Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79

Mnasahau haraka ee?!!

Hukumbi Mange Kimambi alipofanya lobbying ya wale mazwazwa kipindi kile mh.alipokwenda New York ?!!
 
Hivi hapa kwetu Changamoto zetu tulishazimaliza ? Mbona kila kukicha mambo yanabadirika sasa from bad to worse.
hakuna mahali popote duniani kwenye nchi, ama hata kwenye familia ya mtu yeyote, ambapo hakuna changamoto.

Na kwasababu ya ubinadamu kamwe hakuna mahali changamoto zitaisha..

tutatatua changamoto hizi na zile, lakini zitaibuka nyingine mpya na zatofauti na ulizozitatua.

na huo ndio ubinadamu 🐒
 
KWA AKILI HIZI CCM ITATAWALA MILELE,

Hakuna wala hayupo na hatawepo wa kuiondoa ccm milele kwa akili hizi zinazojionesha humu kwenye nyuzi nyingi tu hii ikiwa ni mojawapo

Eti raisi aogopa kwenda un,
Na vijana humu wanarespond kwa mihemko kama yote,

Bado sana,ukombozi umbali sana
Baavichaa hawana akili....
 
Pole yake bibi kiziwi alijisahau alijua anacheza na mjuu wake bonge mpenda misosi kumbe anahutubia Dunia kupitia taifa letu...angeenda
Mlomo mrefu umeponza kiwiliwili😝
 

Attachments

  • downloadfile-5.jpg
    downloadfile-5.jpg
    102.1 KB · Views: 1
hakuna mahali popote duniani kwenye nchi, ama hata kwenye familia ya mtu yeyote, ambapo hakuna changamoto.

Na kwasababu ya ubinadamu kamwe hakuna mahali changamoto zitaisha..

tutatatua changamoto hizi na zile, lakini zitaibuka nyingine mpya na zatofauti na ulizozitatua.

na huo ndio ubinadamu 🐒
😍😍
 
hivi hajawahi kwenda US?
Alienda unakumbuka kipindi kile anaenda na mange kimambi alikuepo kunsapotumi mpka kunsalimia kabisa baadae yule waziri wa mambo ya ndani mvaa miwani akamrudishia passport yake yakibongo kama sikosei
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.

My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi?

Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.

Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria.

Je, safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii?

Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na Chini.

Nawasilisha

Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).

Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.

Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).

Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.

(mwisho)
😂😂😂

Katema bungo
 
Ile speech yake,imemuondolea uaminifu kwa raia walio wengi,ijapokuwa atashinda uchaguzi ujao kutokana na katiba tuliyo nayo,lakini anaweza akawa amepata somo zuri sana ikiwa ni yasemwayo ni kweli.
 
hakuna mahali popote duniani kwenye nchi, ama hata kwenye familia ya mtu yeyote, ambapo hakuna changamoto.

Na kwasababu ya ubinadamu kamwe hakuna mahali changamoto zitaisha..

tutatatua changamoto hizi na zile, lakini zitaibuka nyingine mpya na zatofauti na ulizozitatua.

na huo ndio ubinadamu 🐒
Ziko wapi zile 4R acheni mapichapicha 🤣🤣🤣
 
Ziko wapi zile 4R acheni mapichapicha 🤣🤣🤣
Dr Samia Suluhu Hassan 4Rs theories ndio imelifikisha Taifa kwenye umoja, amani na utulivu uliopo sasa nchini...

hapo kabla Ilikua ni kususa, kuzira na kugomea kila kitu. Leo hii makongamano ya kidemokrasia mathalani yanayoandaliwa na TCD wanasiasa waliyagomea, lakini leo hii wanajaa nyomi na wao ndio viongozi, dah 🐒

njaa haina aibu wala adabu. posho sio kitu cha mchezo mchezo 🤣
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.

My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi?

Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.

Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria.

Je, safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii?

Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na Chini.

Nawasilisha

Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).

Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.

Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).

Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.

(mwisho)
Mnataka kufanya kama ya ebrahim raisi au bwana Ogola wa hapo kenya??? Michezo yenu imeshajulikana
 
Hakuna lolote ni harakati za kanisa tu kutaka mama asitawale kwa amani, ila kumkosa hawawezi
Yaani wameambizana akitoka huyu aseme huyu halafu huyu lolote lile la uzushi tu,ila wanatwanga maji kwenye kinu
 
Acheni kutengeneza sinema za kitoto. Mara nyingi sanai RAIS ametuma wasaidizi ktk mikutano ya kimataifa!!
  • Majaliwa Majaliwa - UNGA
  • Philip Mpango - Mazingira
  • Philip Mpango - Uapisho Rais nk nk
 
Sijapata bahati kumsikia waziri mkuu wa Tanzania mheshimiwa Kassim Majaliwa (Mb) akiongea kwa lugha ya kigeni.

Pengine Umoja wa Mataifa tutapata wasaa wa kusikia hotuba yake kwa niaba ya rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.

My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi?

Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.

Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria.

Je, safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii?

Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na Chini.

Nawasilisha

Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).

Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.

Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).

Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.

(mwisho)
Hotuba yake ni ya hovyo sana kuwahi kutolewq na rais wa nchi duniani.

Sasa ndo mwisho wa USINDIBAD
 
Chadema wako wapi hapo? Hivi huwa mnaelewa ni kwa kiasi gani MaRais wanakuwa na upinzani wa ndani?
Samia kutokwenda kunahusiana vp na speech aliyoitoa?

Ukiwa na jibu sahihi la hilo swali utaelewa kwann nmewasema Chadema.
 
Back
Top Bottom