Waziri Mkuu Majaliwa, Wahudumu wa Ndege ya Precision Air wanasema Wao ndiyo Walifungua Mlango. Huyu Muokoaji ‘Majaliwa’ aliufungua upi?

Waziri Mkuu Majaliwa, Wahudumu wa Ndege ya Precision Air wanasema Wao ndiyo Walifungua Mlango. Huyu Muokoaji ‘Majaliwa’ aliufungua upi?

Si nimeona una post picha za stupidity mara Idiot? Au hujui ni matusi?

Ebu lala. Huna hoja. Hoja zangu leo ni kumshughulikia GENTA aache utoto wa kutukana watu hovyo hovyo hapa JF.

Plz keep Off. Am not your class!
Leo nimedhibitisha kauli ya GENTAMYCINE kuwa kuna IDs za kimkakati zinashirikiana kumshambulia tena ni wengine tena wengine wanajibadilisha kwa sura nyingine lakini mwamba ni jeshi la mtu mmoja anadili na wote nyie sambamba .Tusi ullilotukana juu linatosha kukujukisha wewe ni mtu wa hovyo kiasi gani haina haja ya kujitambulisha .
 
hao waliofungua mlango ambao ni wahudumu wa ndege kama unavodai sio mbaya pia maana ni wajibu wao kuwajibika katika kazi yao sasa majaliwa yeye ni mvuvi sio mbaya alivoenda waokoa abiria japo hakiwa peke yake ila Mungu ndo wakati ameona amnyanyue Majaliwa.
 
Hujui hata maana zake. Coz hata Elimu yako ni ndogo. Ww na huyo mwenzio ni ng'ombe walio pelekwa josho (shule) na waka rudi na kupe wao (ujinga).

Ww umedandia gari kwa mbele, kisa kiherehere chako. Bora, utulie.
Tiyari huoni GENTA alivyo tulia leo[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Na ata badilika tu. Sisi ndio ulimwengu.
Unapigo za kijobeless kubishana mtandaoni umefanya kama Kazi.Wewe hata maandiko wako kama umevuka darasa la Nne nasi elimu yetu ipo zaidi ya chini ,makosa mengi ya wazi kiuandishi kama mtoto mdogo.

Neno "Tiyari" unauhakika umeliandika sawasawa ?
 
Leo nimedhibitisha kauli ya GENTAMYCINE kuwa kuna IDs za kimkakati zinashirikiana kumshambulia tena ni wengine tena wengine wanajibadilisha kwa sura nyingine lakini mwamba ni jeshi la mtu mmoja anadili na wote nyie sambamba .Tusi ullilotukana juu linatosha kukujukisha wewe ni mtu wa hovyo kiasi gani haina haja ya kujitambulisha .
Sasa ana umhimu gani Tz hadi watu wamsakame ? Tatzo lake ni matusi. Ashukru mm ni muwazi. Nime amua ni msaidie leo.

Ila uelewako sidhani kama una weza fundisha hata std 1
 
Bado hujajibu hoja ya msingi kwamba waliofungua mlango wa ndege ni wahudumu wa ndege. Kwa nini record zisiwekwe sawa kwamba baada ya wahudumu wa ndege kufungua mlango Majaliwa, ambaye alikuwa ni mmoja wa wavuvi waliofika mapema, walisaidia kuwatoa wahanga kutoka kwenye ndege na kuwapakia kwenye mtumbwi?? Why can't we have straight facts? Unfortunately we also don't have investigative journalism..
ile tu kujadili alikuwa majaliwa au nani kwa wakati huu haina faida, tuendelee na maisha mengine mkuu.
 
Unapigo za kijobeless kubishana mtandaoni umefanya kama Kazi.Wewe hata maandiko wako kama umevuka darasa la Nne nasi elimu yetu ipo zaidi ya chini ,makosa mengi ya wazi kiuandishi kama mtoto mdogo.

Neno "Tiyari" unauhakika umeliandika sawasawa ?
Tulia ww. Mm nina kulisha ww, wazazi wako, mke wako na vitoto vyako. Nilikwambia toka mapema, kojoa ulale, IQ yako ni ndogo sana.

Ila leo nipo na GENTA, sema umbea wako wa kike tu umekuleta.
 
Nasimama na majaliwa.

Tutumie reason / logic kidogo.
Wanaosema wamejiokoa wenyewe (wahudumu) na kuokoa wengine. Hawayajui maji vizuri, kuna ile hali ya presha ya kifo kila mtu anataka kuokoa nafsi yake, kwa nini kama wao ni waokozi mahiri wasingeokoa marubani? Ambao ni rasilimali muhimu wakaokoa raia wengine?

Basi sawa walijiokoa.
Je wangetoka nje ya ndege mitumbwi isingekuwepo kuokoka kwao ndani ingekuwa nini?

Majaliwa ni shujaa + Mungu ambariki siku zote kwa ajili ya roho alizomsaidia kuziokoa + tusimame na majaliwa
Ulivyoandika kua tutumie Logic au Reason nikadhani labda utaenda kwenye details. Wewe sema tu mlango wa ndege unaofungwa ili usipitishe hata hewa unauvunjaje kutokea nje na kasia ?

Inawezekana mtumbwi wa Majaaliwa ndio uliobeba wahanga, au ye ndo aliewatoa ndani lakini kwenye kuvunja mlango sio yeye.

