Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Ila watanzania aloturoga kafa walah! Sijui kwanini huwa tunapenda sana kuamini vitu rahisi rahisi bila hata kureason. Na ikitokea mtu akareason anaonekana ana wivu, mchawi nk. Ndio maana tuna utitiri wa madhehebu na yanaendelea kuibuka na hayakosi waumini.