Waziri Mkuu Majaliwa: Wakulima wa mazao wanapaswa kulipwa ndani ya siku 4, tutaanzisha soko la chai Dar es Salaam

Waziri Mkuu Majaliwa: Wakulima wa mazao wanapaswa kulipwa ndani ya siku 4, tutaanzisha soko la chai Dar es Salaam

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Akiwa mkoani Njombe Waziri Mkuu mh Majaliwa amehoji kwanini wawekezaji wa viwanda vya majani ya chai wanashindwa kuwalipa kwa wakati wakulima wa zao hilo.

Majaliwa amesema mkulima anapaswa kuwa amelipwa fedha zake ndani ya siku 4 baada ya mauzo.

Kadhalika mh Majaliwa amesema serikali itaanzisha soko/mnada wa zao la chai jijini Dar es Salaam ili kuwapa wepesi wakulima wa zao hilo katika kulifikia soko wao wenyewe.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
 
nimeona mkuu k]kwenye hili gazeti ila pia habari ya chini imeshtua sana sasa kama gazeti makini kama FAHARI YETU imereport vifo vya viongozi wawili wa chadema mbona chama kipo kimya?na kama ni uongo wangeonywa na msajili,asante gazeti la fahari yetu kwa uchapa kazi wenu hata sister gazzete lenu la TANZANIte NALIKUBALI SANA
fahari.png
 
nimeona mkuu k]kwenye hili gazeti ila pia habari ya chini imeshtua sana sasa kama gazeti makini kama FAHARI YETU imereport vifo vya viongozi wawili wa chadema mbona chama kipo kimya?na kama ni uongo wangeonywa na msajili,asante gazeti la fahari yetu kwa uchapa kazi wenu hata sister gazzete lenu la TANZANIte NALIKUBALI SANA
View attachment 1722567
Najaribu kupima tulikotoka na tunakokwenda!
 
nimeona mkuu k]kwenye hili gazeti ila pia habari ya chini imeshtua sana sasa kama gazeti makini kama FAHARI YETU imereport vifo vya viongozi wawili wa chadema mbona chama kipo kimya?na kama ni uongo wangeonywa na msajili,asante gazeti la fahari yetu kwa uchapa kazi wenu hata sister gazzete lenu la TANZANIte NALIKUBALI SANA
View attachment 1722567
Vifo vya Mbowe? Hawako serious hawa
 
Vifo vya Mbowe? Hawako serious hawa
wako serious mkuu na ndiyo maana hawajaonywa, au hujui kuna msajili wa magazeti na wizara ya habari?kama ingekuwa uongo wangeshafutiwa usajili..wansema vifo maana ni viwili john mrema na freeman mbowe
 
wako serious mkuu na ndiyo maana hawajaonywa, au hujui kuna msajili wa magazeti na wizara ya habari?kama ingekuwa uongo wangeshafutiwa usajili..wansema vifo maana ni viwili john mrema na freeman mbowe
Kwahio Mbowe afe isitumwe Tanzia humu? Au kufa kisiasa?
 
Kwahio Mbowe afe isitumwe Tanzia humu? Au kufa kisiasa?
hapan kwa mujibu wa gazeti hilo wamekufa baada ya kupokea chanjo ya corona...usisahau Habib mchange na musiba ni magwiji ya habari wahariri bora kwa sasa Tanzania waki manage magazeti ya fahari yetu na tanzanite..hakika kama nchi tunajivunia kuwa na ma editors kama hao
 
Chai inalimwa Njombe, Kagera na Kilimanjaro lakini soko liwe Dar, hawaoni kwamba inahitaji wafanyabiashara wakubwa tu kusafirisha majani ya chai hadi sokoni kitu ambacho kitaendelea kumnyonya mkulima kwa kuuza mazao yake kwa bei ya chini kwa hao walanguzi.
Masoko yajengwe uko huko kunakolimwa chai kama ilivyofanyika kwa masoko ya madini Geita/kanda ya ziwa na Merarani kunakochimbwamadini hayo
 
Naona magazeti yaliyokosa soko yameamua kujiuza kwa gharama ya maisha ya watu, naikumbuka siku nilivyojisikia vibaya baada ya kuambiwa Mwl. Nyerere hatunaye tena.
 
Lkn wastaafu wa serikalini inatakiwa wakae miaka 3 na kuendelea ndio watalipwa.

Siasa bana.
 
Chai inalimwa Njombe, Kagera na Kilimanjaro lakini soko liwe Dar, hawaoni kwamba inahitaji wafanyabiashara wakubwa tu kusafirisha majani ya chai hadi sokoni kitu ambacho kitaendelea kumnyonya mkulima kwa kuuza mazao yake kwa bei ya chini kwa hao walanguzi.
Masoko yajengwe uko huko kunakolimwa chai kama ilivyofanyika kwa masoko ya madini Geita/kanda ya ziwa na Merarani kunakochimbwamadini hayo
Tatizo litakuwa muandishi amekosea kiripoti habari, sitaki kuamini pm hajui kuwa chai baada ya kuchumwa kutoka kwenye mti ni lazima iingie kwenye process ya kiwanda ndani ya masaa 24 vinginevyo inakuwa rejects

Mnada wa kimataifa upo kenya, viwanda kama unilever wananunua chai ya wakulima na kuiprocess kuwa ready majani ya chai halafu wanawauzia viwanda vya packaging vya hapa nchini na hawa ndio tunanunua madukani chai bora, tausi, simba nk

makontena ya majani ya chai mengine kutoka tz na nchi nyingine yanapelekwa mnadani kenya ambapo wanunuzi kutoka nchi mbalimbali wanafika kununua. Bei ya chai inaathiriwa sana na soko la dunia na kipindi hiki ni hasara tupu kwa viwanda kama unilever na si ajabu kushindwa kulipa mkulima.
 
Akiwa mkoani Njombe Waziri Mkuu mh Majaliwa amehoji kwanini wawekezaji wa viwanda vya majani ya chai wanashindwa kuwalipa kwa wakati wakulima wa zao hilo.

Majaliwa amesema mkulima anapaswa kuwa amelipwa fedha zake ndani ya siku 4 baada ya mauzo.

Kadhalika mh Majaliwa amesema serikali itaanzisha soko/mnada wa zao la chai jijini Dar es Salaam ili kuwapa wepesi wakulima wa zao hilo katika kulifikia soko wao wenyewe.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Mlianza na mbaazi ikawashinda, sukari ikawashinda, korosho ikawashinda, mafuta ya kula yakawashinda, sasa mnahamia tena kwenye chai?
 
Ameshawalipa wa korosho?
Cha ajabu anasema eti inakuwaje unachukua mali ya mtu bila kumlipa!!wao walipochukua korosho ni miaka kama 2!!bado kuna wanaodai!!na kuna watu wanaidai serikali huu ni mwaka tano!!
 
Back
Top Bottom