Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
mkuu ukiendekeza husda kama hivi utashangaa siku mwanao ananenepa unaanza kumbania msosi kisa wewe ni mwembamba.Au sio mkuu nafikiri hizo ndio roho za watz wengi
Wivu ni janga la taifa zee zima linamunea wivu dogo under 21Kwani bado tuu..kama hela kashapewa kazi anayo na hamuwezi kuvirudisha. Endeleeni namaisha yenyu
Imeisha hiyoo
Me nimekuelewa sn snTuache wivu wakuu, huyo dogo bahati yake tusiilalie mlango wazi kwa hali yeyote hata kama hajafungua yeye basi ameshiriki kuokoa watu hilo linatosha kuutambua msaada wake.
Asubiri ndege nyingine ikianguka akaokoeAliyeokoa abiria sio majaliwa bali ni abiria aliyekuwa ndani ya ndege. Majaliwa alizimia kabla mlango haujafunguliwa sababu kuna kamba ilifungwa ili boat ivute mlango ufunguke, hiyo kama ilikatika ikampiga mjaliwa akazimia na wavuvi walimwokoa.
Huyu jamaa ndo aliyeokoa watu wote na ndo alistahili haya matangazo
Watanzania ni shida sana. Inawezekana wahudumu walifungua lock za mlango lakiki sababu ya pressure ya maji ule mlango ukawa mgumu kufungua ndio majaliwa akaupiga kwa nguvu. Hata moto ukitokea kwenye nyumba kama hamna watu wa kuvunja mlango watu wanakufa sababu milango inakuwa migumu kufunguka. Unakuta watu wanafia mlangoni sababu ya kukosa watu wa kusuukuma mlango.Taifa limegubikwa na wivu mkuu, yaani watu bila aibu wanaumia kijana mdogo yule kusaidiwa. Sugu kaniudhi kweli, yaan hawazi yule kijana mpaka alizirai na kidogo apoteze maisha, yeye anawaza mlango. Nyambafu kabisa, hao wahudumu kwanini hawakufungua na mlango wa mbele?? Si wanakuwaga WAWILI mmoja mbele mwingine nyuma?? Majaliwa alisema ALIWAKUTA wanapambana kufungua mlango, yeye akaupiga na Kasia, manake maji yalilokisha mlango, Kwa kupigwa na majaliwa ndo ukafunguka
Mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje pia. Maana inaweza kutokea emegency halafu wa ndani wakashindwa kugungua.hata mimi nilijua tu itabackfire, viongozi wa nchi hii huwa wanakurupuka sana, hata kabla ya kushauriwa na wataalamu.
A simple common sense inakataa, mlango wa ndege ukifungwa hufunguliwa kwa ndani. huyu toy son wao wamempamba mpaka bungeni aliufunguaje akiwa nje?
Hata kwenye timu za mpira kuna wafungaji bora na wanapewa tuzo, kwani huwa wanafunga peke yao bila msaada wa wachezaji wengine? Majaliwa alisema walikuwa na wavuvi wengine, na mmoja alihojiwa akasema majaliwa ndio alikuwa shujaa zaidi yaoIshu walioshiriki ni wengi kwann awe yy peke yake?? Alizimia, haya aliokolewa na nani??
ambayo haiwezi funguliwa kwa nje ni ndege gani? labda ya kivitaWatanzania ni shida sana. Inawezekana wahudumu walifungua lock za mlango lakiki sababu ya pressure ya maji ule mlango ukawa mgumu kufungua ndio majaliwa akaupiga kwa nguvu. Hata moto ukitokea kwenye nyumba kama hamna watu wa kuvunja mlango watu wanakufa sababu milango inakuwa migumu kufunguka. Unakuta watu wanafia mlangoni sababu ya kukosa watu wa kusuukuma mlango.
Milango ya ndege inafunguka kwa nhe pia.ambayo haiwezi funguliwa kwa nje ni ndege gani? labda ya kivita
nani mkweli sasa watumishi ambao ni trained kwa kazi hiyo au mvuvi wa dagaa asiye na ufahamu wo wote kuhusu ndege?Mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje pia. Maana inaweza kutokea emegency halafu wa ndani wakashindwa kugungua.
Mimi sijaona wahudumu wakihojiwa zaidi ya almanusra ambao nao wanajichanganya.nani mkweli sasa watumishi ambao ni trained kwa kazi hiyo au mvuvi wa dagaa asiye na ufahamu wo wote kuhusu ndege?
ID fake unajuaje umri wa mtu ?Wanadamu bhana daah! Uliona alicho kiandika huyo mdau? By the way, mm sihitaji Kick ya mtu, ila huyu GENTA leo kaipata shule hapa. Tena huyu GENTA moods ndio wana mdekeza miaka yote wakati umri wake ni mkubwa.
Basi ulifunguka wenyewe. Maana abiria walionusurika ndio walidai angalau mhudumu mmoja alikuwa akihangaika na mlango. Sisi wa huku tutajua aje?Ila na wahudumu kudai wao ndio walifungua mlango ni uongo! Mara majaliwa. Mara Eng. Victor. Hapa watu watulie ripoti ije. Tujue mlango uli vunjwa au ulifunguliwa kawaida.
Nitamvaa vipi mtu bila sababu ?Una muogopa GENTA mm ndie mwenye ubavu wa kumvaa tu. Tulia niachie mm nimrekebishe GENTA, coz ww una muogopa.
Hivi ni Mods au Moods kama ulivyoandika? Pumbavu.Wanadamu bhana daah! Uliona alicho kiandika huyo mdau? By the way, mm sihitaji Kick ya mtu, ila huyu GENTA leo kaipata shule hapa. Tena huyu GENTA moods ndio wana mdekeza miaka yote wakati umri wake ni mkubwa.
Level yako ya IQ na Genta ni same Category.Nitamvaa vipi mtu bila sababu ? Kumvaa mtu unaona sifa nzuri ?
Mwanzo nilidhani lengo lako zuri ila nimegundua wewe ni mtu wa hovyo sana na unapenda ligi zisizo na faida na ligi zenyewe huziwezi.View attachment 2418048
Aliye andika hapa ni shouger kabisa"Sisi ndiyo tulifungua Mlango wa Ndege kisha tukawaona Wavuvi na Mitumbwi yao wanakuja na kuanza Kushirikiana nao katika Kuokoa Abiria na baadae nasi pia Kuokolewa" Wahudumu wa Ndege ya Precision Air iliyotumbukia tarehe 6 Novemba Ziwa Victoria Bukoba Mkoani Kagera.
"Huyu Kijana tena Wajina wangu Majaliwa Jackson ni Shujaa kweli na lazima tumpe Asante kwani Yeye ndiyo alienda ilipo Ndege na kwa Kutumia Makasia aliyokuwa nayo akafungua Mlango wa Ndege na peke yake Kuokoa Abiria wote" Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.
Kazi ipo hakyanani.