Na ye alivyoingia ndani akajigonga wapi sijui akaishia kuzimia na kuja kuzindukia hospital. Kwa hiyo mengine yaliyoendelea hakuhusika nayo. Anaweza kua shujaa kuna yake alifanya lakini sio kama anavyopambwa.
 
"Sisi ndiyo tulifungua Mlango wa Ndege kisha tukawaona Wavuvi na Mitumbwi yao wanakuja na kuanza Kushirikiana nao katika Kuokoa Abiria na baadae nasi pia Kuokolewa" Wahudumu wa Ndege ya Precision Air iliyotumbukia tarehe 6 Novemba Ziwa Victoria Bukoba Mkoani Kagera.

"Huyu Kijana tena Wajina wangu Majaliwa Jackson ni Shujaa kweli na lazima tumpe Asante kwani Yeye ndiyo alienda ilipo Ndege na kwa Kutumia Makasia aliyokuwa nayo akafungua Mlango wa Ndege na peke yake Kuokoa Abiria wote" Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.

Kazi ipo hakyanani.
Hao wasaidizi walipofungua mlango,waliwabeba abiria mpaka ufukweni?Wavuvi wakiongozwa na Majaliwa wakifika na mitumbwi yao na kuwabeba wasaidiz na abiria na kuwaokoa.Tuwapongeze sana wavuvi wetu wa dagaa na samaki waliokoa wahudumu na abiria.
 
Mimi ninachokisema mtu akifunguliwa njia za mafanikio hakuna atakayeweza kuzifunga ndicho kilichotokea, na hapo juu sijakiri bali nimeleta assumptions tu kulingana na vile mnapenda kusikia.

My take: majaliwa ameshapata ajira na zawadi kutoka kwa wadau tumuache ale mavuno ya ujasiri wake.
Nami naweka nukta hapo.
 
"Sisi ndiyo tulifungua Mlango wa Ndege kisha tukawaona Wavuvi na Mitumbwi yao wanakuja na kuanza Kushirikiana nao katika Kuokoa Abiria na baadae nasi pia Kuokolewa" Wahudumu wa Ndege ya Precision Air iliyotumbukia tarehe 6 Novemba Ziwa Victoria Bukoba Mkoani Kagera.

"Huyu Kijana tena Wajina wangu Majaliwa Jackson ni Shujaa kweli na lazima tumpe Asante kwani Yeye ndiyo alienda ilipo Ndege na kwa Kutumia Makasia aliyokuwa nayo akafungua Mlango wa Ndege na peke yake Kuokoa Abiria wote" Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.

Kazi ipo hakyanani.
Majaliwa K ni muongo muongo sana...
 
"Sisi ndiyo tulifungua Mlango wa Ndege kisha tukawaona Wavuvi na Mitumbwi yao wanakuja na kuanza Kushirikiana nao katika Kuokoa Abiria na baadae nasi pia Kuokolewa" Wahudumu wa Ndege ya Precision Air iliyotumbukia tarehe 6 Novemba Ziwa Victoria Bukoba Mkoani Kagera.

"Huyu Kijana tena Wajina wangu Majaliwa Jackson ni Shujaa kweli na lazima tumpe Asante kwani Yeye ndiyo alienda ilipo Ndege na kwa Kutumia Makasia aliyokuwa nayo akafungua Mlango wa Ndege na peke yake Kuokoa Abiria wote" Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.

Kazi ipo hakyanani.
Kumbuka kauli yake Maarufu:

"Rais Magufuli ni mzima wa afya na anachapa kazi usiku kucha halali, mnataka azurure ili iweje?""😀
 
"Sisi ndiyo tulifungua Mlango wa Ndege kisha tukawaona Wavuvi na Mitumbwi yao wanakuja na kuanza Kushirikiana nao katika Kuokoa Abiria na baadae nasi pia Kuokolewa" Wahudumu wa Ndege ya Precision Air iliyotumbukia tarehe 6 Novemba Ziwa Victoria Bukoba Mkoani Kagera.

"Huyu Kijana tena Wajina wangu Majaliwa Jackson ni Shujaa kweli na lazima tumpe Asante kwani Yeye ndiyo alienda ilipo Ndege na kwa Kutumia Makasia aliyokuwa nayo akafungua Mlango wa Ndege na peke yake Kuokoa Abiria wote" Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.

Kazi ipo hakyanani.
Hata kama hao wahudumu walishiriki chochote hicho wanachosema eti walifungua latch (kitasa) baada ya kumuona dogo nje ya kioo
Hilo lilikuwa jukumu lao.Ndio maana wakaitwa wahudumu. Walikuwa kazini
Ujasiri wa Majaliwa kwa kweli amestahili muacheni kijana wa watu
 
Too late! Supu inywe ikiwa ya moto ikipoa tu msala!
 
Ina maana Serikali ilikurupuka kumtambua kijana Majariwa kama Shujaa mwokozi wa watu !! ni hatari kama serikali inakuwa misinformed - stay tuned.
Bundi linamsaka mtu hapa, maana ukichanganya na maelezo ya jana yule DR kuna point.
 
inaweza kuchemswa...ha ha ha ha
Uchemshe huku uliambiwa ni supu ya mbuzi, baada ya kuganda unakuja kushtuka ni mbwa hata ukiichemsha tena itanyweka kweli[emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom