Waziri Mkuu Majaliwa, Wahudumu wa Ndege ya Precision Air wanasema Wao ndiyo Walifungua Mlango. Huyu Muokoaji ‘Majaliwa’ aliufungua upi?

Alafu yule ni dogo tu kumsaidia namna ile kwa kwa kile alifanya mbna ni haki yake tu!
alivyozidi kupatapata vizawadi threads zikawa zinazdi kuongezeka!
Wahi Milembe Mental Hospital Dodoma sawa?
 
Acha Kuzuga na Kukwepa tafadhali sawa? Hoja yako ya Msingi hapo Awali ulisema tena Ukijiamini kabisa kuwa hakuna Mhudumu wa Ndege hiyo ( ile ) aliyepona na kwamba Wote walikufa.

Limalize hili Kwanza linalokuumbua na Kukuchoresha kwa tuliokuzidi Akili Kubwa na Maarifa hapa JamiiForums kabla ya Kurukia huko Kwingineko ambako hukuwezi kutokana na Upumbavu wako Uliokutukuka.
 
Ndiyo maana mwaka 2013 Rais Paul Kagame wa Rwanda alimwambia Mpuuzi Mmoja ( sasa Mstaafu ) wa nchi niliyoisahau kwa sasa wakiwa Mkutanoni nchini Ethiopia kuwa anaongoza Maiti tu.
Nchi fulani ina wajinga weng sana mkuu

Ova
 
Shida yako sifa. Sifa za Kijinga umeona ni umaarufu kutukana hovyo watu. Jenga hoja Active na Moderator msimulee huyu kijana. Pigeni pini hata ya mwaka Account zake zote. Ana ujuaji wa kitoto akati umri ni 38 to 42.
 
Mm najua Elimu yangu. Ww na mkeo mna ungana na usifikie. Kueneza tu uongo. Ww media gani umeskia mahojiano na Wahudumu wa Ndege?
JF ni ujuaji mwingi wa kijinga.
Acha Kuzuga na Kukwepa tafadhali sawa? Hoja yako ya Msingi hapo Awali ulisema tena Ukijiamini kabisa kuwa hakuna Mhudumu wa Ndege hiyo ( ile ) aliyepona na kwamba Wote walikufa.

Limalize hili Kwanza linalokuumbua na Kukuchoresha kwa tuliokuzidi Akili Kubwa na Maarifa hapa JamiiForums kabla ya Kurukia huko Kwingineko ambako hukuwezi kutokana na Upumbavu wako Uliokutukuka.
 
Shida yako sifa. Sifa za Kijinga umeona ni umaarufu kutukana hovyo watu. Jenga hoja Active na Moderator msimulee huyu kijana. Pigeni pini hata ya mwaka Account zake zote. Ana ujuaji wa kitoto akati umri ni 38 to 42.
Acha Kuzuga na Kukwepa tafadhali sawa? Hoja yako ya Msingi hapo Awali ulisema tena Ukijiamini kabisa kuwa hakuna Mhudumu wa Ndege hiyo ( ile ) aliyepona na kwamba Wote walikufa.

Limalize hili Kwanza linalokuumbua na Kukuchoresha kwa tuliokuzidi Akili Kubwa na Maarifa hapa JamiiForums kabla ya Kurukia huko Kwingineko ambako hukuwezi kutokana na Upumbavu wako Uliokutukuka.
 
Leta majina ya aliye sema hivyo. Leta na video ya hayo mahojiano. Media gani hiyo?
 
Njia za mafanikio zilizofunguliwa kwa kubumbabumba huwa hazifiki mbali. Nina uhakika, wahudumu wakitoka hadharani na kusimulia tukio lenyewe majaliwa shujaa atatafuta pa kuficha uso wake.
 
Leta majina ya aliye sema hivyo. Leta na video ya hayo mahojiano. Media gani hiyo?
Acha Kuzuga na Kukwepa tafadhali sawa? Hoja yako ya Msingi hapo Awali ulisema tena Ukijiamini kabisa kuwa hakuna Mhudumu wa Ndege hiyo ( ile ) aliyepona na kwamba Wote walikufa.

Limalize hili Kwanza linalokuumbua na Kukuchoresha kwa tuliokuzidi Akili Kubwa na Maarifa hapa JamiiForums kabla ya Kurukia huko Kwingineko ambako hukuwezi kutokana na Upumbavu wako Uliokutukuka.
 
Wahudumu wa ndege waliufungua kwa ndani na majaliwa akaufungua kwa nje.
 
Hiyo BAMC yako hapo SAUT ulitoka mweupe. Kama na umri ulio nao akili ni kisoda. Ni bure kabisa.
 
Njia za mafanikio zilizofunguliwa kwa kubumbabumba huwa hazifiki mbali. Nina uhakika, wahudumu wakitoka hadharani na kusimulia tukio lenyewe majaliwa shujaa atatafuta pa kuficha uso wake.
Ulibaki Wewe tu kutokujua kuwa huyo Muokoaji wenu wa Kimkakati Majaliwa Jackson kwa 85% hakufanya hivyo ila anatumika / ametumika Kukamilisha Agenda fulani ambayo kwa Taifa lenye Mazwazwa wengi imeshafanikiwa.
 
Basi tufanye ni wewe ndio ulifungua huo mlango wa ndege, umefurahi sasa? Hongera kwa kwa heshima na mijizawadi uliyojipatia
 
Jamii Forums iki kulea hovyo utakuja kuwa Mzee mjinga sana. Ina faa upigwe pini za maana. Kutukana umeona ni sifa nzuri kwa jamii! Kwahiyo watu wa kuogope Hapa jukwaani au?
Yaani mwenye Followers almost 120 hapa JamiiForums nihukumiwe kama Utakavyo halafu Juha Mmoja Wewe usiye na hata tu a Single Follower ubakie?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…