Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwongooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo Jiwe yuko ofisini anachapa kaziKwa mujibu wa maelekezo ya Rais Dkt. Samia, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezindua Tume maalum ya wajumbe 21 ambao wamebobea kwenye masuala ya ujenzi kuchunguza chanzo cha tukio la ajali ya jengo lililoanguka Kariakoo, pamoja na kufahamu ubora na uimara wa majengo yote yaliyoko Kariakoo. Tukio hilo lilisababisha maafa makubwa, na Tume hiyo imepewa maagizo mazito, huku ikiongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Brigedia Jenerali Hosea Ndagala.
PIA SOMA: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Kamati ya Uchunguzi kuporomoka kwa jengo Kariakoo yazinduliwa Nov 21, 2024
Sifa na kila kitu Rais hawafanyi wajibu zao.Tatizo selikari yenyewe dhaifu lakini kila siku kujisifia kama vile wanalingana na Marekani
Mnawatoa Watanzania kafara?Punguzeni mihemuko ,maafa kila sehemu hutokea .
Na mtaendelea kufa kizembePunguzeni mihemuko ,maafa kila sehemu hutokea .
Ulaji.Mbona wengi
KijijiMbona wengi