Waziri Mkuu mpya kutoka Kanda ya Ziwa ili kuinusuru CCM

Kwanini asiwe mgogo kutoka Dodoma au Mnyakyusa kutoka Mbeya?. Tupunguze haya mawazo finyu ya kikabila.
 
Wewee Jiwe alishakunya kwenye bakuli la vyeo vya kanda hiyo!
Hakuna sukuma gang tena kuingia kwenye system! Mlitutesa sana nyie washamba!
 
Wewee Jiwe alishakunya kwenye bakuli la vyeo vya kanda hiyo!
Hakuna sukuma gang tena kuingia kwenye system! Mlitutesa sana nyie washamba!
msukuma au kabila lolote utakuwa kiongozi kwa uwezo wako kulingana na mteuzi au kura za watanzania wenzako!!! hamna kabila maalumu kutoa viongozi hapa nchini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…