Waziri Mkuu Majaliwa, Wahudumu wa Ndege ya Precision Air wanasema Wao ndiyo Walifungua Mlango. Huyu Muokoaji ‘Majaliwa’ aliufungua upi?

Waziri Mkuu Majaliwa, Wahudumu wa Ndege ya Precision Air wanasema Wao ndiyo Walifungua Mlango. Huyu Muokoaji ‘Majaliwa’ aliufungua upi?

Na Upumbavu ( Upan'gang'a ) ni Tatizo Sugu kwa Watanzania wengi Wakiongozwa nawe.
Katika kila tukio kuna shujaa wewe ni shabiki wa Simba. Banda alikimbilia mpira pembeni akaurudisha mpira mchezoni, Kapombe akaunasa na kupiga krosi moja nzuri sana kimo cha mtu mzima ikafika katikati ya kijiji cha watu, Sakho akapiga acrobatic moja safi tu, boom goli bora la Africa. Tuzo na kila pongezi alipewa Sakho si Kapombe wala Banda ambao walisaidia.

Hivyo hao wahudumu kufanya hayo mengine kama kufungua mlango kwa ndani na kurahisisha Majaliwa kuvuta mlango kwa nje kwa urahisi wasijihisi wanyonge every story has a hero. Na hata wavuvi wenzie waelewe tu kila kitu na baraka za mtu zina muda wake. TUACHE WIVU
 
Katika kila tukio kuna shujaa wewe ni shabiki wa Simba. Banda alikimbilia mpira pembeni akaurudisha mpira mchezoni, Kapombe akaunasa na kupiga krosi moja nzuri sana kimo cha mtu mzima ikafika katikati ya kijiji cha watu, Sakho akapiga acrobatic moja safi tu, boom goli bora la Africa. Tuzo na kila pongezi alipewa Sakho si Kapombe wala Banda ambao walisaidia.

Hivyo hao wahudumu kufanya hayo mengine kama kufungua mlango kwa ndani na kurahisisha Majaliwa kuvuta mlango kwa nje kwa urahisi wasijihisi wanyonge every story has a hero. Na hata wavuvi wenzie waelewe tu kila kitu na baraka za mtu zina muda wake. TUACHE WIVU
Sikuwahi kujua kumbe nawe Hamnazo.
 
Next time waandishi nunueni drones camera MAJALIWA alikuwa part ya waokoaji ( wavuvi) wapeni na wao kitu
 
"Sisi ndiyo tulifungua Mlango wa Ndege kisha tukawaona Wavuvi na Mitumbwi yao wanakuja na kuanza Kushirikiana nao katika Kuokoa Abiria na baadae nasi pia Kuokolewa" Wahudumu wa Ndege ya Precision Air iliyotumbukia tarehe 6 Novemba Ziwa Victoria Bukoba Mkoani Kagera.

"Huyu Kijana tena Wajina wangu Majaliwa Jackson ni Shujaa kweli na lazima tumpe Asante kwani Yeye ndiyo alienda ilipo Ndege na kwa Kutumia Makasia aliyokuwa nayo akafungua Mlango wa Ndege na peke yake Kuokoa Abiria wote" Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.

Kazi ipo hakyanani.
Hao wadada wamepata mabasha wao wa kuwaondoa stress ndio leo wanakuja na story hii, walikuwa wapi toka day one kusema hayo!?
 
Sikuwahi kujua kumbe nawe
Hamnazo lakini sina wivu wa kijinga. Majaliwa ndio kashapita kama alivyopita Pierre Liquid, Dr. Shika, Nabii Tito n.k.

Badala ya kukaa kujadili uzembe wa serikali na vyombo vyake vya uokoaji pamoja na ubora wa miundo mbinu ya uwanja wa ndege Bukoba tunaanza jadili nani kafungua mlango!

Hata kama Majaliwa ni made up character katika hili saga ili kudivert attention basi serikali wamefanikiwa maana sasa hivi ndio mjadala badala ya issue kuu ambao ni uzembe wao. Sasa hivi ilitakiwa tuseme "Hongera Majaliwa kwa uliyofanya halafu tumteme. Na kurejea kwenye agenda kuu ya uzembe wa serikali na kutaka watu wawajibike".

