Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye arejea CCM, alijiengua CHADEMA baada ya kuambiwa na Mbowe 'Sumu haionjwi kwa kuilamba'

Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye arejea CCM, alijiengua CHADEMA baada ya kuambiwa na Mbowe 'Sumu haionjwi kwa kuilamba'

Tukiwambia Afrika hamna real policitians Bali Kuna wachumia tumbo tu muwe mnatuelewa.
 
Nilijua atarudi ccm toka siku ile ameshindwa kuwa mwenyekiti wa kanda,Sumaye is politically dead and buried in forgotten evil forest, to him life is unbearable out of ccm,retired PM behaving just likes of class 3 dropout (Msukuma)These are political grasshoppers and Tumbo-crats
 
Mh. Sumaye, baada ya kukaa na kutafakari najuwa bado una Maono (vision) ilikutuma kutaka kugombea uwenyekiti wa taifa Chadema. Bahati mbaya ukakutana na mbinyo wa democracy ikakubidi utafute mahali ambapo utapata fursa. Sasa basi gombea uwenyekiti wa taifa ili uweze kutimiza ndoto zako, katika chama ulichorejea.
Huyu mzeee angekaa tu apumzike jamani kwani anahangaika na nini? Kwa umri alionao na Kwa cheo cha uwaziri Mkuu alichokaa nacho Kwa miaka kumi alipaswa akae apumzike sasa maaana sidhani Kama kuna cheo tena anachoweza kuomba Kwa sasa maaana alishashika cheo cha mwisho Kabisa Kwa utendaji wa serikali maana hicho cha urais hawez pata wala hakimfai hafai hata kugombea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mzeee angekaa tu apumzike jamani kwani anahangaika na nini? Kwa umri alionao na Kwa cheo cha uwaziri Mkuu alichokaa nacho Kwa miaka kumi alipaswa akae apumzike sasa maaana sidhani Kama kuna cheo tena anachoweza kuomba Kwa sasa maaana alishashika cheo cha mwisho Kabisa Kwa utendaji wa serikali maana hicho cha urais hawez pata wala hakimfai hafai hata kugombea

Sent using Jamii Forums mobile app
Well said stella1975
 
Huyu mzeee angekaa tu apumzike jamani kwani anahangaika na nini? Kwa umri alionao na Kwa cheo cha uwaziri Mkuu alichokaa nacho Kwa miaka kumi alipaswa akae apumzike sasa maaana sidhani Kama kuna cheo tena anachoweza kuomba Kwa sasa maaana alishashika cheo cha mwisho Kabisa Kwa utendaji wa serikali maana hicho cha urais hawez pata wala hakimfai hafai hata kugombea

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ziko nyinge, kuna KAMPENI MENEJA inakuja soon
 
Back
Top Bottom