Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
George?Simba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
George?Simba
Kwanini asiwe mgogo kutoka Dodoma au Mnyakyusa kutoka Mbeya?. Tupunguze haya mawazo finyu ya kikabila.Lazima Waziri Mkuu mpya atoke Kanda ya Ziwa
Ili kuinusuru CCM lazima Waziri Mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke Kanda ya Ziwa.
Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka Kanda ya Ziwa nafikiri nimeeleweka!
Wewee Jiwe alishakunya kwenye bakuli la vyeo vya kanda hiyo!Lazima Waziri Mkuu mpya atoke Kanda ya Ziwa
Ili kuinusuru CCM lazima Waziri Mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke Kanda ya Ziwa.
Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka Kanda ya Ziwa nafikiri nimeeleweka!
msukuma au kabila lolote utakuwa kiongozi kwa uwezo wako kulingana na mteuzi au kura za watanzania wenzako!!! hamna kabila maalumu kutoa viongozi hapa nchini.Wewee Jiwe alishakunya kwenye bakuli la vyeo vya kanda hiyo!
Hakuna sukuma gang tena kuingia kwenye system! Mlitutesa sana nyie washamba!