Waziri Mkuu Majaliwa azindua Tume Maalum ya Wajumbe 21 kuchunguza ajali ya Jengo Kariakoo
kwanza watwambie wataufungua lini ule mtaa maana wameufunga na biashara zmesmama.
Kile kifusi kina dhahabu
Ngoja wamalize watu wa mgodini
Wana lugha yao wanakuambia,tunafsnya sorting
Vumilieni kidogo

Ova
 
Unaunda tume halafu kiongozi unamuweka mwajiriwa unategemea nini? Wenyeviti wa tume wekeni watu wasiofungamana na upande wowote ili pasiwe na uoga wowote.
Hiyo tume haitakuja na majibu yoyote

Ova
 
Kwa mujibu wa maelekezo ya Rais Dkt. Samia, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezindua Tume maalum ya wajumbe 21 ambao wamebobea kwenye masuala ya ujenzi kuchunguza chanzo cha tukio la ajali ya jengo lililoanguka Kariakoo, pamoja na kufahamu ubora na uimara wa majengo yote yaliyoko Kariakoo. Tukio hilo lilisababisha maafa makubwa, na Tume hiyo imepewa maagizo mazito, huku ikiongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Brigedia Jenerali Hosea Ndagala.

PIA SOMA: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Kamati ya Uchunguzi kuporomoka kwa jengo Kariakoo yazinduliwa Nov 21, 2024
Kenge katika ubora wao, wakishatengeneza hz tume, hujiona wamefanya jambo la maaana Sana, tume ya nini wakati wizara,mkoa, wilaya na zipo na watendsji wake? Hili sio jengo la kwanza wala sio la mwisho kuanguka,
Huyu kenge hajuhi madaraka yake, badala ya kufukuza watumishi wa ardhi
 
Jengo limeanguka watu wanekufa tume ya nini tenA?
Nji hii
 
Kwani hawawezi kufanya kazi mpaka wazindue

Eti azindua

Hii Nchi Bado Sana
 
Kenge katika ubora wao, wakishatengeneza hz tume, hujiona wamefanya jambo la maaana Sana, tume ya nini wakati wizara,mkoa, wilaya na zipo na watendsji wake? Hili sio jengo la kwanza wala sio la mwisho kuanguka,
Huyu kenge hajuhi madaraka yake, badala ya kufukuza watumishi wa ardhi
Alafu wana mkwala,anakuambia nimemchagua brigadier nani sijui
Ndy mkuu wa hyo tume 😄

Ova
 
Mwezi sasa !

Tume imekula kwa urefu wa kamba..na watu wameshasahau hadi lianguke lingine tena ndio watu walie halafu tunarudi kusherekea Simba na Yanga imetoka hivyo.

Serikali ya tume hoyee!
 
Back
Top Bottom