Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ukiona hivyo hawaruhusiwi kumuonaDah lowassa hayupo kwenye picha [emoji17]
Get well soon mzee wa mabadiliko
Mungu ampe afya njema mzee white hair
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona hivyo hawaruhusiwi kumuonaDah lowassa hayupo kwenye picha [emoji17]
Get well soon mzee wa mabadiliko
Machadema ni magari ya wapi? Madaladala ni mabasi yanayotoa huduma zake kwa wakazi wa Dar es Salaam, Matatu yanatoa huduma zake pale Nairobi. Hebu tuambie kuhusu hayo MachademaJPM ALILAZWA HOSPITAL IPI NA ALIFIA WAPI? Nimeuliza tu
Acha ufara wee mgonjwa..unajua hata yuko kule tangia lini ?? Unafikiri chadema wana roho mbaya kama ww?? Tangaza kuwa unaumwa uone kama hawatakuja kukuona , Tena tutakuletea hadi hela ya kukununulia supu ya kuku [emoji23][emoji23]Machadema mbona hayataki kumjulia hali au yanajidai kususa?
Nisemeje sasa wakati nchi yetu ni Donor country mkuu
Wengine tukiona mwanga wa.jua tunasema alihamdulilahi walahiBaba alikua waziri mkuu first born ni mbunge, hao ndo wamenjoy matunda ya nchi hi, sisi wengine tunaishi tu ili mradi.
Sijasikia Voices yoyote from within kumhusu EL.A sound from within inasemaje?
JPM wetu alifia hapo Dar.Wanasiasa konyo sana
Wakiumwa hutibiwa nje
Haya ninatangaza sasa hebu niletee hiyo supu ya kuku tuone....Tangaza kuwa unaumwa uone kama hawatakuja kukuona , Tena tutakuletea hadi hela ya kukununulia supu ya kuku [emoji23][emoji23]
Mbona hukumbuki Kuuliza mbunge wa chalinze ni Nani na awali alikuwa nani.Mbunge wa monduli ni Nani?hii ilinipita lini
Huyu mzee mlimfanya kitu mbaya sana 2015 hatawasahau.Machadema mbona hayataki kumjulia hali au yanajidai kususa?
MAJALIWA AMUWAKILISHA RAIS SAMIA KUMJULIA HALI LOWASSA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwakilisha Dkt. Samia Suluhu Hassan kumjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa anayeendelea na matibabu Afrika ya Kusini.
Akizungumza na wanafamilia kwa niaba ya Mheshimiwa Rais Samia, Waziri Mkuu amewasilisha salaam za pole kutoka kwa Mheshimiwa Rais na kusema Mheshimiwa Rais anafuatilia hali ya Mheshimiwa Lowassa kwa ukaribu na anamuombea afya njema.
Waziri Mkuu ametoa salamu hizo leo (Jumatano, Desemba 28, 2022) jijini Johannesburg, Afrika Kusini ambako alienda kumjulia hali Mheshimiwa Lowassa.
Kwa upande wake, Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu, Mama Regina Lowassa amemshukuru Mheshimiwa Rais kwa jinsi ambavyo amekuwa karibu na wanafamilia na namna ambavyo anafuatilia matibabu ya mpendwa wao.
Naye mtoto mkubwa wa Mheshimiwa Lowassa na Mbunge wa Monduli, Bw. Fredrick Lowassa amewashukuru Watanzania kwa maombi yao ya kumtakia afya njema baba yao.li
Why niulize kitu nakijua...kwani lazima tukiuliza Monduli tuulize na Chalinze?Mbona hukumbuki Kuuliza mbunge wa chalinze ni Nani na awali alikuwa nani.
Kuna presidwaa, wf yuko mjengoni, mtt wzr, hapo vp.Baba alikua waziri mkuu first born ni mbunge, hao ndo wamenjoy matunda ya nchi hi, sisi wengine tunaishi tu ili mradi.
Thubutuuuuu, huwa ni hadithi tu mkuuMbona hatibiwi kwenye hizi hospitali ambazo huduma zimeboreshwa. Naibu waziri wa afya alisema kuna watu wanatoka ulaya kuja kutibiwa hapa Tanzania.
Kuelekea 2030 utauliza tu.Why niulize kitu nakijua...kwani lazima tukiuliza Monduli tuulize na Chalinze?
Si mpk uumwe mkuu ?? Hatunaga roho mbaya chademaHaya ninatangaza sasa hebu niletee hiyo supu ya kuku tuone.
Tatizo lako binafsi ...Sisi wengine wala haitusumbuiKuelekea 2030 utauliza tu.
Subirini watanzania sindano iwaingie