Waziri Mkuu Majaliwa azindua Tume Maalum ya Wajumbe 21 kuchunguza ajali ya Jengo Kariakoo

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kwa mujibu wa maelekezo ya Rais Dkt. Samia, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezindua Tume maalum ya wajumbe 21 ambao wamebobea kwenye masuala ya ujenzi kuchunguza chanzo cha tukio la ajali ya jengo lililoanguka Kariakoo, pamoja na kufahamu ubora na uimara wa majengo yote yaliyoko Kariakoo. Tukio hilo lilisababisha maafa makubwa, na Tume hiyo imepewa maagizo mazito, huku ikiongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Brigedia Jenerali Hosea Ndagala.

PIA SOMA: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Kamati ya Uchunguzi kuporomoka kwa jengo Kariakoo yazinduliwa Nov 21, 2024
 
Kwa mujibu wa maelekezo ya Rais Dkt. Samia, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezindua Tume maalum ya wajumbe 21 ambao wamebobea kwenye masuala ya ujenzi kuchunguza ajali ya jengo lililoanguka Kariakoo na kupewa maagizo mazito huku ikiongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Brigedia Jenerali Hosea Ndagala.

View attachment 3158443
Kufa kufaana
 
Kwa mujibu wa maelekezo ya Rais Dkt. Samia, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezindua Tume maalum ya wajumbe 21 ambao wamebobea kwenye masuala ya ujenzi kuchunguza ajali ya jengo lililoanguka Kariakoo nakusababisha maafa makubwa na kupewa maagizo mazito huku ikiongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Brigedia Jenerali Hosea Ndagala.

PIA SOMA: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Kamati ya Uchunguzi kuporomoka kwa jengo Kariakoo yazinduliwa Nov 21, 2024
Siyo kitu cha ajabu hata kidogo katika nchi hii, Tume nyingi sana za namna hii zimewahi kuundwa na hakuna kitu chochote kile cha maana ambacho WaTanzania wamepata kutokana na Tume hizo.

Ni upuuzi tupu!
 
Ile Tume iliyoundwa na Waziri mkuu kipindi kile(Edward Lowasa) baada ya ajali ya chang'ombe village inn ripoti yake ilifanyiwa kazi? Vp ripoti ya Ile Tume ya Manispaa ya ilala ?
Ni upuuzi mtupu kuunda tume ya kuchunguza Jambo Kisha ripoti yake haifanyiwi kazi..
Ni matumizi mabaya ya fedha za umma.
 
Back
Top Bottom