Waziri Mkuu Majaliwa, Wahudumu wa Ndege ya Precision Air wanasema Wao ndiyo Walifungua Mlango. Huyu Muokoaji ‘Majaliwa’ aliufungua upi?

Kwahiyo GENTAMYCINE ukianza Kunidhihaki kwa Kejeli na hata Kashfa huwa mnatoka ninyamaze au niwaogopeni ila nikiwajibu kwa namna ya Kipekee na ambayo huwa Inawauma ndiyo mnaniona Mkosaji?

Mnafiki na Juha mkubwa Wewe sawa?
Mm sija kutukana ktk post zangu zote. Ila sipendi tu unavyo tukana watu JF. JF nipo toka 2010.
 
Mm sija kutukana ktk post zangu zote. Ila sipendi tu unavyo tukana watu JF. JF nipo toka 2010.
Vitani huwa tunachaguliana Silaha za Kumzidi nguvu Adui? SI umeanza nami hii Vita ya Maneno? Imalize na acha Kulialia na kutia Huruma sawa?
 
Vitani huwa tunachaguliana Silaha za Kumzidi nguvu Adui? SI umeanza nami hii Vita ya Maneno? Imalize na acha Kulialia na kutia Huruma sawa?
Kwani nime lia? Au niko na wewe nakuelimisha na hiyo BAMC yako uliyo maliza bila kuonana na Dr au Proffesa yoyote.
 
Ugonjwa wangu huo ( huu ) wa Akili aliniambukiza Aliyekuzaa tulipokuwa nae mahala tulivu.
Aliyenizaa mimi anaweza kumzaa baba au mama yako achilia mbali mimi.
Kwa kifupi ujivuni wako wa kujua mambo haujawahi kuwa na tija hata hapa JF achilia huko kwenye jamii yako na unachotakiwa kujua kuwa wewe ni miongoni mwa watoto waliokosa malezi ya wazazi na jamii pia.
 
Nadhani umenielewa. Heshimu watu wote JF. Acha kutukana watu hovyo. Mkosoe mtu kwa Hekima. Bisha kwa kujenga hoja. Huo ndio usomi.
Genius huwa anapangiwa cha Kuandika na Fool?
 
Rubbish and Nonsense.
 
hata mimi nilijua tu itabackfire, viongozi wa nchi hii huwa wanakurupuka sana, hata kabla ya kushauriwa na wataalamu.

A simple common sense inakataa, mlango wa ndege ukifungwa hufunguliwa kwa ndani. huyu toy son wao wamempamba mpaka bungeni aliufunguaje akiwa nje?
 
Kwani nime lia? Au niko na wewe nakuelimisha na hiyo BAMC yako uliyo maliza bila kuonana na Dr au Proffesa yoyote.
Genius GENTAMYCINE naweza Kuelimishwa na authentic Moron and Menta kama Wewe hapa Jamvini?
 
Tafuta wimbo wa K bazi unaitwa riziki.

Mungu kaamua kumfungulia dogo riiziki hata mfanyeje hamuwezi izuia
Huyu Mungu ni kichekesho au? Watu 19 wafe waache yatima, wazazi bila msaada ili majaliwa ainuliwe?!!!
 
Usitegemee kabisa a blessed Moron kama WAZO2010 pamoja na Wenzake kadhaa hapa Kukuelewa Mkuu ila Brainiacs Wenzako hapa tumekuelewa mno tu.
 
Mungu anatoa riziki kwa kuua wengine 19? Unajua mafhara ya hao 19 kufariki? Mungu hajui kazi
 
Haya umeshinda.
Ulichelewa wapi Kulikiri na Kusema hili mapema? Nina PhD ya Vita ya Maneno na Majibizano na tokea niwe hapa 2013 hadi leo ( 2022 ) sijapata Mpinzani na hiyo ( hii ) Vita huwa naipenda mno licha ya Kuimudu sana pia.
 
Fact sio kufungua mlango bali kuokoa abiria wengi.
Kitendo cha kuokoa abiria wote wale ni jambo la kishujaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…