Kuna Viyu vya Kuvilazimisha ili vikamilike kwa haraka, ila siyo kwa Hospitali. Waziri Mkuu Majaliwa asianze Kuchanganyikiwa bado mapema tu hivi.
Viongozi Watanzania wajifunze kufanya kazi zao kwa upeo mkubwa, kuna kazi za kufanya usiku na mchana na kumalizika bila kuleta athari kwenye viwango na zingine haiwezekani. Hivi Viongozi wetu huwa wanashindwa nini kuwa na mipango ya ufuatiliaji makini? Sio lazima kila wanapkwenda wanatoa kauli ili wasitumbuliwe. We need to be more careful. People should know that, when they fail to deliver what was promised there will be consequences.
Waziri mkuu ametembelea kwa ghafla hospital ya Uhuru iliyopo Chamwino mkoani Dodoma na hajaridhishwa na hatua iliyofikiwa katika ujenzi wake.
Akiwa amekasirishwa mh. Majaliwa ameuagiza uongozi wa mkoa kuhakikisha ujenzi unakamilika ndani ya siku 15 ili mh. Rais Magufuli aje aifungue siku ya sherehe za Uhuru yaani 09/12/2020.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Acha wehu mataga so mkandarasi alipue tu ujenzi kisa siku 15, likianguka je?Sasa kwani Hospital inajemgwa kwa ajili ya Mifugo? Hivi unafikili PM kakurupuka kusema hivyo! ,Unajua hiyio hospitality ilipangwa ikamilike lini na sasa imefikia hatua ipi? Msipende kukimbilia kupinga Kila kitu !.Mnaonekana hamna akili ni Bora kukaa kimya tu!.
Hospitali chamwino
Maendeleo hayana vyama
Ukiona hivyo ujue hizo ndio terms za mkataba..Kwa hiyo iharakishwe kukamilika ili Rais aizindue tarehe 9/December!
Hizo ni akili au matope?
Hospitali inapaswa kujengwa kwa lengo la kutoa huduma kwa wananchi na sio kufikia matamanio ya kuzinduliwa na mtawala ili kumpa sifa.
Serikali itoe pesa, wakandarasi wa uhakika wawepo kazini na wataalamu wapewe nafasi ya kufanya kazi zao pasipo kukimbizwa.
Chamwino ni kijiji alafu wamejengewa hospitali. Yote kheri!
Waziri mkuu ametembelea kwa ghafla hospital ya Uhuru iliyopo Chamwino mkoani Dodoma na hajaridhishwa na hatua iliyofikiwa katika ujenzi wake.
Akiwa amekasirishwa mh. Majaliwa ameuagiza uongozi wa mkoa kuhakikisha ujenzi unakamilika ndani ya siku 15 ili mh. Rais Magufuli aje aifungue siku ya sherehe za Uhuru yaani 09/12/2020.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Waziri mkuu ametembelea kwa ghafla hospital ya Uhuru iliyopo Chamwino mkoani Dodoma na hajaridhishwa na hatua iliyofikiwa katika ujenzi wake.
Akiwa amekasirishwa mh. Majaliwa ameuagiza uongozi wa mkoa kuhakikisha ujenzi unakamilika ndani ya siku 15 ili mh. Rais Magufuli aje aifungue siku ya sherehe za Uhuru yaani 09/12/2020.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Waziri mkuu ametembelea kwa ghafla hospital ya Uhuru iliyopo Chamwino mkoani Dodoma na hajaridhishwa na hatua iliyofikiwa katika ujenzi wake.
Akiwa amekasirishwa mh. Majaliwa ameuagiza uongozi wa mkoa kuhakikisha ujenzi unakamilika ndani ya siku 15 ili mh. Rais Magufuli aje aifungue siku ya sherehe za Uhuru yaani 09/12/2020.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Wajenge kwa mabanzi ili iishe harakaWaziri mkuu ametembelea kwa ghafla hospital ya Uhuru iliyopo Chamwino mkoani Dodoma na hajaridhishwa na hatua iliyofikiwa katika ujenzi wake.
Akiwa amekasirishwa mh. Majaliwa ameuagiza uongozi wa mkoa kuhakikisha ujenzi unakamilika ndani ya siku 15 ili mh. Rais Magufuli aje aifungue siku ya sherehe za Uhuru yaani 09/12/2020.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Kwani hospital inafunguliwa kwaajili ya maonyesho au matumizi? Mbona unalalamika sana kama vile imeshafunguliwa na haijafanya kazi?Kumbe lengo si kukamilika kwaajili ya matumizi ya umma bali kwaajili ya sifa za kipumbavu
Jaribu kupitia majengo na barabara za awamu hii, majengo mengi yana ufa, na barabara nyingi zina mashimo.
Subiri ifunguliwe uende kutibiwa halafu ukose dawa, vifaa tiba na wataalamu ndio uje ulalamike basiHahaha haraka ya nini hospitali hazina dawa vifaa tiba ,wala wataalamu?!
Hahaha zilizopo hazina dawa wala vifaa, sasa hiyo itakuwa na tofauti gani?!Subiri ifunguliwe uende kutibiwa halafu ukose dawa, vifaa tiba na wataalamu ndio uje ulalamike basi
Watanzania mmekuaje? Yaani chochote cha maendeleo lazima kiwape hasiraš¤
Akili za kukopa kwa lisu hiziKwa hiyo iharakishwe kukamilika ili Rais aizindue tarehe 9/December!
Hizo ni akili au matope?
Hospitali inapaswa kujengwa kwa lengo la kutoa huduma kwa wananchi na sio kufikia matamanio ya kuzinduliwa na mtawala ili kumpa sifa.
Serikali itoe pesa, wakandarasi wa uhakika wawepo kazini na wataalamu wapewe nafasi ya kufanya kazi zao pasipo kukimbizwa.