Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).

Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.

Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).

Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.

(mwisho)
Vasco Dagama kanyea kambi
 
Back
Top Bottom