Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

Nimekuwa nikisema mara kwa mara, upande unaotawala unaigawa nchi. Na bado nitasimama ni hoja yengu, Haki isiposimama katika nchi chuki hutamalaki. Huwezi kujenga nchi huku wananchi wamegawanywa kiasi hiki na uhasama ndio ibada yao.
mgawanyo wa taifa hauelelezwi kwa kundi la watu 50 waliokosa ubunge au ulaji serikalini.
 
Yule jamaa anavyopenda sifa kweli mpaka leo awe anachapa kazi tu? Mi nawaambia angekuwa ameshatoka hata kufanya jogging watu wamuone tu
 
Rais angetoka tu ofisini kwake kwa break ya dakika 5 tumuone ili tumalize hizi rumours. Kwani akitoka nje dakika tano tu za pumziko kutoka kazi itagharimu kiasi gani?
hapana anataka series iwe ndefu kidogo.

maana sasa hivi iko dsm.
 
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, amewataka watanzania wawapuuze Wapotoshaji wa mitandaoni wanaotaka kuleta taharuki juu ya Afya ya Rais Magufuli "Rais ana shughuli nyingi, Wanataka atoke aende wapi, Kariakoo au Magomeni tangu lini?"

Leo asubuhi wakati nakuja huku nimeongea nae kwa simu na ameniagiza niwaambie wana Njombe kuwa anawapenda sana na anawashukuru sana kwa kura nyingi mlizompigia

Kuna wenzetu hawaishi hapa nchini, wao kazi yao ni kutuombea mabaya tu, kupandikiza chuki tu. Sasa unamuombea mwenzako kufa hiyo ni akili kweli?. Nawatoa hofu watanzania, Rais wenu yuko imara anafanya kazi zake kama kawaida za ofisini

Tuhakikishe tunamuabudu Mungu, tunamuomba Mungu katika kila jambo, tunamtegemea Mungu katika kila jambo, hata asubuhi nilivyokuwa natoka Dodoma nimempigia kumjulisha ratiba yangu, hata juzi alikuwa anajua ninakuja akanituma, wasalimie wana Njombe na nilitoa Salam.

Naomba nirudie, kwa salam alizotupa leo kweli wana Njombe, mheshimiwa Rais anawasalimia sana wana Njombe, mheshimiwa Rais anawashukuru wana Njombe.

Asifike Kariakoo au Magomeni...Huko ni mbali sana, atoke tu nje ya ofisi yake
 
Hata kama majaliwa alitaka kutuondolea hofu. but thatkind of lie was too much. Haya Sasa rumors has it he has passed away. How is going to stand before us? Does he have any expectations that people will believe anything coming from his mouth again?
Madam,
Just believe he is okey!
Soon you will see Him
 
Back
Top Bottom