Kiukweli humu jf, kuna wenzetu wengi tuu humu sio wazima kabisa!, ni vichaa!. Ukiwaaminisha anything, hata vitu vya ajabu ajabu, wanaamini!. Hawa ndio mazuzu tuliokuwa tukiyazungumza, kama mazuzu wanaoamini kuna kundi la The Sukuma Gang.
P
Hakuna mtu nilikuwa namuamini kama Kassim kumbe na yeye ni ZUZU tu, kwa sasa maeneo mengi ya nchi kuwa na umeme ni anasa halafu anasema tuna umeme wa kutosha
Hakuna mtu nilikuwa namuamini kama Kassim kumbe na yeye ni ZUZU tu, kwa sasa maeneo mengi ya nchi kuwa na umeme ni anasa halafu anasema tuna umeme wa kutosha
Kiukweli humu jf, kuna wenzetu wengi tuu humu sio wazima kabisa!, ni vichaa!. Ukiwaaminisha anything, hata vitu vya ajabu ajabu, wanaamini!. Hawa ndio mazuzu tuliokuwa tukiyazungumza, kama mazuzu wanaoamini kuna kundi la The Sukuma Gang.
P