The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Na hii Ni muhimu ili Kuondoa upuuzi wa kikabila unaotetewa na mtoa mada..CCM NI CHAMA MAKINI RAIS NA WAZIRI MKUU WATATOKA KWENYE MAKABILA MADOGO TENA YA KAWAIDA KABISA.
Patrobas Katambi anafaa sanaLazima Waziri mkuu mpya atoke kanda ya ziwa
Ili kuinusuru ccm lazima Waziri mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke kanda ya ziwa.
Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka kanda ya ziwa nafikiri nimeeleweka!
Wewe unagawaga nchi?Ujinga mtupu hatuwez kuwapa nchi tena
Ukanda unakusumbua sifa sasa ni kanda wala si weledi tena. Kila mtanzania anafursa ya kuongoza nchi hii sio lazima atoke kanda ya ziwa. Utafikiri wewe umewashikia kanda nzima kura zao.Lazima Waziri mkuu mpya atoke kanda ya ziwa
Ili kuinusuru ccm lazima Waziri mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke kanda ya ziwa.
Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka kanda ya ziwa nafikiri nimeeleweka!
Hivi siasa za ukanda zimetoka wapi Tena? Mbona Chenge alitoka Kanda ya ziwa ndio katufilisi madini.... Muhongo Kanda ya ziwa tumepata Nini kwenye gesi licha ya kelele nyingi? Mpango katoka Kanda ya ziwa ila mbona ana underperform?Lazima Waziri Mkuu mpya atoke Kanda ya Ziwa
Ili kuinusuru CCM lazima Waziri Mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke Kanda ya Ziwa.
Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka Kanda ya Ziwa nafikiri nimeeleweka!
Mpango hatoki kanda ya ziwa, pia 2025 kila kitu kinaenda kubadilika!Hivi siasa za ukanda zimetoka wapi Tena? Mbona Chenge alitoka Kanda ya ziwa ndio katufilisi madini.... Muhongo Kanda ya ziwa tumepata Nini kwenye gesi licha ya kelele nyingi? Mpango katoka Kanda ya ziwa ila mbona ana underperform?
na Kama unadhani CCM inahitaji kura za Kanda ya ziwa kubaki madarakani unajidanganya tu.... 2025 kwa tume hii hii utashangaa Samia anapewa 90% kura za Geita!!
Ambacho kipo certain ni karata ya udini ndio itatumika 2025 Sio ukanda au Kabila. So upinzani wajipange hapo.
Tunaipumzisha kwamza CCM imetuchoshaLazima Waziri Mkuu mpya atoke Kanda ya Ziwa
Ili kuinusuru CCM lazima Waziri Mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke Kanda ya Ziwa.
Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka Kanda ya Ziwa nafikiri nimeeleweka!
KumbeMumesahau Nyanda za juu kusini, haijawahi tokea Pm au Vp..mukiongelea ukabila na Ukanda fanyeni fair Judgement.
Hayupo wa kulinusuru jahazi la CCCM kuzama.Lazima Waziri Mkuu mpya atoke Kanda ya Ziwa
Ili kuinusuru CCM lazima Waziri Mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke Kanda ya Ziwa.
Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka Kanda ya Ziwa nafikiri nimeeleweka!
Kanda ya ziwa ni definition ya maziwa makuu Ina include both Ziwa Tanganyika na Victoria unless mnataka kusema WASUKUMA ila Kanda ya ziwa is a broad term na hawapigi kura as a block mfano Kigoma, Kagera, Mara na Simiyu hupigia sana upinzani tokea 2000Mpango hatoki kanda ya ziwa, pia 2025 kila kitu kinaenda kubadilika!
Rais ni TX kutoka nchi jirani ya ZanzibarNa Rais atatokea kanda ngani?
Achana na mawazo haya duni ya kikabila. Hizo kanda zingine hazina watu wenye uwezo wa kuwa waziri mkuu?.Lazima Waziri Mkuu mpya atoke Kanda ya Ziwa
Ili kuinusuru CCM lazima Waziri Mkuu anayefuata baada ya Majaliwa atoke Kanda ya Ziwa.
Sijasema Majaliwa atafukuzwa hapana me nasema baada ya Majaliwa Waziri mkuu ajaye anatakiwa kutoka Kanda ya Ziwa nafikiri nimeeleweka!
KawawaMumesahau Nyanda za juu kusini, haijawahi tokea Pm au Vp..mukiongelea ukabila na Ukanda fanyeni fair Judgement.