Waziri Mkuu Majaliwa ashangaa kukuta wanafunzi wanakaa chini Mkuranga, atoa wiki mbili madawati yapatikane!

Waziri Mkuu Majaliwa ashangaa kukuta wanafunzi wanakaa chini Mkuranga, atoa wiki mbili madawati yapatikane!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri mkuu mh Majaliwa amefanya ziara ya kushtukiza katika moja ya shule za wilaya ya mkuranga na kukuta wanafunzi wa msingi na sekondari wamekaa chini.

Mh Majaliwa ameshangazwa na hali hiyo na kutu muda wa wiki mbili madawati yapatikane na watoto wote wakae.

Majaliwa amesema wilaya hiyo ina viwanda zaidi ya 70 sasa inakuwaje DC na DED wanashindwa kutumia fedha za CSR kununulia madawati.

Chanzo: ITV habari!
 
Waziri mkuu mh Majaliwa amefanya ziara ya kushtukiza katika moja ya shule za wilaya ya mkuranga na kukuta wanafunzi wa msingi na sekondari wamekaa chini.

Mh Majaliwa ameshangazwa na hali hiyo na kutu muda wa wiki mbili madawati yapatikane na watoto wote wakae.
Majaliwa amesema wilaya hiyo ina viwanda zaidi ya 70 sasa inakuwaje DC na DED wanashindwa kutumia fedha za CSR kununulia madawati.

Source ITV habari!
Kumbe kuna wanafunzi wanakaa chini hata baada ya miaka 5 ya majigambo na kelele nyingi za awamu hii?!
 
Kumbe kuna wanafunzi wanakaa chini hata baada ya miaka 5 ya majigambo na kelele nyingi za awamu hii?!
Mkuu mi mwenyewe hili nimelishangaa, tena hapo Mkuranga njia ya kuelekea kusini karibu na Mbagala?😨😨
Nastaajabu ya mengine kununua kwa cash na miti tunayo kibao na wanafunzi bado wanakaa chini. Sijui katika sera za elimu CCM watajipanga waseme nini?🙄🙄
 
Mtu mzima haitwi muongo hasa.kwa mtu mwenye cheo cha Waziri Mkuu. Atwambie tumpe list ya shule ambazo wanafunzi wanakaa chini tuone kama hazitojaza daftari. Tuwachilie mbali shule zilizokuwa hazina madarasa wansomea chini ya miti. Na zenye madarasa ni vibanda vya udongo. Hiyo kwenye Avatar yangu ni shule iko jimbo la Nape!
 
Mh Majaliwa ameshangazwa na hali hiyo na kutu muda wa wiki mbili madawati yapatikane na watoto wote wakae.
Eti ndio kashituka.
Manunuzi ya midege iliyoanikwa pale JKNIA kama nsansa na michembe, ingeweza kumaliza matatizo yote ya uhaba wa madawati, vyoo, vyumba vya madarasa, ofisi na samani za Walimu, chaki hapa nchini.
Pia ingelipa nyongeza za mishahara ya Walimu na mihela mingi ikabaki.
 
Aende na rufiji huko wana misitu lakini watoto wanakaa chini sjui kwa nini haya mambo
Hili ndiyo huwa linanishangaza sana unakuta shule imezungukwa na msitu lakini haina madawati.
 
Waziri mkuu mh Majaliwa amefanya ziara ya kushtukiza katika moja ya shule za wilaya ya mkuranga na kukuta wanafunzi wa msingi na sekondari wamekaa chini.

Mh Majaliwa ameshangazwa na hali hiyo na kutu muda wa wiki mbili madawati yapatikane na watoto wote wakae.

Majaliwa amesema wilaya hiyo ina viwanda zaidi ya 70 sasa inakuwaje DC na DED wanashindwa kutumia fedha za CSR kununulia madawati.

Source ITV habari!



 
Mwalusembe sekondari pia wanakaa chini. Haijawahi kuonekana waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa Majaliwa akifoka hivi kwa viongozi ambao ni makada wa CCM waliopewa u-DED na u-DC wakashindwa kutekeleza ahadi za ilani ya CCM mpaka sasa wanatishwa na kimbunga cha sasa basi cha upinzani 2020.
 
Back
Top Bottom