mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ova!
hapan kwa mujibu wa gazeti hilo wamekufa baada ya kupokea chanjo ya corona...usisahau Habib mchange na musiba ni magwiji ya habari wahariri bora kwa sasa Tanzania waki manage magazeti ya fahari yetu na tanzanite..hakika kama nchi tunajivunia kuwa na ma editors kama hao
ni gwiji mkuu siyo yeye tu kuna gwiji jingine linaitwa Habib mchange, the best DUO hapa nchini kwenye tasnia ya habariMusiba!! gwiji?
Nimechagua kukupuuza rasmi sasa.
ni gwiji mkuu siyo yeye tu kuna gwiji jingine linaitwa Habib mchange, the best DUO hapa nchini kwenye tasnia ya habariView attachment 1722611
jifunze kusoma kinyumenyume na wewe kwani fasihi ulikuwa unapataga ngapi shuleni duh hujui maana ya sarcasm?Nishachagua kukupuuza bwashee, endelea kubwabwaja tu.
jifunze kusoma kinyumenyume na wewe kwani fasihi ulikuwa unapataga ngapi shuleni duh hujui maana ya sarcasm?
HAHAHAHAHAH watu wananunua magazeti ya michezo siku hizi uzuri kwa hawa jama sidhani kama wanategemea mauzo ya mtaaniBadala yaandike kuhusu afya ya 'bwana' yule, yanajaribu kuhamisha upepo kijinga namna hii... bure kabisa.
Kabisa kuna wenye timamu hununua hayo matakataka?