peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kwenye keki ya Taifa Kuuliza Hakuna ubinafsiTatizo lako binafsi ...Sisi wengine wala haitusumbui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye keki ya Taifa Kuuliza Hakuna ubinafsiTatizo lako binafsi ...Sisi wengine wala haitusumbui
Sasa hivi ukimuuliza yeye kama alienjoy life atakuambia hapa duniani hakuna lolote la maana !!Baba alikua waziri mkuu first born ni mbunge, hao ndo wamenjoy matunda ya nchi hi, sisi wengine tunaishi tu ili mradi.
Kwenye keki ya Taifa Kuuliza Hakuna ubinafsi
Lowasa hawezi kutibiwa na Janabi, hawezi kufanya hayo makosaMuhimbili iboreshwe hii ya viongozi kutibiwa nje haijakaa sawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
January ni wa MakambaTatizo lako binafsi ...Sisi wengine wala haitusumbui
Kwa andiko hili na wewe utalipwa elfu 7 ?Machadema mbona hayataki kumjulia hali au yanajidai kususa?
Tuna urafiki na nchi za kijamaa ajabu wakiumwa wako na mabeberu aibu sanaHii huwa inaudhi sana, tukiwa viongozo tushughulike kwanza na maenwo yetu ya afya, maana huwa ni aibu sana kuona kiongozi wenu anafia nje ya nchi..
Mimi binafsi huwa inaniuma sana! Mfano Nyerere aliwapinga wazungu weeee mwishowe akafia kwao-aibu iliyoje?
Nashauri serikali ibadilishe lile eneo la Dege Kigamboni badala ya kufanyika mambo ya starehe bora iwe Hospital kubwa sana barani Afrika, ya kisasa, yenye kila aina ya Huduma, madaktari kutoka huko India wawepo pale na yaweza kutumika kama Health Tourism.
Waliosomea Cuba mtanielewa hapa!
Oh mara sijui rais wa mioyoni sijui nini, upuuzi mtupu. Nyie makamanda uchwara ni watu wa hovyo sana.Huyu mzee mlimfanya kitu mbaya sana 2015 hatawasahau.
Ndio. Kwani tatizo lako liko wapi?Kwa andiko hili na wewe utalipwa elfu 7 ?
Yaani weacha tu! Bora ijulikane moja tunafata mlengo wa wale jamaa basi! Lakn siyo kushapaza shingo kwa hao Warus na Akina Xi kumbe hakuna kituTuna urafiki na nchi za kijamaa ajabu wakiumwa wako na mabeberu aibu sana
Lowasa sio wa kumuonea huruma hafai ameumiza wengi, sumu ya mwakyembe haitamuacha Karma is real acha ateseke unyama unyama tu.MAJALIWA AMUWAKILISHA RAIS SAMIA KUMJULIA HALI LOWASSA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwakilisha Dkt. Samia Suluhu Hassan kumjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa anayeendelea na matibabu Afrika ya Kusini.
Akizungumza na wanafamilia kwa niaba ya Mheshimiwa Rais Samia, Waziri Mkuu amewasilisha salaam za pole kutoka kwa Mheshimiwa Rais na kusema Mheshimiwa Rais anafuatilia hali ya Mheshimiwa Lowassa kwa ukaribu na anamuombea afya njema.
Waziri Mkuu ametoa salamu hizo leo (Jumatano, Desemba 28, 2022) jijini Johannesburg, Afrika Kusini ambako alienda kumjulia hali Mheshimiwa Lowassa.
Kwa upande wake, Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu, Mama Regina Lowassa amemshukuru Mheshimiwa Rais kwa jinsi ambavyo amekuwa karibu na wanafamilia na namna ambavyo anafuatilia matibabu ya mpendwa wao.
Naye mtoto mkubwa wa Mheshimiwa Lowassa na Mbunge wa Monduli, Bw. Fredrick Lowassa amewashukuru Watanzania kwa maombi yao ya kumtakia afya njema baba yao.
View attachment 2461149
January ni wa Makamba
Riziwani ni wa Kikwete
Fred ni wa Lowassa
Nape ni wa Moses Nauye
Lusinde na wa Job lusinde
Dr Mwinyi na wa Mzee Ruksa
Unasema ni ubinafsi?
Unafiki viongozi Majizi sana sanaYaani weacha tu! Bora ijulikane moja tunafata mlengo wa wale jamaa basi! Lakn siyo kushapaza shingo kwa hao Warus na Akina Xi kumbe hakuna kitu
Hivi hamuoni aibu mnavoenda kumwangalia huko hospitali? Kweli ccm nyokooOh mara sijui rais wa mioyoni sijui nini, upuuzi mtupu. Nyie makamanda uchwara ni watu wa hovyo sana.
Tangu lini?...Kweli ccm nyokoo
Ibireshwe kwa namna gani?hata sasa Muhimbili, KCMC,Bugando..hizo ni hospita nzuri tu na anaweza kutibiwa kiongozi yoyote,kiongozi ni mtu kama watu wengine,ila ni swala la kujiaminisha tu na kiburi cha pesa pia
Ukiona hivyo, uje huenda yuko ICU.Dah lowassa hayupo kwenye picha 😔
Get well soon mzee wa mabadiliko
muhimbili daktari anakugusa paji la uso kupima joto si kuuana huku khaaaaaMuhimbili iboreshwe hii ya viongozi kutibiwa nje haijakaa sawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app