Waziri Mkuu mpya kutoka Kanda ya Ziwa ili kuinusuru CCM

Waziri Mkuu mpya kutoka Kanda ya Ziwa ili kuinusuru CCM

kwanini kanda ya ziwa na sio kaskazini au magharibi au nyanda za juu kusini?
 
Lazima Waziri Mkuu mpya atoke Kanda ya Ziwa

Ili kuinusuru CCM lazima Waziri Mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke Kanda ya Ziwa.

Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka Kanda ya Ziwa nafikiri nimeeleweka!
Ule uhitaji wa kuitumia Kanda ya Ziwa kuinusuru CCM, kwa sasa haupo tena, ulikuwepo ile 2015 only, hivyo sio lazima Waziri Mkuu ajaye atoke Kanda ya Ziwa kwa vile kwenye oppostion, hakuna tena kitisho chochote kinachohitaji mbeleko ya Kanda ya Ziwa!.
P
 
KURA AU WINGI WA WATU NI KAMA UREMBO TU, RAIS ATATOKA KATIKA MAKABILA MADOGO YALIYOPO BARA AMA VISIWANI,KANDA HIYO IMESHAPATA MPAKA RAIS INATOSHA ZIPO KANDA HALIJUI HILI.
 
Lazima Waziri Mkuu mpya atoke Kanda ya Ziwa

Ili kuinusuru CCM lazima Waziri Mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke Kanda ya Ziwa.

Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka Kanda ya Ziwa nafikiri nimeeleweka!
Mbona unaiangusha Kanda ambayo ndio imebeba tz karibia robo tatu. Sie sio wa waziri mkuu Bali ukuu ama uraisi ndio inastahili. Sema hizi stori huwa Zina create disunity among the society. Yaani kabila na dini Ni vitu viwili ambavyo nimekulia sehemu za mikusanyiko niliona vina madhara makubwa mno Basi. Nikiwa kiongozi wa nchi naondoa ama nafuta kabisa suala la makabila. Nitahakikisha kila darasana anakuwepo mtu wa kila mkoa ama wilaya Ila tuwe na strong unity ya kitaifa.
Na kusini watadai Nini na magharibi je na central. Pia muasisi wa Taifa letu aliondoa suala hili mbona linataka kurudi.
Tuipiganie nchi yetu bila kujali mkoa ama kata gani tafadhali
 
Lazima Waziri Mkuu mpya atoke Kanda ya Ziwa

Ili kuinusuru CCM lazima Waziri Mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke Kanda ya Ziwa.

Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka Kanda ya Ziwa nafikiri nimeeleweka!

Sema kwa wasukuma sio Kanda ya ziwa.
 
Kwenye serikali hii isiyo na tabia ya kuwajibishana kwa uzembe. Halafu unapoona kiongozi mmoja kila siku nafasi yake inawindwa kuna mawili; huyo mtu sio mlamba asali vizuri au awaivi na boss.

Yaani badala ya kuanzisha mada nani awe waziri wa nishati, maji, kilimo, uchukuzi na mambo ya ndani. Wizara ambazo failure zake zipo wazi. Ajabu ni kwamba kila siku inaanzishwa mada na kutafutwa sababu ya kuondolewa kwa PM.

Na walamba asali fitna wanaijua, Dorothy Gwajima aliondoka kwa mtindo huu afya. Majaliwa anatakiwa kuanza kupanga vilivyo vyake ofisini; jamaa awamtaki wanamtafutia sababu za yeye mwenyewe kujiudhuru.
Dorothy kiukweli wizara ya Afya ili mshinda bhana... Hizi Mada ni za kawaida Sana ila sahvi watu wanaiangazia Sana nafasi ya uwaziri mkuu kwasababu majaliwa atamaliza kipindi cha pili 2025.. Na kama ujuavyo baada ya miaka 10 hatorudi tena kwene ofisi hiyo hiyo tena
 
Lazima Waziri Mkuu mpya atoke Kanda ya Ziwa

Ili kuinusuru CCM lazima Waziri Mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke Kanda ya Ziwa.

Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka Kanda ya Ziwa nafikiri nimeeleweka!
Siyo tu Waziri Mkuu, bali hata Rais.
Huo ndio ukweli. Mimi nipo kusini, lakini watu wa Kanda ya Ziwa nimeona wana kitu fulani cha pekee kinachoweza kubadili kunusuru Taifa hili.
 
Lazima Waziri Mkuu mpya atoke Kanda ya Ziwa

Ili kuinusuru CCM lazima Waziri Mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke Kanda ya Ziwa.

Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka Kanda ya Ziwa nafikiri nimeeleweka!
Hatutaki majanga ya uonevu na ukabila tena, imetosha jamani tumeshajifunza.
 
Nampendekeza Bashite Albert, the son of the late king... Prince Christian Paul Makonda kuwa Prime Minister mpya.
 
Tuache kufuru 2025 ni Mbali ya MUNGU Mengi kwani jpm alikuwa tar 17 March angetangazwa kasafiri KWA Baba mwenye enzi!!?
Hivi siasa za ukanda zimetoka wapi Tena? Mbona Chenge alitoka Kanda ya ziwa ndio katufilisi madini.... Muhongo Kanda ya ziwa tumepata Nini kwenye gesi licha ya kelele nyingi? Mpango katoka Kanda ya ziwa ila mbona ana underperform?

na Kama unadhani CCM inahitaji kura za Kanda ya ziwa kubaki madarakani unajidanganya tu.... 2025 kwa tume hii hii utashangaa Samia anapewa 90% kura za Geita!!

Ambacho kipo certain ni karata ya udini ndio itatumika 2025 Sio ukanda au Kabila. So upinzani wajipange hapo.
 
Lazima Waziri Mkuu mpya atoke Kanda ya Ziwa

Ili kuinusuru CCM lazima Waziri Mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke Kanda ya Ziwa.

Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka Kanda ya Ziwa nafikiri nimeeleweka!
Pengine atokee kule Gamboshi kutokana na sababu za kiufundi ambazo zimezoeleka na kuota mizizi ndani ya CCM.
 
Lazima Waziri Mkuu mpya atoke Kanda ya Ziwa

Ili kuinusuru CCM lazima Waziri Mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke Kanda ya Ziwa.

Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka Kanda ya Ziwa nafikiri nimeeleweka!
una maanisha hii nchi isipokuwa na kiongozi wa juu msukuma au kutoka kanda ya ziwa haiwezi kuendelea?
 
Back
Top Bottom