Kuna uwezekano pia kuwa majaliwa hakuzirai hivi hivi; inaonekana kama kulikuwa na watu wengine kwenye eneo la ajali ambao shida yao ilikuwa ni kinyume na kuokoa abiria na hao ndiyo wanaweza kuwa walipelekea Majaliwa azirai. Hofu yao ilikuwa ni kama Majaliwa angefanikiwa kuwaokoa marubani pia kwa sababu inaonekana marubani ndiyo ilikuwa ni target ya kwanza; kwamba walitakiwa wasiwe hai! Wangeokolewa marubani; siri ingevuja kirahisi!Sugu kaniudhi kweli, yaan hawazi yule kijana mpaka alizirai na kidogo apoteze maisha,
Na wewe kumbe wa hovyo sana , sasa unapinga nini anachokifanya GENTA kama na wewe unajibu utumbo na matusi kutoka kwa watu ?Ametukana yeye kwanza. Nika mjibu utumbo wake.
Ila wewe moderators wana kulea sanaaaaa. Hizo account zako kama 3 hivi wange zipiga ban ya miaka 2. Akili itakaa sawa tu
Labda wangetembea juu ya maji kama PetroIngekua aje Majaliwa angejikausha kama hayamuhusu hata kama hao wahudumu wangefungua mlango ? una anzaje kumdharamu mtu kaenda kufanya kazi isio mhusu tena kwa kujitotea? dogo mpaka akazimia kwenye harakati za kuokoa maisha ya watu saa zingine tuheshimu juhudi za watu
Wewe nawe usjifanye una uchungu sana kila siku watu wanakufa barabarani au sio watu hao? walipanda ndege ndio watu mbona mnajitoa ufahamu. Barabara kila dakika zinauwa watu wewe umeshupalia 19Mungu anatoa riziki kwa kuua wengine 19? Unajua mafhara ya hao 19 kufariki? Mungu hajui kazi
Una muogopa GENTA mm ndie mwenye ubavu wa kumvaa tu. Tulia niachie mm nimrekebishe GENTA, coz ww una muogopa.Na wewe kumbe wa hovyo sana , sasa unapinga nini anachokifanya GENTA kama na wewe unajibu utumbo na matusi kutoka kwa watu ?
Wanadamu bhana daah! Uliona alicho kiandika huyo mdau? By the way, mm sihitaji Kick ya mtu, ila huyu GENTA leo kaipata shule hapa. Tena huyu GENTA moods ndio wana mdekeza miaka yote wakati umri wake ni mkubwa.Wewe mbona unahubiri amani wakati umeficha silaha ?huu ni unafiki mkubwa sana bora GENTAMYCINE yeye kashajichagulia awe vipi sio mtu wa kuficha ficha kuliko wewe ambaye nilikusapoti kwa kukuona mstaarabu kama unavyohubiri hatimaye umetukana tusi kubwa.
Wabongo walipofikia ,bahati ya Afande mpya hawailalii tu milango wazi ila hiyo milango wameibomoa kabisa.Tuache wivu wakuu, huyo dogo bahati yake tusiilalie mlango wazi kwa hali yeyote hata kama hajafungua yeye basi ameshiriki kuokoa watu hilo linatosha kuutambua msaada wake.
Acha ujuaji mkuu, hakuna muhudumu wa ndege aliyepoteza maisha. Hawawezi kujitokeza kuongea, kwani wao si wasemaji wa precision air.Ww unae sema ali sema yeye ndie alie fungua mlango. Mtaje jina na weka picha. Ali hojiwa na media gani? Weka video. Coz majina ya Marehemu na majeruhi wa ajali yote yapo hapa ktk uzi mmoja hapa JF na huyo mhudumu hajawahi jitokeza.
Tupe ww ukweli ulie kuwepo eneo la tukioAcha ujuaji mkuu, hakuna muhudumu wa ndege aliyepoteza maisha. Hawawezi kujitokeza kuongea, kwani wao si wasemaji wa precision air.
Au sio mkuu nafikiri hizo ndio roho za watz wengiTuache wivu wakuu, huyo dogo bahati yake tusiilalie mlango wazi kwa hali yeyote hata kama hajafungua yeye basi ameshiriki kuokoa watu hilo linatosha kuutambua msaada wake.
tabia ya kichawi kabisa.Wabongo walipofikia ,bahati ya Afande mpya hawailalii tu milango wazi ila hiyo milango wameibomoa kabisa.