Leo nimedhibitisha kauli ya GENTAMYCINE kuwa kuna IDs za kimkakati zinashirikiana kumshambulia tena ni wengine tena wengine wanajibadilisha kwa sura nyingine lakini mwamba ni jeshi la mtu mmoja anadili na wote nyie sambamba .Tusi ullilotukana juu linatosha kukujukisha wewe ni mtu wa hovyo kiasi gani haina haja ya kujitambulisha .Si nimeona una post picha za stupidity mara Idiot? Au hujui ni matusi?
Ebu lala. Huna hoja. Hoja zangu leo ni kumshughulikia GENTA aache utoto wa kutukana watu hovyo hovyo hapa JF.
Plz keep Off. Am not your class!
Madada Wawili walipona..marubani wawili walifarikiMhudumu gani alie pona kwenye ajali ya ndege? Ebu punguzeni uongo
Unapigo za kijobeless kubishana mtandaoni umefanya kama Kazi.Wewe hata maandiko wako kama umevuka darasa la Nne nasi elimu yetu ipo zaidi ya chini ,makosa mengi ya wazi kiuandishi kama mtoto mdogo.Hujui hata maana zake. Coz hata Elimu yako ni ndogo. Ww na huyo mwenzio ni ng'ombe walio pelekwa josho (shule) na waka rudi na kupe wao (ujinga).
Ww umedandia gari kwa mbele, kisa kiherehere chako. Bora, utulie.
Tiyari huoni GENTA alivyo tulia leo[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Na ata badilika tu. Sisi ndio ulimwengu.
Sasa ana umhimu gani Tz hadi watu wamsakame ? Tatzo lake ni matusi. Ashukru mm ni muwazi. Nime amua ni msaidie leo.Leo nimedhibitisha kauli ya GENTAMYCINE kuwa kuna IDs za kimkakati zinashirikiana kumshambulia tena ni wengine tena wengine wanajibadilisha kwa sura nyingine lakini mwamba ni jeshi la mtu mmoja anadili na wote nyie sambamba .Tusi ullilotukana juu linatosha kukujukisha wewe ni mtu wa hovyo kiasi gani haina haja ya kujitambulisha .
ile tu kujadili alikuwa majaliwa au nani kwa wakati huu haina faida, tuendelee na maisha mengine mkuu.Bado hujajibu hoja ya msingi kwamba waliofungua mlango wa ndege ni wahudumu wa ndege. Kwa nini record zisiwekwe sawa kwamba baada ya wahudumu wa ndege kufungua mlango Majaliwa, ambaye alikuwa ni mmoja wa wavuvi waliofika mapema, walisaidia kuwatoa wahanga kutoka kwenye ndege na kuwapakia kwenye mtumbwi?? Why can't we have straight facts? Unfortunately we also don't have investigative journalism..
Tulia ww. Mm nina kulisha ww, wazazi wako, mke wako na vitoto vyako. Nilikwambia toka mapema, kojoa ulale, IQ yako ni ndogo sana.Unapigo za kijobeless kubishana mtandaoni umefanya kama Kazi.Wewe hata maandiko wako kama umevuka darasa la Nne nasi elimu yetu ipo zaidi ya chini ,makosa mengi ya wazi kiuandishi kama mtoto mdogo.
Neno "Tiyari" unauhakika umeliandika sawasawa ?
Ulivyoandika kua tutumie Logic au Reason nikadhani labda utaenda kwenye details. Wewe sema tu mlango wa ndege unaofungwa ili usipitishe hata hewa unauvunjaje kutokea nje na kasia ?Nasimama na majaliwa.
Tutumie reason / logic kidogo.
Wanaosema wamejiokoa wenyewe (wahudumu) na kuokoa wengine. Hawayajui maji vizuri, kuna ile hali ya presha ya kifo kila mtu anataka kuokoa nafsi yake, kwa nini kama wao ni waokozi mahiri wasingeokoa marubani? Ambao ni rasilimali muhimu wakaokoa raia wengine?
Basi sawa walijiokoa.
Je wangetoka nje ya ndege mitumbwi isingekuwepo kuokoka kwao ndani ingekuwa nini?