But unfortunately tunajadili petty issue na kuacha mjadala mkuu.
 
Sasa umeshakiri Mwenyewe hapa kuwa kumbe ameshiriki / alishiriki tu Kuokoa ( ukimaanisha hakuwa peke yake ) huo Ushujaa wa ghafla mliompa hadi Kumchangia Pesa na Magodoro ya GSM mmeutoa wapi?

Halafu GENTAMYCINE nikiwaambia kuwa hamna Akili na Nikiwadharau mnakataa na Kukasirika.
Punguza wivu
 
Ingekua aje Majaliwa angejikausha kama hayamuhusu hata kama hao wahudumu wangefungua mlango ? una anzaje kumdharamu mtu kaenda kufanya kazi isio mhusu tena kwa kujitotea? dogo mpaka akazimia kwenye harakati za kuokoa maisha ya watu saa zingine tuheshimu juhudi za watu
 
Ingekua aje Majaliwa angejikausha kama hayamuhusu hata kama hao wahudumu wangefungua mlango ? una anzaje kumdharamu mtu kaenda kufanya kazi isio mhusu tena kwa kujitotea? dogo mpaka akazimia kwenye harakati za kuokoa maisha ya watu saa zingine tuheshimu juhudi za watu
Wivu tu
 
Ingekua aje Majaliwa angejikausha kama hayamuhusu hata kama hao wahudumu wangefungua mlango ? una anzaje kumdharamu mtu kaenda kufanya kazi isio mhusu tena kwa kujitotea? dogo mpaka akazimia kwenye harakati za kuokoa maisha ya watu saa zingine tuheshimu juhudi za watu
Alafu yule ni dogo tu kumsaidia namna ile kwa kwa kile alifanya mbna ni haki yake tu!
alivyozidi kupatapata vizawadi threads zikawa zinazdi kuongezeka!
 
Acha ubishi wa kijinga na wewe,umeshaambiwa wahudumu wote wawili walipona, kubali umekurupuka na ulikuwa hujui kitu.

Ndio maana mnapata masifuri huko shuleni kwa kukurupukia mambo.
Shida upuuzi ndio unadhani ni Sifa. Ww unadhani eneo la tukio hakukuwa na watu wengine? Media gani ime wahoji? Tuwekeeni hapa mahojiano siyo kila umbea mtuaminishe! Mara Eng. alifungua yeye mlango! Je kama na wao wana tafta Kick ya Wafanyakazi bora?
JF kila mtu eti ni mjuaji! Utadhani eneo la tukio mlikuwepo?
 
Shida upuuzi ndio unadhani ni Sifa. Ww unadhani eneo la tukio hakukuwa na watu wengine? Media gani ime wahoji? Tuwekeeni hapa mahojiano siyo kila umbea mtuaminishe! Mara Eng. alifungua yeye mlango! Je kama na wao wana tafta Kick ya Wafanyakazi bora?
JF kila mtu eti ni mjuaji! Utadhani eneo la tukio mlikuwepo?
Nimesema ndio maana mnapata masifuri huko shuleni, umetilia shaka uhai wa wahudumu wa ndege ukidhani kwamba walikufa. Watu wamekuthibitishia hujui kitu, wahudumu wapo hai, sasa unarukia hoja nyingine. Haya si ndio masifuri yenyewe haya?
 
Nimesema ndio maana mnapata masifuri huko shuleni, umetilia shaka uhai wa wahudumu wa ndege ukidhani kwamba walikufa. Watu wamekuthibitishia hujui kitu, wahudumu wapo hai, sasa unarukia hoja nyingine. Haya si ndio masifuri yenyewe haya?
Mm najua Elimu yangu. Ww na mkeo mna ungana na usifikie. Kueneza tu uongo. Ww media gani umeskia mahojiano na Wahudumu wa Ndege?
JF ni ujuaji mwingi wa kijinga.
 
Back
Top Bottom