Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
hawa wazee kwani mpaka wafie CCM ? umri huo mambo ya vyama ya nini
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent from my iPhone using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mzeee angekaa tu apumzike jamani kwani anahangaika na nini? Kwa umri alionao na Kwa cheo cha uwaziri Mkuu alichokaa nacho Kwa miaka kumi alipaswa akae apumzike sasa maaana sidhani Kama kuna cheo tena anachoweza kuomba Kwa sasa maaana alishashika cheo cha mwisho Kabisa Kwa utendaji wa serikali maana hicho cha urais hawez pata wala hakimfai hafai hata kugombea
Sent using Jamii Forums mobile app
Ashindwe kufanya figisu Chadema aweze CCM yenye matawi Kama Mahakama,pengo,bakwata,polisi,tiss ,uvccm,uwt,nec na wasiojulikana hamumtakii mema huyo mzeeNdio hivyo hivyo afanye fanye figisu figisu huko,wabadiri katiba,ili hiyo nafasi iwe inagombewa na wengine,aigombee
Sent using Jamii Forums mobile app
Lowasa alipokuwa CCM vijana wa ufipa walimuita fisadi mkuu alipohamia Chadema akageuka kuwa rais wa mioyoni.Hawa ndio wana Lumumba sasa,alipokuwa nje ya ccm mlimwita fisadi,leo karudi mnafurahia
Sio fisadi tenaSafi sana.
Wapi ulinisikia nasema ni fisadi? Hebu nionyeshe.Sio fisadi tena
Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye leo Februari 10, 2020 ametangaza kurudi Chama cha Mapinduzi (CCM) Disemba 4, 2019 alitangaza kuachana na CHADEMA huku akidai alikosea kudhani kuna demokrasia ndani ya chama hicho.
Kama nyie, yaani hamchekani.Kinana akiwa CCM mnamwita mzee wa pembe za ndovu akija CDM mtamwita mzee mwenye msimamo na asiyebabaishwa na CCM akirudi CCM mtarudia tena kumwita mzee wa pembe za ndovu. Nyie ni vinyonga nyambafu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana.
Inabidi tu uwaelewe.hawa wazee kwani mpaka wafie CCM ? umri huo mambo ya vyama ya nini
Sent from my iPhone using JamiiForums