Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumuwakilisha Rais Samia UNGA79

Angeeda nako mngesema amelimbi soo lake ,yuko hapa kupambana na magaidi wa nchi ,sio mara ya kwanza kiongozi yeyote kumuwakilisha Mh Rais Samia ,acha ujinga dogo

USSR
Anaacha kupambana na mafisadi wanao muhujumu na kukwapua fedha hazina yeye anahangaika na watu ambao hawana hata manati, akili hizi!
 
Chadema bhana 😂 kwan n mara ngapi anatuma watu kumuwakilisha? Kwamba h n mara ya kwanza?

Ety kapigwa marufuku kukanyaga nchi kadhaa 😂 Wabongo bhana 😂 kweli akili za kupewa ongeza na ya kwako.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.
My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi? Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.
Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria, Je safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii ?
Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na China……

Nawasilisha

Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).

Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.

Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).

Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.

(mwisho)
Atavuna alichopanda
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.
My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi? Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.
Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria, Je safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii ?
Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na China……

Nawasilisha

Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).

Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.

Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).

Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.

(mwisho)
With all due respct

This is stupid…. She had planned visit to the regions and there we no plans for her to waste time in UNGA

Manyanza wewe usiwe kasuku
 
Nahisi ratiba zake zitakuwa zimeingiliana

Maana tarehe 23/9 nimetonywa ataanza Ziara Mkoa wa Ruvuma
 
Nahisi ratiba zake zitakuwa zimeingiliana

Maana tarehe 23/9 nimetonywa ataanza Ziara Mkoa wa Ruvuma
And this was clear for weeks

Chakadomoz hawawezi kamwe kukomboa nchi kwa uongo, uzushi na utoto

What I read now humu jf, tena from respect colleagues is disheartening

How low can you go?

Mbona chakadomoz mlikua wazuri sana Kwenye mikakati?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha.
My take: Tayari Raisi keshaingia hofu kutokana na hotuba yake aliyoitoa juzi kwenye maazimisho ya miaka 60 ya kumbukizi ya Jeshi la Polisi? Maana tunafahamu sote Raisi wetu ni mtu anayependa sana kusafiri.
Kama ameshaanza kumtuma msaidizi wake kwenye majukumu aliyopaswa kihudhuria, Je safari za nchi za Magharibi atakuwa hahudhurii ?
Safari zake zitakuwa ni za South Korea, Turkey, Uarabuni na China……

Nawasilisha

Zaidi soma hapa.
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA UNGA79

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Alhamisi, Septemba 19, 2024) kwenda Marekani ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79).

Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20-26, 2024, utafanyika jijini New York, Marekani ambapo masuala ya kiuchumi, biashara, nishati, siasa, mazingira, afya, vijana na watoto yatajadiliwa. Masuala mengine ni ya maji, bahari, athari za hali ya hewa na haki za binadamu.

Katika mkutano huo ambao hufanyika kila mwaka, viongozi wa nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki mijadala tofauti chini ya mada kuu ambayo ni “Hakuna kuachwa nyuma yeyote: Kushirikiana pamoja kuendeleza amani, maendeleo endelevu na heshima ya binadamu kwa vizazi vya sasa na vijavyo" (Leaving no one behind: Acting together for the advancement of peace, sustainable development and human dignity for present and future generations).

Mbali na kukuza diplomasia, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano huo unatoa fursa ya nchi kuwasilisha maslahi yake katika jukwaa la kimataifa, kujifunza kutokana na uzoefu wa nchi nyingine na pia kuwasilisha ajenda na mipango ya maendeleo ya nchi kwa jamii ya kimataifa.

(mwisho)
Mkuu inaonekana hauna uelewa wa kutosha kuhusu siasa za Kimataifa na unashindwa kuitofautisha UN na nchi ya USA.
Kitu unachotakiwa kujua ni kwamba ijapokuwa Makao Makuu ya UN yanapatikana NewYork, lakini hayana uhusiano wa moja kwa moja na nchi ya USA kwakuwa matakwa ya Kimataifa yameitofautisha US na UN kama mamlaka mbili tofauti zinazojitegemea.
Mfano Rais wa kukusaidia kuelewa ni kwamba wakati aliyekuwa Rais wa Zimbabwe hayati Robert Mugabe amezuiliwa kutembelea Ulaya na Marekani, marufuku hiyo haikuweza kumzuia kuhudhuria Mikutano ya Umoja wa Mataifa ambayo ilikuwa ikifanyika hapo hapo Marekani kwakuwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa zimeweza kuitofautisha taifa la marekani dhidi ya viunga vya UN
 
With all due respct

This is stupid…. She had planned visit to the regions and there we no plans for her to waste time in UNGA

Manyanza wewe usiwe kasuku

Alikuwa amepanga kutembelea mikoa gani mkui ?
 
Mkuu inaonekana hauna uelewa wa kutosha kuhusu siasa za Kimataifa na unashindwa kuitofautisha UN na nchi ya USA.
Kitu unachotakiwa kujua ni kwamba ijapokuwa Makao Makuu ya UN yanapatikana NewYork, lakini hayana uhusiano wa moja kwa moja na nchi ya USA kwakuwa matakwa ya Kimataifa yameitofautisha US na UN kama mamlaka mbili tofauti zinazojitegemea.
Mfano Rais wa kukusaidia kuelewa ni kwamba wakati aliyekuwa Rais wa Zimbabwe hayati Robert Mugabe amezuiliwa kutembelea Ulaya na Marekani, marufuku hiyo haikuweza kumzuia kuhudhuria Mikutano ya Umoja wa Mataifa ambayo ilikuwa ikifanyika hapo hapo Marekani kwakuwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa zimeweza kuitofautisha taifa la marekani dhidi ya viunga vya UN
Mkuu mimi nimeleta taarifa wanaotoa maoni ndio wakukosolewa
 
Back
Top Bottom