tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,327
- 4,624
Taa si kwa ajili ya vibaka. Taa ziendane na electrification of villages.Mjini kuna vibaka, vijijini hamna.
Mjini usiku kucha watu wanatembea au ulala night kali vijijini saa moja jioni watu wapo vitandani.
Yaani ukikutana na mtu mwenye mtazamo kama wako halafu ni kiongozi, maendeleo tutayapata kwa tabu sana.Taa vijijini si kichocheo cha maendeleo
Hadi ww unashangaaHii nchi bhana!
Mleta mada ni moja ya kundi la wajiitao "akili kubwa". Ni prominate strategist wa chama fulani. Baada ya kumjadili mtu, sasa najadili hoja.Umesema kweli tupu,barabara kuu,zinapita katika vijiji,wananchi wakipata taa za barabarani,watafanya biashara,kwa gari zinazopita usiku,gari ndogo,malori,mabasi(yanayopita kabla ya saa 4 usiku),daladala,bodaboda,uchumi wa wananchi utainuka,uchumi wa vijiji,utainuka,pato la Taifa litaongezeka.
Tofautisha taa za barabarani kwa ajili ya mwanga na umeme vijijini kwa ajili ya maendeleo.Yaani ukikutana na mtu mwenye mtazamo kama wako halafu ni kiongozi, maendeleo tutayapata kwa tabu sana.
Hapo ni India vijijini
View attachment 2117957
Mtanzania na akili yake. Siku zote analalamika bila hata ya kujiuliza kwa undani faida za umeme.Ni vizuri ukajielimisha kwanza juu ya historia na maana ya ustaarabu na maendeleo jumuishi. Kwani kuweke taa za barabari ni kizuizi au ni kichocheo cha shughuli nyingine za maendeleo vijijini ?
Kuweka taa pembeni ya barabarani mpaka vijijini, si jambo baya. Niliona kule West Afrika, barabara za lami zote zinatembea na electric cable, wakifika tu kwenye makazi ya watu, wanaweka barabara toka mwanzo mpaka mwisho wa kijiji. Na hiyo inawapa wanavijiji fursa ya kufanya biashara zao kwa wasafiri mpaka usiku.View attachment 2117287
Ni dhahili serikali hii haijui mahitaji ya wananchi na haina vipaumbele. WM amewaagiza Tarura waweke taa mpaka vijijini. Hivi ni kweli sisi watu wa vijijini tunahitaji taa za barabarani? Hii ni kejeli kubwa sana.
Sisi vijijini tunahitaji madawa na vifaa tiba, tunahitaji maji na umeme wa uhakika. Tunahitaji pembejeo za bei nafuu, Tunataka mabwawa tulime kwa kumwagilia. Tunataka maghala na masoko ya mazao. Leo tunaambiwa tuletewe taa za barabarani.
Wanaanza na kwenye upigajiView attachment 2117287
Ni dhahili serikali hii haijui mahitaji ya wananchi na haina vipaumbele. WM amewaagiza Tarura waweke taa mpaka vijijini. Hivi ni kweli sisi watu wa vijijini tunahitaji taa za barabarani? Hii ni kejeli kubwa sana.
Sisi vijijini tunahitaji madawa na vifaa tiba, tunahitaji maji na umeme wa uhakika. Tunahitaji pembejeo za bei nafuu, Tunataka mabwawa tulime kwa kumwagilia. Tunataka maghala na masoko ya mazao. Leo tunaambiwa tuletewe taa za barabarani.
Umeme uletwe vijijini bwashee.View attachment 2117287
Ni dhahili serikali hii haijui mahitaji ya wananchi na haina vipaumbele. WM amewaagiza Tarura waweke taa mpaka vijijini. Hivi ni kweli sisi watu wa vijijini tunahitaji taa za barabarani? Hii ni kejeli kubwa sana.
Sisi vijijini tunahitaji madawa na vifaa tiba, tunahitaji maji na umeme wa uhakika. Tunahitaji pembejeo za bei nafuu, Tunataka mabwawa tulime kwa kumwagilia. Tunataka maghala na masoko ya mazao. Leo tunaambiwa tuletewe taa za barabarani.
Huo umeme wenyewe hautoshi, kutwa unakatika katika na isitoshe watu mengi wapo kwenye foleni ya kupatiwa umeme maana vifaa vya umeme kama nguzo, nyaya, mita n.k havipo vya kutosha. Kwa sasa vipaumbele vya vijijini ni miradi ya umwagiliaji maana hali ya misimu ya mvua imebadilika sana, mkulima amechanganywa na hizi mvua zinazo nyesha bila mpangilio, na hii ni kwa sababu ya mabadiliko ya hali ya hewa. Kuna vijiji vingi vina vyazo vya maji lakini vinashindwa kuyatumia maji hayo ipasavyo kwa kukosa miundombinu bora ya umwagiliaji, hasa mikoa ya Morogoro (karibia wilaya zote) na Tanga wilaya za Lushoto, Korogwe na Muheza. Dar kuna taa zakutosha lakini vibaka wamejazana, sema ulozi utapungua.Taa zikiwepo vibaka watapungua
Huo umeme wenyewe hautoshi, kutwa unakatika katika na isitoshe watu mengi wapo kwenye foleni ya kupatiwa umeme maana vifaa vya umeme kama nguzo, nyaya, mita n.k havipo vya kutosha. Kwa sasa vipaumbele vya vijijini ni miradi ya umwagiliaji maana hali ya misimu ya mvua imebadilika sana, mkulima amechanganywa na hizi mvua zinazo nyesha bila mpangilio, na hii ni kwa sababu ya mabadiliko ya hali ya hewa. Kuna vijiji vingi vina vyazo vya maji lakini vinashindwa kuyatumia maji hayo ipasavyo kwa kukosa miundombinu bora ya umwagiliaji, hasa mikoa ya Morogoro (karibia wilaya zote) na Tanga wilaya za Lushoto, Korogwe na Muheza. Dar kuna taa zakutosha lakini vibaka wamejazana, sema ulozi utapungua.Taa zikiwepo vibaka watapungua
Jinga Sana,kwa hiyo kijijini hakutakiwi kuwa na street lights? Ulivyokuwepo mshamba inaonesha hata hujawahi ona popote ndio maana unashangaa..
Vijiji vingi sana vya mkoa wa Rukwa vita taa za solar miaka mingi Sana na ndiko PM kajifunza.
Mkuu upo sahihi maana sifa moja kuu ya kuitwa kujiji ni kutokuwa na taa ya umeme wa TANESCO barabarani maana ikipata hizo taa nadhani kitaitwa mji mdogo.Ni kosa, kijiji giza ni halali yake.
Taa za barabarani nyingi zinatumia solarHuo umeme wenyewe hautoshi, kutwa unakatika katika na isitoshe watu mengi wapo kwenye foleni ya kupatiwa umeme maana vifaa vya umeme kama nguzo, nyaya, mita n.k havipo vya kutosha. Kwa sasa vipaumbele vya vijijini ni miradi ya umwagiliaji maana hali ya misimu ya mvua imebadilika sana, mkulima amechanganywa na hizi mvua zinazo nyesha bila mpangilio, na hii ni kwa sababu ya mabadiliko ya hali ya hewa. Kuna vijiji vingi vina vyazo vya maji lakini vinashindwa kuyatumia maji hayo ipasavyo kwa kukosa miundombinu bora ya umwagiliaji, hasa mikoa ya Morogoro (karibia wilaya zote) na Tanga wilaya za Lushoto, Korogwe na Muheza. Dar kuna taa zakutosha lakini vibaka wamejazana, sema ulozi utapungua.