Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Basi acheni kufanya kazi na wanasiasa maana wanavua nguo taaluma zenu.
Hapa mafundi naona mnajaribu kuteteana ili kulinda uozo wenu. Nyie ni wezi hadi mifuko ya simenti leo mshindwe kwenye hela.
Msimamizi wa huo mradi ni mwalimu wala sio fundi. Ndio ujue namna Fosi Akaunti ilivyokuwa na shida.

Amandla...
 
Muda wote huu umepewa muda wa kuchambua BOQ iliyopo-umeshindwa.
Kibabda chako cha milioni 7- umeshindwa kuleta mchanganuo wa vifaa.
Ndio maana naomba kamjengee Waziri Mkuu kibanda cha nyasi, atakupa wilaya.
Tenda wakiwapa watu wa nje mnalialia kumbe mkipewa ni kufanya upuuzi tu. Ndo nyie mliotimliwa zanzibar na dr. Mwinyi kwa ukandaras wenu wa ovyo
 
Msimamizi wa huo mradi ni mwalimu wala sio fundi. Ndio ujue namna Fosi Akaunti ilivyokuwa na shida.

Amandla...
Wote ni kusweka ndan tu hadi watakapopata akili namna ya kupresent vitu unaposikia kiongozi wa nchi anakuja kukagua mradi. Tunachezeana sana likija lakukupata ndo haya eti oooh angekaa nao private kuwasikiliza.
 
Wote ni kusweka ndan tu hadi watakapopata akili namna ya kupresent vitu unaposikia kiongozi wa nchi anakuja kukagua mradi. Tunachezeana sana likija lakukupata ndo haya eti oooh angekaa nao private kuwasikiliza.
Unamsweka ndani kwa sheria ipi?

Amandla ..
 
Tenda wakiwapa watu wa nje mnalialia kumbe mkipewa ni kufanya upuuzi tu. Ndo nyie mliotimliwa zanzibar na dr. Mwinyi kwa ukandaras wenu wa ovyo
Mtu wa hovyo, mwanasiasa we, huna akili, ujenzi utaujuaje?
 
Wote ni kusweka ndan tu hadi watakapopata akili namna ya kupresent vitu unaposikia kiongozi wa nchi anakuja kukagua mradi. Tunachezeana sana likija lakukupata ndo haya eti oooh angekaa nao private kuwasikiliza.
Unaongea kama unavyo jamba.
Unanuka kwa kukosa ufahamu wa kitu chochote katika fani ya ujenzi.
Mwanasiasa we!
 
View attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.

Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.

Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.

Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.

Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00

UPDATE:
Katika makadirio wadau wamenitonya yafautayo
1. Hapo pembeni kuna kichumba ambacho waafikiri ni choo, gharama za kuvuta maji, choo chenyewe na wall tiles inaweza kuongeza gharama kwa arond 1.0 million

2.Kuna floor tiles amnazo sijazigsa kabisa, gharama ambayo tiles kwa nyuma nzima na ngazi inaweza kufikia 1.2million

Hivyo kazi hii ya nyongeza ni Tshs 2,2 million n jumla kuu kwa kazi ya kibanda=Tshs 15,845,980.00

OMBI
Ofisi ya Waziri Mkuu wakimaliza uchunguzi wao wa kitaalam , watuwekee hadharani makadirio yao kwa viwango vya kazi husika ya kibanda cha VETA Tabora(kwa kulinganisha tu)
Bado facility za chooni hujaziinclude mhandisi
 
Wote ni kusweka ndan tu hadi watakapopata akili namna ya kupresent vitu unaposikia kiongozi wa nchi anakuja kukagua mradi. Tunachezeana ◇`sana likija lakukupata ndo haya eti oooh angekaa nao private °♧♧kuwasikiliza.
Namini una akili timamu kwa maana unaelewa kitu unachoandika.
Viongozi walituahidi SGR ingekamilika ndani ya miaka mitatu toka 2016.
Mpaka leo safari kwenda Moro ni ndoto.
Hatusikii wewe, Waziri Mkuu wala Rais akitishia kuwaweka ndani Waturuki.
Sasa hao viongizi wetu wakienda pale wananywea?
 
Ni kweli unaweza kujenga kibanda kama hicho hata kwa milion 100, ila kwanini ujenge kwa gharama kubwa wakati inawezekana kujenga kwa gharama ndogo na kwa ubora mzuri tu
Huwezi kujenga kibanda bora kwa gharama ndogo.
 
Darasa linajengwa wa milioni 20, kwa wizi wako ungejenga kwa milioni 200!
Hakika wewe ni tapeli!
Huna hoja , huna facts, na hujui unachoongea.
Zoezi la kupitia BOQ ilyowekwa hapa limekushinda, ungana na wanasiasa wasiojua kitu.
 
Wote ni kusweka ndan tu hadi watakapopata akili namna ya kupresent vitu unaposikia kiongozi wa nchi anakuja kukagua mradi. Tunachezeana sana likija lakukupata ndo haya eti oooh angekaa nao private kuwasikiliza.
Ukiona mwanasiasa anakimbilia kufanya kazi na takukuru wakati vyombo vya kitaalam vipo, ujue ana matatizo ya kimsingi katika uelewa na good governace.
Takukuru si wataalam wa ujenzi.
Simple logic inatka kujua wanaohusika na project nzima hadi mradi ukajengwa ni akina nani na uhusika wao katika design ya project, costing, tendering, award, project supervision mpaka inspection na project acceptance.
Anatokea mtu asiyeelewa mlolongo huo mwishoni kabisa wa mradi na kumsweka ndani mkandarasi, kwa vile ana uwezo huo.
Okay, unamuweka ndani mtu, ni kwa sheria ipi?
Au kwa vile mtu ana madaraka kufanya hivyo na kuyatumia vibaya!
Hii miradi midogo inawaumbua viongozi wetu katika uelewa wa miradi inavyoasisiwa.
Pathetic!
 
Back
Top Bottom