Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Wameanza kudanganya tena.Kwa hiyo unabisha? Watu wanachanjwa kwa wingi mitaani. Hata wenyewe JF wameibuka na hashtag #UjanjaKuchanja.
Kahesabu na nyungu🐒Dah!!! Mbona taarifa kwenye database ya dunia inaonyesha tuna asilimia chini ya moja!!!
Kwa ubishi wote huu wa binadamu wa siku hizi mara hii tumefikisha asilimia 80...
Baada ya kudanganya msikitini kwamba Rais yupo bize anaendelea na majukumu yake, huwa simuamini kabisa huyu mwambaDodoma. Waziri wa Mkuu, Kassim Majaliwa amesema zoezi la chanjo ya Uviko-19 limefikia zaidi ya asilimia 80 na zilizobakia mikoani hivi sasa ni chache.
Jumla ya chanjo milioni 1.058 zilizopokelewa nchini kutoka nchini Marekani Julai 24, 2021 na uchanjaji ulizinduliwa rasmi Julai 29, 2021 na Rais Samia Suluhu Hassan.
Kauli hiyo imekuja baada ya Serikali kuanzisha kampeni maalum ya kuhamasisha uchanjaji wa chanjo hiyo katika maeneo mbalimbali ikiwemo makanisani na kwenye mikusanyiko ya watu.
Majaliwa ameyasema hayo leo Jumatatu Oktoba 4 2021, wakati akifungua kongamano la tano la uwezeshaji lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (Neec).
“Tunalo zoezi la uchanjaji. Namshukuru Mungu tumefikia asilimia 80 na kitu huko, tumebaki na chanjo chache sana kwenye mikoa hiyo. Kila mmoja awahi huko na kama kuna mahitaji tutaleta nyingine malengo ni afya,”amesema.
Amesema suala la chanjo sio lazima lakini ni muhimu kwaasababu linasaidia kuongeza virutubisho mwilini na iwapo mtu atapata hawezi kuwa mwepesi kama vile mtu ambaye hajachanjwa kabisa.
Amewaagiza wakuu wa mikoa kutoa elimu na kuhamasisha kuhusu umuhimu wa kuchanja chanjo hiyo.
Mwananchi
Baada ya kudanganya msikitini kwamba Rais yupo bize anaendelea na majukumu yake, huwa simuamini kabisa huyu mwamba
Katiba mpya ni muhimu mkuu, nakaziaKatiba mpya ni muhimu sana kuondosha watu kama hawa kwenye nafasi ambazo uaminifu hauwezi kuwa na mbadala.
Watanzania milioni zaidi ya 60 chanjo milioni moja tu mpaka kwa mbinde na kulazimishana huoni kama kuna tatizo mahala tangu ziije huu ni mwezi wa ngapi? na bado kampeni zinafanyika ili watu wajitokeze, think bigUsiseme ni uwongo. Wewe kutochanja, usidhani wote hawajachanjwa.
Jana nimeongea na ndugu yupo kijijini. Anasema zilipoletwa walichanja watu 6 tu, lakini baada ya Paroko wa RC, wachungaji wa KKKT na Anglikana kuwahuburia waumini wao Jumapili iliyopita, mpaka kufikia jana, chanjo zote zilizopelekwa katani zimekwisha, na wameomba nyingine.
Mhh Mambo mengine ya kufikirika ...hivi Kuna ugumu gani was kuwadanganya the so called MAbeberu kuwa ...niongezee chanjo zile za awali zimeisha...!Kuna hela walichukua kwa mabeberu, ili waongezewe lazima chanjo ziishe. Hata wakiziteketeza/choma hat mbwa/ng’ombe hakuna ushahidi.
Si mnakumbuka wale watakaam walienda kuchoma ng’ombe chanjo na ng’ombe wakafa. Dkt Magufuli sijui yupo wapi.
Ila Mama Samia tunampongeza kwa msimamo wake wa hiari. Ila kuna upupu wa vikaragosi vinadhani eti iwe lazima
Kwani madhara ya chanjo yameisha?Kwani janga la Covid limeisha?
Subiri utachanja maisha yako yote..jiandae kwa boosters.Nimechanja tangu July niko poa. Tu
USSR
Mhh Mambo mengine ya kufikirika ...hivi Kuna ugumu gani was kuwadanganya the so called MAbeberu kuwa ...niongezee chanjo zile za awali zimeisha...!
Kwaninwataingia store?!
Dodoma. Waziri wa Mkuu, Kassim Majaliwa amesema zoezi la chanjo ya Uviko-19 limefikia zaidi ya asilimia 80 na zilizobakia mikoani hivi sasa ni chache.
Jumla ya chanjo milioni 1.058 zilizopokelewa nchini kutoka nchini Marekani Julai 24, 2021 na uchanjaji ulizinduliwa rasmi Julai 29, 2021 na Rais Samia Suluhu Hassan.
Kauli hiyo imekuja baada ya Serikali kuanzisha kampeni maalum ya kuhamasisha uchanjaji wa chanjo hiyo katika maeneo mbalimbali ikiwemo makanisani na kwenye mikusanyiko ya watu.
Majaliwa ameyasema hayo leo Jumatatu Oktoba 4 2021, wakati akifungua kongamano la tano la uwezeshaji lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (Neec).
“Tunalo zoezi la uchanjaji. Namshukuru Mungu tumefikia asilimia 80 na kitu huko, tumebaki na chanjo chache sana kwenye mikoa hiyo. Kila mmoja awahi huko na kama kuna mahitaji tutaleta nyingine malengo ni afya,”amesema.
Amesema suala la chanjo sio lazima lakini ni muhimu kwaasababu linasaidia kuongeza virutubisho mwilini na iwapo mtu atapata hawezi kuwa mwepesi kama vile mtu ambaye hajachanjwa kabisa.
Amewaagiza wakuu wa mikoa kutoa elimu na kuhamasisha kuhusu umuhimu wa kuchanja chanjo hiyo.
Mwananchi
Na mnao wakati wa kuwasikiliza CCM na matapishi yao ??
Ndiyo mkapata pressure