Waziri Mkuu, Majaliwa amuwakilisha Rais Samia kumjulia hali Lowassa

Waziri Mkuu, Majaliwa amuwakilisha Rais Samia kumjulia hali Lowassa

Siku akikata moto huyo shetani itakua sherehe kwa baadhi yetu.
Mungu ni wa ajabu sana, kama anavyomlinda siku zote na kila aina ya matamanio yenu maovu dhidi yake basi anaweza kuendelea kumlinda hadi mtakapoangamia nyie kwanza.......kila binadamu Ana mwisho though, kwahiyo mwisho wake haina maana kuwa ni mapokeo ya dua zenu nyie mashetani!
 
Mungu ni wa ajabu sana, kama anavyomlinda siku zote na kila aina ya matamanio yenu maovu dhidi yake basi anaweza kuendelea kumlinda hadi mtakapoangamia nyie kwanza.......kila binadamu Ana mwisho though, kwahiyo mwisho wake haina maana kuwa ni mapokeo ya dua zenu nyie mashetani!

..nakumbuka kampeni ya Magufuli walikuwa wakimtukana Mzee Lowassa na kujiapiza kwa wananchi kuwa Lowassa atakufa kabla ya Magufuli.
 
..wanasema kafia Nairobi Hospital.

..kwenye chumba kilekile alichokuwa amelazwa mbaya wake.
Nani hao wanaosema uongo huo?. Usiamini kila kinachosemwa, hata kama ingekuwa ni kweli, enzi za ile minongono kama ni kweli then angekuwa ni ICU ya Nairobi hospital, not on that same same room!, hata kama ni karma, it's not like that!.

Baada ya minongono ile wanywaji wa ile bar nje ya ule ukuta wao pale kijitonyama walisema wanaona pilika pilika mitaa hiyo!.

Kati ya watu wagumu kuongopa ni maaskofu wa kanisa Katoliki, kuna askofu alisema ameupaka upako wa mwisho!. Kuna askofu mwingine wa kanisa la wokovu akasema amemsalisha sala ya toba kabla hajakata kauli, ndio maana mimi nilipoelezwa JPM dissented straight to heaven, ninaamini ni kweli
P
 
Nani hao wanaosema uongo huo?. Usiamini kila kinachosemwa, hata kama ingekuwa ni kweli, enzi za ile minongono kama ni kweli then angekuwa ni ICU ya Nairobi hospital, not on that same same room!, hata kama ni karma, it's not like that!.

Baada ya minongono ile wanywaji wa ile bar nje ya ule ukuta wao pale kijitonyama walisema wanaona pilika pilika mitaa hiyo!.

Kati ya watu wagumu kuongopa ni maaskofu wa kanisa Katoliki, kuna askofu alisema ameupaka upako wa mwisho!. Kuna askofu mwingine wa kanisa la wokovu akasema amemsalisha sala ya toba kabla hajakata kauli, ndio maana mimi nilipoelezwa JPM dissented straight to heaven, ninaamini ni kweli
P

..icu ileile.

..wodi ileile.

..kitanda kilekile.

..mashuka, taulu, zilezile alizotumia mwanaharakati aliyejaribu kumuua.

..karma!!
 
Should that be descended straight to heaven or ascended straight to heaven mkuu?
Asante Mkuu, hizi lugha za wenzetu hizi, watu wengine wote wakifa, lazima kwanza wanashukia kuzimu, hata Yesu alishukia kuzimu, siku ya tatu ndio akafufuka katika watu. Hivyo He is the One and Only aliye ascended to heaven.
P
 
MAJALIWA AMUWAKILISHA RAIS SAMIA KUMJULIA HALI LOWASSA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwakilisha Dkt. Samia Suluhu Hassan kumjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa anayeendelea na matibabu Afrika ya Kusini.

Akizungumza na wanafamilia kwa niaba ya Mheshimiwa Rais Samia, Waziri Mkuu amewasilisha salaam za pole kutoka kwa Mheshimiwa Rais na kusema Mheshimiwa Rais anafuatilia hali ya Mheshimiwa Lowassa kwa ukaribu na anamuombea afya njema.

Waziri Mkuu ametoa salamu hizo leo (Jumatano, Desemba 28, 2022) jijini Johannesburg, Afrika Kusini ambako alienda kumjulia hali Mheshimiwa Lowassa.

Kwa upande wake, Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu, Mama Regina Lowassa amemshukuru Mheshimiwa Rais kwa jinsi ambavyo amekuwa karibu na wanafamilia na namna ambavyo anafuatilia matibabu ya mpendwa wao.

Naye mtoto mkubwa wa Mheshimiwa Lowassa na Mbunge wa Monduli, Bw. Fredrick Lowassa amewashukuru Watanzania kwa maombi yao ya kumtakia afya njema baba yao.

View attachment 2461149
Juzi juzi kuna mwanasiasa mmoja kikaza na ni naibu waziri alisikika akisema watu wanatoka ulaya kuja kutibiwa Tanzania!
 
Iboreshwe kwa namna gani?hata sasa Muhimbili, KCMC,Bugando..hizo ni hospita nzuri tu na anaweza kutibiwa kiongozi yoyote,kiongozi ni mtu kama watu wengine,ila ni swala la kujiaminisha tu na kiburi cha pesa pia
Viongozi wa tz wana ulimbukeni.
 
Back
Top Bottom