Majaliwa ni shujaa + Mungu ambariki siku zote kwa ajili ya roho alizomsaidia kuziokoa + tusimame na majaliwa
Hao wasaidizi walipofungua mlango,waliwabeba abiria mpaka ufukweni?Wavuvi wakiongozwa na Majaliwa wakifika na mitumbwi yao na kuwabeba wasaidiz na abiria na kuwaokoa.Tuwapongeze sana wavuvi wetu wa dagaa na samaki waliokoa wahudumu na abiria."Sisi ndiyo tulifungua Mlango wa Ndege kisha tukawaona Wavuvi na Mitumbwi yao wanakuja na kuanza Kushirikiana nao katika Kuokoa Abiria na baadae nasi pia Kuokolewa" Wahudumu wa Ndege ya Precision Air iliyotumbukia tarehe 6 Novemba Ziwa Victoria Bukoba Mkoani Kagera.
"Huyu Kijana tena Wajina wangu Majaliwa Jackson ni Shujaa kweli na lazima tumpe Asante kwani Yeye ndiyo alienda ilipo Ndege na kwa Kutumia Makasia aliyokuwa nayo akafungua Mlango wa Ndege na peke yake Kuokoa Abiria wote" Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.
Kazi ipo hakyanani.
Nami naweka nukta hapo.Mimi ninachokisema mtu akifunguliwa njia za mafanikio hakuna atakayeweza kuzifunga ndicho kilichotokea, na hapo juu sijakiri bali nimeleta assumptions tu kulingana na vile mnapenda kusikia.
My take: majaliwa ameshapata ajira na zawadi kutoka kwa wadau tumuache ale mavuno ya ujasiri wake.
Majaliwa K ni muongo muongo sana..."Sisi ndiyo tulifungua Mlango wa Ndege kisha tukawaona Wavuvi na Mitumbwi yao wanakuja na kuanza Kushirikiana nao katika Kuokoa Abiria na baadae nasi pia Kuokolewa" Wahudumu wa Ndege ya Precision Air iliyotumbukia tarehe 6 Novemba Ziwa Victoria Bukoba Mkoani Kagera.
"Huyu Kijana tena Wajina wangu Majaliwa Jackson ni Shujaa kweli na lazima tumpe Asante kwani Yeye ndiyo alienda ilipo Ndege na kwa Kutumia Makasia aliyokuwa nayo akafungua Mlango wa Ndege na peke yake Kuokoa Abiria wote" Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.
Kazi ipo hakyanani.
Kumbuka kauli yake Maarufu:"Sisi ndiyo tulifungua Mlango wa Ndege kisha tukawaona Wavuvi na Mitumbwi yao wanakuja na kuanza Kushirikiana nao katika Kuokoa Abiria na baadae nasi pia Kuokolewa" Wahudumu wa Ndege ya Precision Air iliyotumbukia tarehe 6 Novemba Ziwa Victoria Bukoba Mkoani Kagera.
"Huyu Kijana tena Wajina wangu Majaliwa Jackson ni Shujaa kweli na lazima tumpe Asante kwani Yeye ndiyo alienda ilipo Ndege na kwa Kutumia Makasia aliyokuwa nayo akafungua Mlango wa Ndege na peke yake Kuokoa Abiria wote" Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.
Kazi ipo hakyanani.
Hata kama hao wahudumu walishiriki chochote hicho wanachosema eti walifungua latch (kitasa) baada ya kumuona dogo nje ya kioo"Sisi ndiyo tulifungua Mlango wa Ndege kisha tukawaona Wavuvi na Mitumbwi yao wanakuja na kuanza Kushirikiana nao katika Kuokoa Abiria na baadae nasi pia Kuokolewa" Wahudumu wa Ndege ya Precision Air iliyotumbukia tarehe 6 Novemba Ziwa Victoria Bukoba Mkoani Kagera.
"Huyu Kijana tena Wajina wangu Majaliwa Jackson ni Shujaa kweli na lazima tumpe Asante kwani Yeye ndiyo alienda ilipo Ndege na kwa Kutumia Makasia aliyokuwa nayo akafungua Mlango wa Ndege na peke yake Kuokoa Abiria wote" Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.
Kazi ipo hakyanani.
inaweza kuchemswa...ha ha ha haToo late! Supu inywe ikiwa ya moto ikipoa tu msala!
Uchemshe huku uliambiwa ni supu ya mbuzi, baada ya kuganda unakuja kushtuka ni mbwa hata ukiichemsha tena itanyweka kweli[emoji16][emoji16]inaweza kuchemswa...ha ha ha ha