Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Imeelezwa kila kitu kipo!
aiight, ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeelezwa kila kitu kipo!
Mh mbona kama MV Kasa iliyopakwa rangi upya?!!Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa amezindua usafiri wa meli ya MV.Mbeya II, itakayokua ikifanya safari zake kutoka Mbeya kwenda Nyasa mkoani Ruvuma kupitia ziwa Nyasa pamoja.
Pia amekagua ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami ya Kilomita 66 kutoka Mbinga kwenda Mbamba Bay huku akisema nia ya serikali ni kupanua shughuli za kiuchumi kwa wananchi kwa kuboresha miundombinu mbalimbali.
View attachment 1669523
View attachment 1669522
Chanzo: ITV
Acha maneno mkuu kitu kipya hichoMh mbona kama MV Kasa iliyopakwa rangi upya?!!
Napongeza juhudi zinazofanyika katika kuendeleza secta ya usafirishaji nchini. Ila isiwe kama ile iliyoletwa kwa mbwembwe ifanye safari za Dar - Bagamoyo sijui MV gani vile (jina limenitoka) yakagundulika madudu kibaoacha maneno mkuu kitu kipya hicho
Mbeya mjini Kuna ziwa mkuu?Kutoka Mbeya sehemu gani?
Au Mbeya mjini?
Kyela, mkuu. Daa umenikumbusha Kyela yaani kunaga watoto wakali ile mbaya. Inabidi nipange siku nifanye utalii wa ndani Kyela.Mbeya mjini Kuna ziwa mkuu?
Wagomvi ni wamalawi, na asili ya ugomvi ni kwamba wale mabeberu UK na German walivyogawana sehemu za kupiga pesa mkataba waliosaini ni kwamba Germani achukue ziwa lote,Uk achukua ardhi tu kupanda juu milimani sasa kwa sheria sasa ya kimataifa inatambua mpaka upo baharini JIULIZE NANI YUPO SAHIHI MALAWI WANA MKATABA WALIOACHIWA NA BEBERU GERMAN NA TANZANIA TUNAFUATA SHERIA YA KIMATAIFAhv ule mzozo wa "wanyassa" kutaka kijimwambafai ziwa lote uliishia wapi??🤔
Karibu sana, ukifika Mbeya mjini hapa nijulishe.Kyela, mkuu. Daa umenikumbusha Kyela yaani kunaga watoto wakali ile mbaya. Inabidi nipange siku nifanye utalii wa ndani Kyela.
Sheria za kimataifa ndizo zitakazofuatwa.Wagomvi ni wamalawi, na asili ya ugomvi ni kwamba wale mabeberu UK na German walivyogawana sehemu za kupiga pesa mkataba waliosaini ni kwamba Germani achukue ziwa lote,Uk achukua ardhi tu kupanda juu milimani sasa kwa sheria sasa ya kimataifa inatambua mpaka upo baharini JIULIZE NANI YUPO SAHIHI MALAWI WANA MKATABA WALIOACHIWA NA BEBERU GERMAN NA TANZANIA TUNAFUATA SHERIA YA KIMATAIFA
Ataki vitu vya maendeleo,anataka uhuru wa watu.Lissu hataki vitu.
Tatizo la Lissu ni moja tu amekosa akili ya uchumi ila akili ya sheria anayo.Ataki vitu vya maendeleo,anataka uhuru wa watu.
mfano-serikali iruhusu ndoa za jinsia moja kwa watuwake,
-watu wapewe ruhusa ya kumtukana Rais wa nchi.
-Raia waruhusiwe kutorosha rasilimali za nchi watakavyo n,k
Kwenye kampeni zake kashindwa kabisa kuchambua uchumi kabaki na kelele za kumshambulia JPM(personal attack)badala ya kujikita kwenye ataifanya nini Tanzania akiwa Rais.Tatizo la Lissu ni moja tu amekosa akili ya uchumi ila akili ya sheria anayo.
Mwisho kaishia mikononi mwa Beberu lake Amsterdam.Kwenye kampeni zake kashindwa kabisa kuchambua uchumi kabaki na kelele za kumshambulia JPM(personal attack)badala ya kujikita kwenye ataifanya nini Tanzania akiwa Rais.