technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
😆😆😆😆😆😆Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye
kanda ya ziwa tena? labda mzee Kitwanga.Lazima Waziri mkuu mpya atoke kanda ya ziwa
Ili kuinusuru ccm lazima Waziri mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke kanda ya ziwa.
Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka kanda ya ziwa nafikiri nimeeleweka!
Atoke popote ukanda mwl. aliupiga marufuku, au unataka akapewe majaliwa wa precision airLazima Waziri mkuu mpya atoke kanda ya ziwa
Ili kuinusuru ccm lazima Waziri mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke kanda ya ziwa.
Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka kanda ya ziwa nafikiri nimeeleweka!
Na Rais atatokea kanda ngani?Lazima Waziri mkuu mpya atoke kanda ya ziwa
Ili kuinusuru ccm lazima Waziri mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke kanda ya ziwa.
Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka kanda ya ziwa nafikiri nimeeleweka!
Wewe kama Nani?Ujinga mtupu hatuwez kuwapa nchi tena
itakuwa kanda bongo manNa Rais atatokea kanda ngani?
Lazima Waziri mkuu mpya atoke kanda ya ziwa
Ili kuinusuru ccm lazima Waziri mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke kanda ya ziwa.
Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka kanda ya ziwa nafikiri nimeeleweka!