TUMEZOEA KUUNDA TUME
Hizi tume zinakuja kabisa na dalili za kupeana moyo.
Kweli, ma engn wahusika tumewakamata, watafikishwa mahakamn.
Mmiliki utasikia amekamatwa kama kama ajafanikiwa kukimbia.
Utaona picha vid wakipelekwa mahakaman.
Mwisho, amtuelezi wanahukumiwaje.
Nchi za Rwanda ujinga kama huu hata mmiliki anakua nusu kaputi mpaka watoe maiti zote.
Ma engn wanawekwa sehemu wakitoka kupelekwa kwenye hukumu. Wale walio nje awarudii tena.
Hizi mamboo mwisho tunaona wahusika wanabadilishwa vitengo ama kuachiliwa, inaumiza sana hawa ndugu wa marehemuu.
Tunaomba wah mawaziri husika hawa watu wakamatwe wapewe adhabu kubwa ya mfano kwa wale wenzao wa ofisin hawatarudia tenaa. Na wengine wakipelekwa kusimamia wanakimbia kabisa.
Tunaomba tume itoe haki ktkt hili.
Bila hivi mjianada e kuzika sana sana na specia
l hire zidumu milele.