Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
Ya kweli hayo?Anajua lakini anamuachia simbachawene kiti???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kweli hayo?Anajua lakini anamuachia simbachawene kiti???
Na ni dikteta balaaYa kweli hayo?
Wapi Chadema na Mbowe wake?MAJALIWA AMUWAKILISHA RAIS SAMIA KUMJULIA HALI LOWASSA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwakilisha Dkt. Samia Suluhu Hassan kumjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa anayeendelea na matibabu Afrika ya Kusini.
Akizungumza na wanafamilia kwa niaba ya Mheshimiwa Rais Samia, Waziri Mkuu amewasilisha salaam za pole kutoka kwa Mheshimiwa Rais na kusema Mheshimiwa Rais anafuatilia hali ya Mheshimiwa Lowassa kwa ukaribu na anamuombea afya njema.
Waziri Mkuu ametoa salamu hizo leo (Jumatano, Desemba 28, 2022) jijini Johannesburg, Afrika Kusini ambako alienda kumjulia hali Mheshimiwa Lowassa.
Kwa upande wake, Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu, Mama Regina Lowassa amemshukuru Mheshimiwa Rais kwa jinsi ambavyo amekuwa karibu na wanafamilia na namna ambavyo anafuatilia matibabu ya mpendwa wao.
Naye mtoto mkubwa wa Mheshimiwa Lowassa na Mbunge wa Monduli, Bw. Fredrick Lowassa amewashukuru Watanzania kwa maombi yao ya kumtakia afya njema baba yao.
View attachment 2461149
Mwenyewe alitaka,...🤷JPM wetu alifia hapo Dar.
Kweli Yule Rais wetu hatukumtendea haki
🤔Hisia zangu zinanipeleka kusiko kabisa kuhusu huyu mzee.
Anyway Mungu ampe siha njema
Relax mbona una makasiriko mkuuMachadema mbona hayataki kumjulia hali au yanajidai kususa?
Yule kaka katika imsni hamuelewi tuuu.....never ever amtose .....labda aharibu mwenyewe .....imani ina nguvu sana upande ule......kuna mtoto kigogo yupo humu anapuyanga mitandao mambo vita hamas na israel kutwa kucha.....anavumiliwa sababu hiyo hiyo la sivyo waziri .....sidhani kana ni maafili mema anayofanya....la atoke serikalini....kuwa active kwenye issue hiyo vita maana ina tafsiri potofu udini....misimamo wa setikali vs msimamo bimafsi na kuwa radicals...Ya kweli hayo?