Waziri Mkuu, Majaliwa amuwakilisha Rais Samia kumjulia hali Lowassa

Waziri Mkuu, Majaliwa amuwakilisha Rais Samia kumjulia hali Lowassa

Hii huwa inaudhi sana, tukiwa viongozo tushughulike kwanza na maenwo yetu ya afya, maana huwa ni aibu sana kuona kiongozi wenu anafia nje ya nchi..

Mimi binafsi huwa inaniuma sana! Mfano Nyerere aliwapinga wazungu weeee mwishowe akafia kwao-aibu iliyoje?

Nashauri serikali ibadilishe lile eneo la Dege Kigamboni badala ya kufanyika mambo ya starehe bora iwe Hospital kubwa sana barani Afrika, ya kisasa, yenye kila aina ya Huduma, madaktari kutoka huko India wawepo pale na yaweza kutumika kama Health Tourism.

Waliosomea Cuba mtanielewa hapa!
Tuboreshe kwanza hizi hizi zilizopo kama tunaweza !
 
Tabaka la watu wa aina hiyo ndilo linalotamba enzi hizi

Imekuwa ni sifa kubwa kujitoa akili na kujifanya kama li'robot' hivi lililo'programiwa', tena bila aibu!.
Duh ! 😳😀
 
Baba alikua waziri mkuu first born ni mbunge, hao ndo wamenjoy matunda ya nchi hi, sisi wengine tunaishi tu ili mradi.
"CCM bado haijapata chama mbadala cha siasa cha kuitoa madarakani" Alisikika mlevi moja kutoka Lumumba. Huku familia zingine zikilamba asali toka enzi za mababu zao. britanicca
 
Chadema onesheni ukomavu wa kisiasa nendeni kwa wingi kumjulia hali aliyewahi kuwa mgombea wenu wa Urais.
 
Mbona wanafamilia kama wana nyuso zilizokosa tumaini!!

Mungu amjaalie afya njema
 
Back
Top Bottom