Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
..i totally agree with you.
..hapa nadhani Viongozi wa dini wachukue hatua wao wenyewe wasisubiri kuamriwa na serikali.
Nadhani ni suala la viongozi wa dini kuutambua mtego huu. Hasa huu mpango wa ccm kutaka kuchezea box kura uchaguzi ujao, namna pekee viongozi wa dini wenye nia njema wanaweza kujilinda na hiyo rushwa ya kimfumo, ni kusitasha ibada zao.
Kinyume na hapo watakuwa wamezibwa midomo kwa uhuni utakaofanyika kwenye uchaguzi mkuu.