Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Nikweli swali limeuliukizwa kwenye kadanamnasi jibu jibu limetokewa ni , Asian. Je Asian inauzwa 300,000
? Jamani, hata kama mnamtetea mwana taaluuma mwenzenu sio hivyo . Angesema kaweka European hata kwa 1,000,00tsh ningekubali haraka, lakini kwakukili ni Asian , hiyo ni 40,000 .
Hivyo vyoo vya kuchuchumaa vya shilingi 40,000.00 ni vya kihindi na vinakuwa bila tenki ya maji ya kuflush. Ukitaka tenki unauziwa la plastiki ambayo halikawii kuharibika. Vyoo vya kuchuchumaa aina ya RAK ( kutoka UAE) na Armitage Shanks (kutoka Uingereza) , huwezi kupata chini ya 300,000 ikiwa pamoja na tenki la kuflush la ceramic. Na hivi vyoo huwezi kuvipata Uyui au hata Tabora. Na ndio vinavyopaswa kutumika katika majengo ya serikali.

Amandla...
 
Hivyo vyoo vya kuchuchumaa vya shilingi 40,000.00 ni vya kihindi na vinakuwa bila tenki ya maji ya kuflush. Ukitaka tenki unauziwa la plastiki ambayo halikawii kuharibika. Vyoo vya kuchuchumaa aina ya RAK ( kutoka UAE) na Armitage Shanks (kutoka Uingereza) , huwezi kupata chini ya 300,000 ikiwa pamoja na tenki la kuflush la ceramic. Na hivi vyoo huwezi kuvipata Uyui au hata Tabora. Na ndio vinavyopaswa kutumika katika majengo ya serikali.

Amandla...
Sawa Nimekuelewa . Lakini je hio "GN" ni ya mwaka gani?
 
Haujaweka gharama za tiles, za vitasa na bawaba, kupiga dawa ya mchwa, dpc na ulinzi wakati kinajengwa .

Amandla...
Mnabishana bila kujua standard ambayo serikali iliitaka na mnayozungumza ninyi

Kwani serikali ilihitaji hizi standards zenu?
 
Nimekuuliza Armoured Cable inafika Uyui kwa Bei gani ?

Upigaji upo pale pale. Huwezi kujenga hicho kibanda kwa milioni 11. Mimi nikagusia tu ishu ya umeme.
Na mwingine hapo juu amegusia tu ishu ya bati

Kibanda cha bati 10 kitumie bati 38 duuh[emoji849]

Ajabu hii
 
Hivyo vyoo vya kuchuchumaa vya shilingi 40,000.00 ni vya kihindi na vinakuwa bila tenki ya maji ya kuflush. Ukitaka tenki unauziwa la plastiki ambayo halikawii kuharibika. Vyoo vya kuchuchumaa aina ya RAK ( kutoka UAE) na Armitage Shanks (kutoka Uingereza) , huwezi kupata chini ya 300,000 ikiwa pamoja na tenki la kuflush la ceramic. Na hivi vyoo huwezi kuvipata Uyui au hata Tabora. Na ndio vinavyopaswa kutumika katika majengo ya serikali.

Amandla...
Wee kweli fundi mchundo ambaye umekaririshwa na huna uwezo wa kutumia akili zako! Kwanza kanuni ipi ya ujenzi wa nyumba ya serikali imesema tenki za plastic zisitumike!

Hoja ya msingi hapa ni ujenzi wa banda na siyo nyumba! Huoni kuna tofauti ya matumizi kati ya banda na nyumba?
 
Maswali yameulizwa Tena mengi kuhusu choo.

Tatizo lako umekurupuka.
Jengo ni jengo liwe ya serikali, la kanisa , la Msikiti , hata nyumba ya kuishi ya mtu binafsi.

Kanuni za ujenzi nizilezile hazibaldiliki isipokua kwa mazingira maaluum.

Hayo mahesabu ni yakwako na hu yo mwenzako sio lazima ni yakubali.
Kama unataka tuboshane kimahesabu leta Bill of quantity ya hicho kibanda.
Mkuu ujenzi hsupigiwi kura.
Ukiona jengo ka serikali linasimama basi ujue mahesabu yameshapigwa hapo, siyo bka bla.
 
Back
Top Bottom