Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi bloo mmeshaelewana au badoNaona GIA inachenji sasa, au siyo!??? Tutaelewana tuu nyie Ufipa.
NAIROBI
INDIA
IKULU HOSP
MZENA STATE HOSP
...
Viongozi wa kitaifa wanatakiwa wajifunze kutunza kauli zao 'public figures have to keep their words'Aibu yake hii sasa atoke awaombe radhi watanzania
Nakusalimia mkuuItaumwa na kufa wewe na familia yako, rais kipenzi cha watanzania utamuacha hai
Huyu waziri mkuu amejishushia heshima sana.
Alisema eti Rais yupo mzima anachapa kazi, kumbe hali halisi ni tofauti.
Huyu haaminiki hata kidogo.
Comments reservedHata huyo Makamu wa Rais naye alidanganya umma, hii inaonyesha hao sio watu wa kuaminika, ni bora wangalikaa kimya tu kuliko kudanganya umma.
Mkuu ni wepi waliosema ukweli na ambao hawakuzusha?Binafsi, anayesema Rais anaumwa na anayesema Rais ni mzima, Kwa kipindi hiki na kipindi chochote, kama hatumwoni hadharani, hawana tofauti ... wote wanazusha tu...
Ukimsikiliza vizuri, kasema alilazwa tarehe 6 na kesho yake tarehe 7 aliruhusiwa(hospital ya moyo ya Muhimbili). Na tarehe 14 alizidiwa tena na kupekwa Mzena hospital hadi mauti unamkuta.Jana usiku mama Suluhu Hassan alitangaza msiba kwa maikitiko makubwa na kuueleza uma kuwa Mh. Alilazwa tangu tar.6 ila mh. Majaliwa aliuambia umma tar 12 kuwa Mh. yupo ofisin anachapa kazi.
Wakati mwngine tunashindwa kuaminiana kwa maneno yanayotolewa na viongoz wetu.
It's time to wakeup
Kumbe ulibet..Ila kwa uhalisia kama Rais angekuwa katika hali kama hiyo inayosemwa ni dhahiri kungekuwa na taharuki na isingewezekana kamwe kwa waziri Mkuu kuendelea na ziara kama hizo.
I BET THE PRESIDENT IS FULLY FIT AND FINE
AiseeMjomba wangu ni afisa kipenyo mwandamizi kuna jambo zito kaniambia.
Waziri mkuu kama anabisha amwambie Magufuli anyooshe kidole juu ama afanye kama anajikuna halafu apigwe picha.
Naam Mzena HospitalNaona GIA inachenji sasa, au siyo!??? Tutaelewana tuu nyie Ufipa.
NAIROBI
INDIA
IKULU HOSP
MZENA STATE HOSP
...
Sawa kazi iendeleekweli JPM,ni zaidi ya master.naona BAVICHA wanavyokimbia [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125].kejeli kwisha,matusi kwisha.
Watu pigeni kazi.jpm yuko fiti.
Muda ni mwalimu mzuriKuna jambo......
Muda ndio msema kweli.
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais na wananchi wa Tanzania
TwitaniMzee tumia akili kidogo tu. Mtu anaumwa kwa sababu twita imesema au kwa sababu hajaonekana hadharani?
Kesho tukiambiwa twitani nchi imeuzwa utaanza kuandamana unataka mgao.
Tuliza boli piga kazi, tuache Majungu na kuishi kwa hisia.
Ukweli unahitaji mtu mwenye subira sio mwepesi kuhemshwa na soga za mitandaoni